Tiss ni General services unity inaingia popote as long as ni kwa maslahi mapana ya taifa narudia tena kwa sauti POPOTE
Basi tutengeneze Investigation Bureau ie FBITISS sio General services unity, ingekuwa general kusingekuwa na PCCB, CID, Financial Intelligence Unit ya BoT, Millitary Intelligence n.k
Sawa ila mbona mambo mengine wanaingilia hadi uvunguni.??Tuache kwapa TISS majukumu yasiyowahusu, hii ni slippery slope mbaya sana inatengenezwa kwa kufanya hivi. TISS wanapaswa kufanya kazi zao kulingana na Act yao iliyounda hiyo idara.
An economically poor nation is at high insecure risks
Basi tutengeneze Investigation Bureau ie FBI
Security maana yake ninini?Sijwahi kuona taifa lingine ambalo wizi/ufisadi wa mali za umma unatokea halafu Idara za ujasusi ndizo zinalaumiwa.
Ukosoma sheria ya kuundwa kwa TISS kazi ya inahusu usalama wa taifa "security". Kufuatilia rushwa, ufisadi katika ofisi za umma, kuendesha uchumi, kupambana na madawa ya kulevya sio kazi yao. Hayo ni majukumu ya vitengo vingine vingi vilivyoundwa mahususi kwa shughuli hizo.
Wao wanapaswa kuingia tu kwenye uchunguzi wa mambo hayo endapo yanahusisha usalama wa taifa, mfano mtu anauza dawa za kulevya kufadhili ugaidi au mtumishi amepewa rushwa kutoa classified information za nchi. Sio kila ufisadi, au biashara haramu ni jukumu la TISS.
Act yao inasema to obtain, correlate, and evaluate intelligence "relevant" to security.
Tuache kwapa TISS majukumu yasiyowahusu, hii ni slippery slope mbaya sana inatengenezwa kwa kufanya hivi. TISS wanapaswa kufanya kazi zao kulingana na Act yao iliyounda hiyo idara.
Wenyewe wako kwenye siasa tu. Kwenye ufisadi Bwana Yoda anatwambia sio kazi yao.Security maana yake ninini?
Security ni f(amani, utulivu, afya, maji, chakula, Biashara, uchumi, siasa, maendeleo n.k)
Huna akili
Sawa ila mbona mambo mengine wanaingilia hadi uvunguni.??
So tukubaliane kuwa grand corruption scandal sio tishio kwa usalama wa taifa?
Nadhani tatizo la Tanzania laanzia Ikulu kushuka chini.FBI ndio kama CID+PCCB+Financial Intelligence Unit kwa hapa bongo, sisi hapa tumetenganisha na tofauti nyingine ni uwezo, kwamba FBI wako equipped vizuri sana kwa wataalamu, vifaa na pesa kila kitengo.
TISS ni Tawi la CCM kama ilivyo UVCCMSijwahi kuona taifa lingine ambalo wizi/ufisadi wa mali za umma unatokea halafu Idara za ujasusi ndizo zinalaumiwa.
Ukosoma sheria ya kuundwa kwa TISS kazi ya inahusu usalama wa taifa "security". Kufuatilia rushwa, ufisadi katika ofisi za umma, kuendesha uchumi, kupambana na madawa ya kulevya sio kazi yao. Hayo ni majukumu ya vitengo vingine vingi vilivyoundwa mahususi kwa shughuli hizo.
Wao wanapaswa kuingia tu kwenye uchunguzi wa mambo hayo endapo yanahusisha usalama wa taifa, mfano mtu anauza dawa za kulevya kufadhili ugaidi au mtumishi amepewa rushwa kutoa classified information za nchi. Sio kila ufisadi, au biashara haramu ni jukumu la TISS.
Act yao inasema to obtain, correlate, and evaluate intelligence "relevant" to security.
Tuache kwapa TISS majukumu yasiyowahusu, hii ni slippery slope mbaya sana inatengenezwa kwa kufanya hivi. TISS wanapaswa kufanya kazi zao kulingana na Act yao iliyounda hiyo idara.
Suala la usalama ni jambo mtambuka ambalo linahusiiana na jukumu la uwepo wa utulivu kwa mtu, jamii na pia nchi kwa ujumla. Utulivu huu hutokana na mahusiano ya kuaminiana yaliyowrkwa kupitia katiba, sheria, kanuni na miongozo mbalimbali.Sijwahi kuona taifa lingine ambalo wizi/ufisadi wa mali za umma unatokea halafu Idara za ujasusi ndizo zinalaumiwa.
Ukosoma sheria ya kuundwa kwa TISS kazi ya inahusu usalama wa taifa "security". Kufuatilia rushwa, ufisadi katika ofisi za umma, kuendesha uchumi, kupambana na madawa ya kulevya sio kazi yao. Hayo ni majukumu ya vitengo vingine vingi vilivyoundwa mahususi kwa shughuli hizo.
Wao wanapaswa kuingia tu kwenye uchunguzi wa mambo hayo endapo yanahusisha usalama wa taifa, mfano mtu anauza dawa za kulevya kufadhili ugaidi au mtumishi amepewa rushwa kutoa classified information za nchi. Sio kila ufisadi, au biashara haramu ni jukumu la TISS.
Act yao inasema to obtain, correlate, and evaluate intelligence "relevant" to security.
Tuache kwapa TISS majukumu yasiyowahusu, hii ni slippery slope mbaya sana inatengenezwa kwa kufanya hivi. TISS wanapaswa kufanya kazi zao kulingana na Act yao iliyounda hiyo idara.
Guards sio rahisi kuwapata ni ngumu sana kuwapatakazi ya inahusu usalama wa taifa "security"
Security Guards bank hawapo kwani ?Tihiii, ina idara zake na na utendaji kazi wake ni ule wa siri siri. Kuna matukio katika nchi yametokea ukiangalia unahisi kuna shida mahala ya kukosa ushirikiano wa wadau wa mambo ya kiusalama.. mfano mtu anaingua nchini na kupiga ma bank na kulala mbele.. utajiuliza hapa alalamikiwe nani ?
Namaanisha, mtu kaingia nchini kakopa kwenye bank kadhaa na kaondoka na mzigo wa helaSecurity Guards bank hawapo kwani ?