Kuna ndugu alituonya Tanzania humu juu ya kuchanganya mchezo wa mpira wa miguu na siasa. Viongozi wetu badala ya kuwekeza kikamilifu kwenye mchezo huu maarufu, wanatafuta cheap political popularity kupitia soka. Modern Soccer is investment.
Ndugu ulitutabiria humu jana kufungwa na DRC, kweli tumefungwa. Wachezaji ktk soka la Dunia ya leo, wanatengenezwa. Hamna habari za ati Kipaji. Kipaji? Soka la leo siyo ndumba ndugu.
Mnadanganywa na "kamati za ufundi"? Hamna Football pattern niliyoiona kwa Taifa Stars leo ni kwamba Walikuwa wanajichezea. Nina hakika wachezaji hawakufuata wala kuzingatia maelekezo ya kocha. Na hili ni Tatizo la soka la Tanzania.
Sijui ni changamoto ya lugha kwa wachezaji wetu kwamba hawaelewani sawasawa na makocha? Sijui. Lakini pia, nilichokiona mechi hii ni changamoto ya kimo na nguvu. Wachezaji wa DRC wanaonekana kuwa warefu na wenye nguvu kuliko wetu. Aidha, DRC wameonesha proffessionalism kwa kucheza mchezo kwa kadiri ya maelekezo ya mwalimu wao.
Wamewaacha Stars watawale mchezo huku wakihakikisha nafasi chache wanazotengeneza wanazitumia vizuri kupata magoli. Na ndivyo ilivyotokea. Walitengeneza nafasi Nne, nafasi Tatu zikawa goals. Anyway, soka ni mchezo wa maajabu pia.
Tusubiri Madagascar Vs Benin.
Ndugu ulitutabiria humu jana kufungwa na DRC, kweli tumefungwa. Wachezaji ktk soka la Dunia ya leo, wanatengenezwa. Hamna habari za ati Kipaji. Kipaji? Soka la leo siyo ndumba ndugu.
Mnadanganywa na "kamati za ufundi"? Hamna Football pattern niliyoiona kwa Taifa Stars leo ni kwamba Walikuwa wanajichezea. Nina hakika wachezaji hawakufuata wala kuzingatia maelekezo ya kocha. Na hili ni Tatizo la soka la Tanzania.
Sijui ni changamoto ya lugha kwa wachezaji wetu kwamba hawaelewani sawasawa na makocha? Sijui. Lakini pia, nilichokiona mechi hii ni changamoto ya kimo na nguvu. Wachezaji wa DRC wanaonekana kuwa warefu na wenye nguvu kuliko wetu. Aidha, DRC wameonesha proffessionalism kwa kucheza mchezo kwa kadiri ya maelekezo ya mwalimu wao.
Wamewaacha Stars watawale mchezo huku wakihakikisha nafasi chache wanazotengeneza wanazitumia vizuri kupata magoli. Na ndivyo ilivyotokea. Walitengeneza nafasi Nne, nafasi Tatu zikawa goals. Anyway, soka ni mchezo wa maajabu pia.
Tusubiri Madagascar Vs Benin.