Ng'azagala
JF-Expert Member
- Jun 7, 2008
- 1,288
- 222
gharama ya kuikomboa nchi ni kubwa na inahitaji watu wenye mioyo migumu watakaojitoa kwa hali na mali
tumekuwa tukilalamika kuwa kwenye baadhi ya majimbo kuna wagombea ni mafisadi PAPA na wamekuwa na baraka za wananchi kwa kuchaguliwa kihalali au kwa kupenyeza rupia.
watu hawa huenda wangeweza kunyimwa kura na wananchi endapo wananchi hawa wangeelimishwa vya kutosha athari za mafisadi hawa
wakati tunaendelea kujipanga kwa ajiri ya uchaguzi, tuangalie pia uwezekano wa kupata watu wenye uwezo wa kuvuta watu na kuelezea hali halisi ili wananchi watoe maamuzi sahihi siku ya uchaguzi. sijaona juhudi kubwa ikifanyika kutoka kwa vyama mbadala kupambana kwenye majimbo hayo zaidi ya kulaumu chama tawala kuwasimamisha wagombea hao.
tumekuwa tukilalamika kuwa kwenye baadhi ya majimbo kuna wagombea ni mafisadi PAPA na wamekuwa na baraka za wananchi kwa kuchaguliwa kihalali au kwa kupenyeza rupia.
watu hawa huenda wangeweza kunyimwa kura na wananchi endapo wananchi hawa wangeelimishwa vya kutosha athari za mafisadi hawa
wakati tunaendelea kujipanga kwa ajiri ya uchaguzi, tuangalie pia uwezekano wa kupata watu wenye uwezo wa kuvuta watu na kuelezea hali halisi ili wananchi watoe maamuzi sahihi siku ya uchaguzi. sijaona juhudi kubwa ikifanyika kutoka kwa vyama mbadala kupambana kwenye majimbo hayo zaidi ya kulaumu chama tawala kuwasimamisha wagombea hao.