cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Hawaeleweki wanataka nn khaaaah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtu akiwa mweusi kakomaa mnasema hata siyo pisi, mnawashobo weupe. Afu mnasema tusijing'arishe ngozi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawaeleweki wanataka nn khaaaah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtu akiwa mweusi kakomaa mnasema hata siyo pisi, mnawashobo weupe. Afu mnasema tusijing'arishe ngozi.
Sio mzuri hata.Binafsi nachukia wanaojichubua
Utakuwa umenifananasha 😃😃We dada sio cheusi una rangi flan ya mapenzi mapaja yako yale yamenona niliyaona selfika Ile picha ushindi nje nje
Mbona kinyonge sana jamani 😃😂😂 si umeamua sawa
Leo umehamia kwenye fundi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2526029
View attachment 2526030
Ngozi inaharibika sanaa ukizeeka pia Mbona kuna wabibi wana ngozi nzuri sanaa na wamezeeka tuache kutumia vipodozi vikali
Mwanaume atakupenda tu hata ukiwa wa njano au mwekundu ukiona hajakupenda jua sio wako ,wako yupo tu atapenda rangi yako maana wanawake wengi wanahangaika kujipodoa sababu ya wanaume
Haikunivutia tangu day one..ila huwa naangalia hivyohivyoHivi unaangaliaga zahanat ya kijiji? Inanichekesha sana mim
Haikunivutia tangu day one..ila huwa naangalia hivyohivyo
Ila ya juzi ilinivunja mbavu
Bi Ubwa alipoamka asbh kwenye lile shimo[emoji1787]eti watu wa Mwembetogwa wabaya jamani,hawanipendi
Mi si nililala ndani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Niliangalia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Basi angalia inachekesha sana na yule kaka daktar na yule nesi bib sijui mwauja
Basi boss wao akamuita yule kijana wkaaongeaa halaf baadae anamuambia eti hivi umeona nin kwenye kile kiuno cha bib kizee? Nilicheka sanaa
Mwauja akawa anamlilia OmbeniBasi angalia inachekesha sana na yule kaka daktar na yule nesi bib sijui mwauja
Basi boss wao akamuita yule kijana wkaaongeaa halaf baadae anamuambia eti hivi umeona nin kwenye kile kiuno cha bib kizee? Nilicheka sanaa
Nipo mkuu labda tunapishana tuUtakuwa umenifananasha 😃😃
Umekuwa adimu sana best.mzima lakini?
Yawezekana…ninamuda sana sijaona mwandiko wakoNipo mkuu labda tunapishana tu
Ehee mwauja na ombeniMwauja akawa anamlilia Ombeni
Wale wanachekaa[emoji1787]
Niliangalia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Inshort hakuna kipindi kilichonipita
Ila huwa siconcetrate sana kama nilivyokuwa nakamia kwenye hatia.
Si umeamua 😝Mbona kinyonge sana jamani 😃