Huwa sishangai wala kustushwa kabisa hata chembe ninaposikia msanii mmaekani mweusi kakutwa na kesi fulani.
Maishani unapopanda kitu fulani tegemea kukivuna.
Wamarekani weusi wengi sana wanajiona wajanja kuishi maisha ya kihalifu na yasiyo na maadili kuanzia kusifia umalaya, kuuana na kumiliki bunduki bila vibali, Magenge ya kihalifu, n.k. kwa uchache hivi ndivyo vitu huwapeleka zaidi jele na mmarekani mweusi akipata pesa nyingi ni kama kamwagia petrol kuchochea.
Umalaya nakudharau wanawake - Kwa wamarekani weusi wengi hiki ni kama cheo, mtu anajisifu i got hoes, mtu mzima anajisifu kuwa na wanawake hata sita kawazalisha lakini anakwepa majukumu, percentage wise ndio jamii inayoongoza kwa watu wengi kutokuwa na ndoa lakini mtu anaendekeza starehe. Ni jamii inayoongoza kwa kuwadharau wanawake kwa kuwaona si chochote bali ni vyombo vya starehe, huwapa majina ya hoes na bitches.
Mabinti wamekuwa brain washed kushiriki umalaya, binti wa miaka 15 tayari ana wanaume kadhaa wenye miaka 20 hadi 30, Role models wa mabinti ni hawa kina Cardi B aliekuwa stripper, Kina Nicki minaj wanaoimba umalaya mwanzo mwisho, n.k. Hivyo wala sishituki nikisikia msanii katembea na kibinti cha miaka 15, Wanapenda wanachofanya!
JAY Z - BIG PIMPIN
You know I
Thug em, f_*k em, love em, leave em
Cause I don't f_*kin' need 'em
Take 'em out the hood, keep 'em lookin' good
But I don't f_*kin' feed 'em
First time they fuss, I'm breezin'
Talkin' 'bout, "What's the reasons?"
I'm a pimp in every sense of the word, bitch
Better trust and believe 'im
In the cut where I keep 'em
'Til I need a nut, 'til I need to beat the guts, then it's
"Beep beep," then I'm pickin' them up
Kuuana na kumiliki bunduki kiholela - Nikujuze ya kwamba mauaji yanayoongozea kwa Marekani ni watu weusi dhi ya watu weusi wala sio polisi dhidi ya watu weusi ama wazungu dhidi ya watu weusi kama wengi walicyokariri, wamarekani weusi ni watu wa visasi sana katika mzunguko ambao hauwezi kuisha, wao kusamehe ni ngumu sana, Hii huwalazimi kutembea na PIPE/BOMBA la kununua mtaani kwasababu silaha halali ni ngumu kuitumia kwenye uhalifu, visasi, n.k. Mwaka 2020 Lil Wayne ilitakiwa aende jela kwa kumiliki bunduki isiyo halali, Rais Trump alimpa msamaha.
Maishani unapopanda kitu fulani tegemea kukivuna.
Wamarekani weusi wengi sana wanajiona wajanja kuishi maisha ya kihalifu na yasiyo na maadili kuanzia kusifia umalaya, kuuana na kumiliki bunduki bila vibali, Magenge ya kihalifu, n.k. kwa uchache hivi ndivyo vitu huwapeleka zaidi jele na mmarekani mweusi akipata pesa nyingi ni kama kamwagia petrol kuchochea.
Umalaya nakudharau wanawake - Kwa wamarekani weusi wengi hiki ni kama cheo, mtu anajisifu i got hoes, mtu mzima anajisifu kuwa na wanawake hata sita kawazalisha lakini anakwepa majukumu, percentage wise ndio jamii inayoongoza kwa watu wengi kutokuwa na ndoa lakini mtu anaendekeza starehe. Ni jamii inayoongoza kwa kuwadharau wanawake kwa kuwaona si chochote bali ni vyombo vya starehe, huwapa majina ya hoes na bitches.
Mabinti wamekuwa brain washed kushiriki umalaya, binti wa miaka 15 tayari ana wanaume kadhaa wenye miaka 20 hadi 30, Role models wa mabinti ni hawa kina Cardi B aliekuwa stripper, Kina Nicki minaj wanaoimba umalaya mwanzo mwisho, n.k. Hivyo wala sishituki nikisikia msanii katembea na kibinti cha miaka 15, Wanapenda wanachofanya!
JAY Z - BIG PIMPIN
You know I
Thug em, f_*k em, love em, leave em
Cause I don't f_*kin' need 'em
Take 'em out the hood, keep 'em lookin' good
But I don't f_*kin' feed 'em
First time they fuss, I'm breezin'
Talkin' 'bout, "What's the reasons?"
I'm a pimp in every sense of the word, bitch
Better trust and believe 'im
In the cut where I keep 'em
'Til I need a nut, 'til I need to beat the guts, then it's
"Beep beep," then I'm pickin' them up
Kuuana na kumiliki bunduki kiholela - Nikujuze ya kwamba mauaji yanayoongozea kwa Marekani ni watu weusi dhi ya watu weusi wala sio polisi dhidi ya watu weusi ama wazungu dhidi ya watu weusi kama wengi walicyokariri, wamarekani weusi ni watu wa visasi sana katika mzunguko ambao hauwezi kuisha, wao kusamehe ni ngumu sana, Hii huwalazimi kutembea na PIPE/BOMBA la kununua mtaani kwasababu silaha halali ni ngumu kuitumia kwenye uhalifu, visasi, n.k. Mwaka 2020 Lil Wayne ilitakiwa aende jela kwa kumiliki bunduki isiyo halali, Rais Trump alimpa msamaha.