UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Hata kichaa lisu naye alitaka kuwa rais!Hii nchi kichaa yoyote anaweza kuwa kiongozi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kichaa lisu naye alitaka kuwa rais!Hii nchi kichaa yoyote anaweza kuwa kiongozi
Tena alikuwa mstahimilivu sana kwa uamuzi wake wa kutogombea!Chalamila alifaa kuwa waziri, au naibu waziri wa elimu.
Anafurahi na wananchi wake all the time!Anapiga kazi,ni mtu wa haki
Hana magenge yake kama hso wengine
Ova
Vipi dingi ako?Hata kichaa lisu naye alitaka kuwa rais!
Uko sahihi, Mwanza wamelamba dume maana yule John Mongela alikuwepo na ataendelea kuwepo kwa kivuli cha mama yake. Kupelekwa Simiyu ni demotion kwa JohnHuyu ukiacha tukio lake la kuchapa viboko (tena watoto wa shule) hamna sehemu record ya matukio yake ni njema tu kwa kuwa hakuwa mtu wa visa visa.
Yeye anamaliza hapo hapo halafu kwa hekima zenye utani ndani yake. Roho yake ilikuwa ni nzuri tu na alizicheza vema siasa za mkoa huo.
Huyu mimi kupewa Mwanza ninaona anstahili kabisa kabisa - Watanzania tumpe mud an tuwe positive naye.
Yule aliyekuwa Iringa sijui bwana Hapi labda ndiyo ninaweza kutamka wazi inabidi ajilinde na kutunza hadhi yake kwa kuwa kiongozi mjifunzi na mwenye ushawishi hasi Zaidi! Ila Chalamila kwa kweli anastahili!
Ndiyo mwelekeo wa kustaafishwa huo!Uko sahihi, Mwanza wamelamba dume maana yule John Mongela alikuwepo na ataendelea kuwepo kwa kivuli cha mama yake. Kupelekwa Simiyu ni demotion kwa John