Tuache kuwabeza wajumbe wa Mkutano mkuu CHADEMA

Tuache kuwabeza wajumbe wa Mkutano mkuu CHADEMA

econonist

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
20,189
Reaction score
29,663
Ninatoa raia ya kwamba tusiwabeze wajumbe wa Mkutano Mkuu CHADEMA Kwa kuonesha kwamba wanashinikizwa kufanya maamuzi kwa njia ya Rushwa. Wajumbe wa mkutano mkuu hawawezi kuhongwa maana wanajua nani anafaaa kuwa mwenyekiti wa chama na si vingine.

Kuna watu kama akina Ntobi wameshajihakikishia ya kwamba wao wameshashinda maana wanadai wajumbe wa mkutano mkuu wapo upande wao. Kama sio kebehi ni Nini?. Kwanini Leo tunawadharau wanachama wa kawaida na mashabiki wa CHADEMA Kwa kuonesha kwamba Lissu anapendwa na jamii ila Mbowe anapendwa na wajumbe wa mkutano mkuu. Nani anaweza kuthibitisha ya kwamba Mbowe anapendwa na wajumbe wote wa mkutano mkuu ?

Tuache wajumbe wafanye wafanye maamuzi yao kwa maslahi ya chama na sio mtu.
 
Ninatoa raia ya kwamba tusiwabeze wajumbe wa Mkutano Mkuu CHADEMA Kwa kuonesha kwamba wanashinikizwa kufanya maamuzi kwa njia ya Rushwa. Wajumbe wa mkutano mkuu hawawezi kuhongwa maana wanajua nani anafaaa kuwa mwenyekiti wa chama na si vingine.

Kuna watu kama akina Ntobi wameshajihakikishia ya kwamba wao wameshashinda maana wanadai wajumbe wa mkutano mkuu wapo upande wao. Kama sio kebehi ni Nini?. Kwanini Leo tunawadharau wanachama wa kawaida na mashabiki wa CHADEMA Kwa kuonesha kwamba Lissu anapendwa na jamii ila Mbowe anapendwa na wajumbe wa mkutano mkuu. Nani anaweza kuthibitisha ya kwamba Mbowe anapendwa na wajumbe wote wa mkutano mkuu ?

Tuache wajumbe wafanye wafanye maamuzi yao kwa maslahi ya chama na sio mtu.
wafanye maamuzi chanya na si hasi. Ishu hapa ni wampuzishe mbowe na sio wamchugue tena aendeleze usultan na ufalme wake ndani ya chama hicho. Wanachama wanataka mabadiliko na wanaona wajumbe hao wanaweza kufanya maamuzi chanya
 
wafanye maamuzi chanya na si hasi. Ishu hapa ni wampuzishe mbowe na sio wamchugue tena aendeleze usultan na ufalme wake ndani ya chama hicho. Wanachama wanataka mabadiliko na wanaona wajumbe hao wanaweza kufanya maamuzi chanya

Na hili ndilo la msingi. Wampumzishe Mbowe kwa Lazima maana amekataa kupumzika kwa hiari
 
Kurukaruka kwa Maharagwe ndio kuiva kwake, kaburi lipo tayari
20241219_172147.jpg
 
Ntobi kawadharau sana Wajumbe kwamba Mbege na Ubwabwa vitawafanya wamchague Laigwanan Ustaadh Abubakar Mugabe 😃
 
Na hili ndilo la msingi. Wampumzishe Mbowe kwa Lazima maana amekataa kupumzika kwa hiari
Tatizo kubwa lililoko ni dola kuingiza mkono wake kwenye matokeo ya uchaguzi huo. Iko wazi kuwa dola haimtaki Lisu bali Mbowe. Je dola ambayo sasa imefanya kawaida kuchezea chaguzi za nchi, itaheshimu uchaguzi huu wa ndani ya cdm?
 
Tatizo kubwa lililoko ni dola kuingiza mkono wake kwenye matokeo ya uchaguzi huo. Iko wazi kuwa dola haimtaki Lisu bali Mbowe. Je dola ambayo sasa imefanya kawaida kuchezea chaguzi za nchi, itaheshimu uchaguzi huu wa ndani ya cdm?
Dola msiisingizie

Mbona TLS walimchagua BAK Mwabukusi mbele ya Dola 😂😂
 
Hii akili Gani yaani bado unawaza kwamba wajumbe watatenda haki itoshe kusema huna akili
 
Ninatoa raia ya kwamba tusiwabeze wajumbe wa Mkutano Mkuu CHADEMA Kwa kuonesha kwamba wanashinikizwa kufanya maamuzi kwa njia ya Rushwa. Wajumbe wa mkutano mkuu hawawezi kuhongwa maana wanajua nani anafaaa kuwa mwenyekiti wa chama na si vingine.

Kuna watu kama akina Ntobi wameshajihakikishia ya kwamba wao wameshashinda maana wanadai wajumbe wa mkutano mkuu wapo upande wao. Kama sio kebehi ni Nini?. Kwanini Leo tunawadharau wanachama wa kawaida na mashabiki wa CHADEMA Kwa kuonesha kwamba Lissu anapendwa na jamii ila Mbowe anapendwa na wajumbe wa mkutano mkuu. Nani anaweza kuthibitisha ya kwamba Mbowe anapendwa na wajumbe wote wa mkutano mkuu ?

Tuache wajumbe wafanye wafanye maamuzi yao kwa maslahi ya chama na sio mtu.
Tuache wajumbe wafanye wafanye maamuzi yao kwa maslahi ya chama na sio mtu.
 
Wajumbe watumie hekima na busara kumpuzisha mbowe hata kama ni tajiri mfadhili wa chama ili kutoa mtazamo uliojengeka kuwa chadema ni chama cha wachaga. Mtazamo mpya kiwe ni chama cha kitaifa na mwanachama yeyote kutoka kanda yeyote anaweza kuwa mwenyekiti wa chama hicho
 
Ninatoa raia ya kwamba tusiwabeze wajumbe wa Mkutano Mkuu CHADEMA Kwa kuonesha kwamba wanashinikizwa kufanya maamuzi kwa njia ya Rushwa. Wajumbe wa mkutano mkuu hawawezi kuhongwa maana wanajua nani anafaaa kuwa mwenyekiti wa chama na si vingine.

Kuna watu kama akina Ntobi wameshajihakikishia ya kwamba wao wameshashinda maana wanadai wajumbe wa mkutano mkuu wapo upande wao. Kama sio kebehi ni Nini?. Kwanini Leo tunawadharau wanachama wa kawaida na mashabiki wa CHADEMA Kwa kuonesha kwamba Lissu anapendwa na jamii ila Mbowe anapendwa na wajumbe wa mkutano mkuu. Nani anaweza kuthibitisha ya kwamba Mbowe anapendwa na wajumbe wote wa mkutano mkuu ?

Tuache wajumbe wafanye wafanye maamuzi yao kwa maslahi ya chama na sio mtu.
Penye uzia penyeza rupia. Watafanya yale yale ya kifiem. Huu uchaguzi utatupa sura halisi katika mambo flan
 
Maamuzi yako juu yetu hiki ni Chama na wala sio GENGE.. ..anachaguliwa ANAYECHAGULIWA!!!
 
Tatizo kubwa lililoko ni dola kuingiza mkono wake kwenye matokeo ya uchaguzi huo. Iko wazi kuwa dola haimtaki Lisu bali Mbowe. Je dola ambayo sasa imefanya kawaida kuchezea chaguzi za nchi, itaheshimu uchaguzi huu wa ndani ya cdm?
Wewe kweli huwezi kufikiri.

Kila mjumbe atapiga kura yake na kutumbukiza katika boksi hadharani, kisha kura zitahesabiwa hadharani kila mgombea akiwa na mwakilishi aliyemchagua yeye kusimamia, hapo serikali inaingilia vipi kuvuruga?
 
Tatizo kubwa lililoko ni dola kuingiza mkono wake kwenye matokeo ya uchaguzi huo. Iko wazi kuwa dola haimtaki Lisu bali Mbowe. Je dola ambayo sasa imefanya kawaida kuchezea chaguzi za nchi, itaheshimu uchaguzi huu wa ndani ya cdm?
Acheni kusingizia dola. Na kama ni hivyo basi tukubali kwamba CHADEMA wanatoa na kupokea rushwa?
 
Ninatoa raia ya kwamba tusiwabeze wajumbe wa Mkutano Mkuu CHADEMA Kwa kuonesha kwamba wanashinikizwa kufanya maamuzi kwa njia ya Rushwa. Wajumbe wa mkutano mkuu hawawezi kuhongwa maana wanajua nani anafaaa kuwa mwenyekiti wa chama na si vingine.

Kuna watu kama akina Ntobi wameshajihakikishia ya kwamba wao wameshashinda maana wanadai wajumbe wa mkutano mkuu wapo upande wao. Kama sio kebehi ni Nini?. Kwanini Leo tunawadharau wanachama wa kawaida na mashabiki wa CHADEMA Kwa kuonesha kwamba Lissu anapendwa na jamii ila Mbowe anapendwa na wajumbe wa mkutano mkuu. Nani anaweza kuthibitisha ya kwamba Mbowe anapendwa na wajumbe wote wa mkutano mkuu ?

Tuache wajumbe wafanye wafanye maamuzi yao kwa maslahi ya chama na sio mtu.
Point
 
Back
Top Bottom