Nimkimbilie nani
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 5,996
- 6,290
Sawa kama umejiunga jf kwa ajili ya kutongozaNije moja kwa moja kwenye point ni hv kwa kuwa neno MKUU limezoeleka sana hapa Jf sasa unajikuta unatumia pia ktk kutongoza na kuonekana huna swaga kabisa "Nakupenda sana mkuu'[emoji3][emoji3]
Hata mi nashangaa mkuu. Naona haipendezi dada kuitwa mkuu.Kwani hili neno linatumika hadi kwa akina dada mkuu?
haina shida mkuuHuku jamvini ndo tunalotumia sasa kwenye kutongozana huko ni akili tu ya mdomo wako MKUU
Nalichukia kuita na kuitwa.... "Mkuu"
seriously!!!?
kwakweli hata mi sipendi kuitwa mkuu