Tuache kuwatetea wasanii weusi wanabaguliwa kupewa kesi, Wanachoimba na mitindo yao ya maisha ni matokeo ya kesi wanazopata

Tuache kuwatetea wasanii weusi wanabaguliwa kupewa kesi, Wanachoimba na mitindo yao ya maisha ni matokeo ya kesi wanazopata

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Huwa sishangai wala kustushwa kabisa hata chembe ninaposikia msanii mmaekani mweusi kakutwa na kesi fulani.

Maishani unapopanda kitu fulani tegemea kukivuna.

Wamarekani weusi wengi sana wanajiona wajanja kuishi maisha ya kihalifu na yasiyo na maadili kuanzia kusifia umalaya, kuuana na kumiliki bunduki bila vibali, Magenge ya kihalifu, n.k. kwa uchache hivi ndivyo vitu huwapeleka zaidi jele na mmarekani mweusi akipata pesa nyingi ni kama kamwagia petrol kuchochea.

Umalaya nakudharau wanawake - Kwa wamarekani weusi wengi hiki ni kama cheo, mtu anajisifu i got hoes, mtu mzima anajisifu kuwa na wanawake hata sita kawazalisha lakini anakwepa majukumu, percentage wise ndio jamii inayoongoza kwa watu wengi kutokuwa na ndoa lakini mtu anaendekeza starehe. Ni jamii inayoongoza kwa kuwadharau wanawake kwa kuwaona si chochote bali ni vyombo vya starehe, huwapa majina ya hoes na bitches.

Mabinti wamekuwa brain washed kushiriki umalaya, binti wa miaka 15 tayari ana wanaume kadhaa wenye miaka 20 hadi 30, Role models wa mabinti ni hawa kina Cardi B aliekuwa stripper, Kina Nicki minaj wanaoimba umalaya mwanzo mwisho, n.k. Hivyo wala sishituki nikisikia msanii katembea na kibinti cha miaka 15, Wanapenda wanachofanya!

JAY Z - BIG PIMPIN

You know I
Thug em, f_*k em, love em, leave em
Cause I don't f_*kin' need 'em
Take 'em out the hood, keep 'em lookin' good
But I don't f_*kin' feed 'em
First time they fuss, I'm breezin'
Talkin' 'bout, "What's the reasons?"
I'm a pimp in every sense of the word, bitch
Better trust and believe 'im
In the cut where I keep 'em
'Til I need a nut, 'til I need to beat the guts, then it's
"Beep beep," then I'm pickin' them up

Kuuana na kumiliki bunduki kiholela - Nikujuze ya kwamba mauaji yanayoongozea kwa Marekani ni watu weusi dhi ya watu weusi wala sio polisi dhidi ya watu weusi ama wazungu dhidi ya watu weusi kama wengi walicyokariri, wamarekani weusi ni watu wa visasi sana katika mzunguko ambao hauwezi kuisha, wao kusamehe ni ngumu sana, Hii huwalazimi kutembea na PIPE/BOMBA la kununua mtaani kwasababu silaha halali ni ngumu kuitumia kwenye uhalifu, visasi, n.k. Mwaka 2020 Lil Wayne ilitakiwa aende jela kwa kumiliki bunduki isiyo halali, Rais Trump alimpa msamaha.
 
Karma huwa inaacha mwanaume arukeruke atakavyo kwenye maisha...umri wa miaka 50-55 ni umri wa malipo. Tuwe makini sana.
Tutaitisha maombi sana.

Kuna mzee alikuwa anajidai Kitombi sana. Kaoa na kuacha wake kadhaa.

Sasa hivi Watoto wake wakike wanne(4) wote ni single mazas na ni viwembe hatari mpaka wanauza Tigo baba yao full aibu na kashazeeka.

Unachosema ni sahihi. Utaruka ruka sana ikifika 50-55 yote uliyodanya yanakurudia.
 
Naona hata wewe tayari umeshachotwa akili zako na mainstream medias na Sasa hivi una reason kwa jinsi zilivyokubrainwash

Kichwa chako kimejaa Ile stereotype ya kwamba mwanaume mweusi akipata hela au nafanya kitu Cha kwanza anachofikiria ni kufanya starehe ovyo ambayo ni pombe na wanawake na katika starehe hizo ndio anajikuta anatumia pesa kunyanyasa wanawake.

Hiyo ni mindset mbaya sana, maana inakuandaa Kissimmee kumuona mtu mweusi mwenye mafanikio kama potential criminal... Na tuhuma zozote unazoskia dhidi yake automatically unakiamini kabla hata ya uthibitisho, ona kama hapa tayari umeshaanini Jay Z ni kweli alifanya kile kitendo wakati ndio kwanza anatuhumiwa tu..

Sasa, Mimi nafikiri kabla hujatuambia eti tuache kuwatetea watu weusi wanapotuhumiwa misala mizito mizito kama hii ya unyanyasaji wa kingono, nafikiri wewe inapaswa kwanza ujielimisha na ujinasue kutoka kwenye hiyo stereotypical mindset ya kuamini watu weusi siku zote ni waovu tu wakishika hela.

Kisha baada ya hapo ufuatilie ni jinsi gani legal system ya marekani ilivyokuwa designed kumkandamiza mwanaume kiasi Cha wanawake kutake advantage pale wanapotaka kuwaangamiza wanaume na mara nyingi wanatumia kesi kama hizi.

Imagine mtu kafanyiwa tukio mwaka 2000 eti anakuja kuishtaki leo miaka yote hiyo alikuwa wapi?..na penyewe anatembelea upepo wa kesi ya Didy.. Marekani Wana legal system ya ovyo sana
 
Jay z anashtaliwa kwa kesi ya mwaka 2000 sijui utaniambia Nini kuniaminisha
 
Naona hata wewe tayari umeshachotwa akili zako na mainstream medias na Sasa hivi una reason kwa jinsi zilivyokubrainwash

Kichwa chako kimejaa Ile stereotype ya kwamba mwanaume mweusi akipata hela au nafanya kitu Cha kwanza anachofikiria ni kufanya starehe ovyo ambayo ni pombe na wanawake na katika starehe hizo ndio anajikuta anatumia pesa kunyanyasa wanawake.

Hiyo ni mindset mbaya sana, maana inakuandaa Kissimmee kumuona mtu mweusi mwenye mafanikio kama potential criminal... Na tuhuma zozote unazoskia dhidi yake automatically unakiamini kabla hata ya uthibitisho, ona kama hapa tayari umeshaanini Jay Z ni kweli alifanya kile kitendo wakati ndio kwanza anatuhumiwa tu..

Sasa, Mimi nafikiri kabla hujatuambia eti tuache kuwatetea watu weusi wanapotuhumiwa misala mizito mizito kama hii ya unyanyasaji wa kingono, nafikiri wewe inapaswa kwanza ujielimisha na ujinasue kutoka kwenye hiyo stereotypical mindset ya kuamini watu weusi siku zote ni waovu tu wakishika hela.

Kisha baada ya hapo ufuatilie ni jinsi gani legal system ya marekani ilivyokuwa designed kumkandamiza mwanaume kiasi Cha wanawake kutake advantage pale wanapotaka kuwaangamiza wanaume na mara nyingi wanatumia kesi kama hizi.

Imagine mtu kafanyiwa tukio mwaka 2000 eti anakuja kuishtaki leo miaka yote hiyo alikuwa wapi?..na penyewe anatembelea upepo wa kesi ya Didy.. Marekani Wana legal system ya ovyo sana
Wakati wewe unapomsihi mwenzio atoke kwenye mentality ya "mwanaume mweusi akipata pesa anawaza starehe"! Na wewe utoke kwenye mentality ya kwamba "legal system ya Marekani ipo kumkandamiza mwanaume"

Anyway, criminal offence haina expiry date! Hapo Tanzania unajua akina Rugemalila au Bazil Mramba au Prof. Mahalu walishtakiwa kwa tuhuma za makosa ya tangu miaka gani?
 
Wakati wewe unapomsihi mwenzio atoke kwenye mentality ya "mwanaume mweusi akipata pesa anawaza starehe"! Na wewe utoke kwenye mentality ya kwamba "legal system ya Marekani ipo kumkandamiza mwanaume"

Anyway, criminal offence haina expiry date! Hapo Tanzania unajua akina Rugemalila au Bazil Mramba au Prof. Mahalu walishtakiwa kwa tuhuma za makosa ya tangu miaka gani?
America family laws, divorce laws, social laws are obviously too gynocentric, yaani ni sheria ambazo zimekaa kimfumo jike yaani zipo kwa ajili ya kumlinda sana mwanamke kwa gharama za kum-marginalize mwanaume.

Unless wewe ni mwanamke au mwanaume mwenye akili za kike ambaye tayari umeshachotwa na mfumo jike kifikra ndio hutoweza kuoana legal systems ya marekani na nchi nyingine zilizoendelea kama Canada, Australia,UK na Sweeden ni kandamizi sana kwa wanaume na wanawake wamekuwa wakitake advantage kuharibu kabisa maisha ya wanaume kwa sababu moja ama nyingine.

Tukitumia huo huo mfano wako wa akina Rugemalila, Iko hivi Leo hii huyo bwana Rugemalila endapo kama hap washtka wake wangeshindwa kuthibitisha kosa la wizi alilofanya Rugemalila, basi adhabu ingewageukia hao washtaka wake ambapo ni aidha wangefungwa wao au wangemlipa fidia ndefu sana bwana Rugemalila kwa characters defamation....

Haya njoo kwenye Rape case sasa, mara nyingi tu tumeona wanaume wanafunguliwa kesi ya ubakaji, halafu baadae inakuja kuthibitishwa kwamba madai hayo ya ubakaji hayana ukweli wowote bali ni mwanamke alidanganya na hakuna hatua yoyote anayochukuliwa
IMG-20241214-WA0000.jpg
... Hii imepelekea wanawake kufanya iwe ni jambo la kawaida sana kuwabambikia kesi za ubakaji wanaume kwa sababu zao binafsi za kimslahi au kumkomoa tu mwanaume husika, Sababu anajua hata ikibainika alidanganya hakuna hatua yoyote atakayochukuliwa, na watu wameshalalamika sana ziwepo Sheria za kuwabana Hawa False rape accusers lakini hawaskilizwi.

Blacks mara nyingi ndio huwa mko mstari wa mbele kuwaamini Hawa False rape accusers hata kabla ya evidence kutoka...
Sasa hivi Lebron James naye ameingizwa kwenye msala wa Didy Guess what? Zaidi ya 90% ya watu wanaotaka Lebron achukuliwe hatua haraka iwezekanavyo ikiwemo kusitishiwa mikataba yake aliyoingiza na makampuni ni blacks.

Adui wa kwanza wa mtu mweusi ni mtu mweusi, Didy parties zilihudhuriwa na wanawake wengi sana maarufu wa kizungu, lakini asilimia kubwa ya watu waliojitokeza kama wahanga wa hizo parties eti ni wanawake weusi.

Kikawaida mtu mweusi huwa Kuna hali Fulani hivi nzuri rohoni anaiskia pale anapofanikiwa kumshusha mweusi mwenzie hasa mwenye mafanikio.

White supremacists wametengeneza system ambayo inamuwezesha mtu mweusi kumpoteza mweusi mwenzake kirahisi, yawezekana hujui hilo
 
Tuhuma za makosa ya Jinai hazina ukomo wa muda! Hiyo ni karibia dunia nzima!
Kikawaida tu mtu amekufanyia tukio la ubakaji mwaka 2000 halafu kesi inakuja kufunguliwa na kuanza kufuatiliwa miaka 24 baadae, kwa akili yako tu wewe una amini hapo utapatikana uthibitisho uliojitosheleza unaonesha ni kweli au si kweli?

Mara nyingi kesi za mtu kubakwa huwa zinahusisha mpaka medical examination kwa muhanga hili kupata vimelea vitavyotumika kama solid evidence, sasa Leo hii imeshapita 24 na Kuna mabadiliko kibao yametokea kwanzia mazingira mpaka wahusika wenyewe, sasa wewe unafikiri utapikana ushaidi wa kujitosheleza zaidi ya kwenda na assumptions pamoja na picha za hapa na pale??
 
I got 'em Mofo flyin' across atlantic ,I know Pablo Noriega the Real Noriega.(Unga)

I got a choppa in the car.(Bomba)

Got a b!tch in Miami ho, Ross hooked me up though.(Mademu)

====
Yaani lyrics zao unga,mademu na mabomba then wakishitakiwa wanasema wanaonewa.
 
Huwa sishangai wala kustushwa kabisa hata chembe ninaposikia msanii mmaekani mweusi kakutwa na kesi fulani.

Maishani unapopanda kitu fulani tegemea kukivuna.

Wamarekani weusi wengi sana wanajiona wajanja kuishi maisha ya kihalifu na yasiyo na maadili kuanzia kusifia umalaya, kuuana na kumiliki bunduki bila vibali, Magenge ya kihalifu, n.k. kwa uchache hivi ndivyo vitu huwapeleka zaidi jele na mmarekani mweusi akipata pesa nyingi ni kama kamwagia petrol kuchochea.

Umalaya nakudharau wanawake - Kwa wamarekani weusi wengi hiki ni kama cheo, mtu anajisifu i got hoes, mtu mzima anajisifu kuwa na wanawake hata sita kawazalisha lakini anakwepa majukumu, percentage wise ndio jamii inayoongoza kwa watu wengi kutokuwa na ndoa lakini mtu anaendekeza starehe. Ni jamii inayoongoza kwa kuwadharau wanawake kwa kuwaona si chochote bali ni vyombo vya starehe, huwapa majina ya hoes na bitches.

Mabinti wamekuwa brain washed kushiriki umalaya, binti wa miaka 15 tayari ana wanaume kadhaa wenye miaka 20 hadi 30, Role models wa mabinti ni hawa kina Cardi B aliekuwa stripper, Kina Nicki minaj wanaoimba umalaya mwanzo mwisho, n.k. Hivyo wala sishituki nikisikia msanii katembea na kibinti cha miaka 15, Wanapenda wanachofanya!

JAY Z - BIG PIMPIN

You know I
Thug 'em, JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala 'em, love 'em, leave 'em
‘Cause I don't fuckin' need 'em
Take 'em out the hood, keep 'em lookin' good
But I don't fuckin' feed 'em
First time they fuss, I'm breezin'
Talkin' 'bout, "What's the reasons?"
I'm a pimp in every sense of the word, bitch
Better trust and believe 'im
In the cut where I keep 'em
'Til I need a nut, 'til I need to beat the guts, then it's
"Beep beep," then I'm pickin' them up

Kuuana na kumiliki bunduki kiholela - Nikujuze ya kwamba mauaji yanayoongozea kwa Marekani ni watu weusi dhi ya watu weusi wala sio polisi dhidi ya watu weusi ama wazungu dhidi ya watu weusi kama wengi walicyokariri, wamarekani weusi ni watu wa visasi sana katika mzunguko ambao hauwezi kuisha, wao kusamehe ni ngumu sana, Hii huwalazimi kutembea na PIPE/BOMBA la kununua mtaani kwasababu silaha halali ni ngumu kuitumia kwenye uhalifu, visasi, n.k. Mwaka 2020 Lil Wayne ilitakiwa aende jela kwa kumiliki bunduki isiyo halali, Rais Trump alimpa msamaha.
Watakuja watanzania wasiojuwa historia ya wanamuziki weusi wa Marekani na kuanza kubisha kisa tu kwa sababu wao ni wapenzi wa huo muziki ni sawa tu na waumini wa dini za maboti. Mtu anabisha na kuamini uwongo ili iradi tu.
 
America family laws, divorce laws, social laws are obviously too gynocentric, yaani ni sheria ambazo zimekaa kimfumo jike yaani zipo kwa ajili ya kumlinda sana mwanamke kwa gharama za kum-marginalize mwanaume.

Unless wewe ni mwanamke au mwanaume mwenye akili za kike ambaye tayari umeshachotwa na mfumo jike kifikra ndio hutoweza kuoana legal systems ya marekani na nchi nyingine zilizoendelea kama Canada, Australia,UK na Sweeden ni kandamizi sana kwa wanaume na wanawake wamekuwa wakitake advantage kuharibu kabisa maisha ya wanaume kwa sababu moja ama nyingine.

Tukitumia huo huo mfano wako wa akina Rugemalila, Iko hivi Leo hii huyo bwana Rugemalila endapo kama hap washtka wake wangeshindwa kuthibitisha kosa la wizi alilofanya Rugemalila, basi adhabu ingewageukia hao washtaka wake ambapo ni aidha wangefungwa wao au wangemlipa fidia ndefu sana bwana Rugemalila kwa characters defamation....

Haya njoo kwenye Rape case sasa, mara nyingi tu tumeona wanaume wanafunguliwa kesi ya ubakaji, halafu baadae inakuja kuthibitishwa kwamba madai hayo ya ubakaji hayana ukweli wowote bali ni mwanamke alidanganya na hakuna hatua yoyote anayochukuliwaView attachment 3176511... Hii imepelekea wanawake kufanya iwe ni jambo la kawaida sana kuwabambikia kesi za ubakaji wanaume kwa sababu zao binafsi za kimslahi au kumkomoa tu mwanaume husika, Sababu anajua hata ikibainika alidanganya hakuna hatua yoyote atakayochukuliwa, na watu wameshalalamika sana ziwepo Sheria za kuwabana Hawa False rape accusers lakini hawaskilizwi.

Blacks mara nyingi ndio huwa mko mstari wa mbele kuwaamini Hawa False rape accusers hata kabla ya evidence kutoka...
Sasa hivi Lebron James naye ameingizwa kwenye msala wa Didy Guess what? Zaidi ya 90% ya watu wanaotaka Lebron achukuliwe hatua haraka iwezekanavyo ikiwemo kusitishiwa mikataba yake aliyoingiza na makampuni ni blacks.

Adui wa kwanza wa mtu mweusi ni mtu mweusi, Didy parties zilihudhuriwa na wanawake wengi sana maarufu wa kizungu, lakini asilimia kubwa ya watu waliojitokeza kama wahanga wa hizo parties eti ni wanawake weusi.

Kikawaida mtu mweusi huwa Kuna hali Fulani hivi nzuri rohoni anaiskia pale anapofanikiwa kumshusha mweusi mwenzie hasa mwenye mafanikio.

White supremacists wametengeneza system ambayo inamuwezesha mtu mweusi kumpoteza mweusi mwenzake kirahisi, yawezekana hujui hilo
Umeandika meengi! Lakini jua kwamba A BAD LAW IS STILL A LAW UNTIL IT IS REPEALED!

Sasa wewe endelea kulaumu halafu jichanganye!
 
Naona hata wewe tayari umeshachotwa akili zako na mainstream medias na Sasa hivi una reason kwa jinsi zilivyokubrainwash

Kichwa chako kimejaa Ile stereotype ya kwamba mwanaume mweusi akipata hela au nafanya kitu Cha kwanza anachofikiria ni kufanya starehe ovyo ambayo ni pombe na wanawake na katika starehe hizo ndio anajikuta anatumia pesa kunyanyasa wanawake.

Hiyo ni mindset mbaya sana, maana inakuandaa Kissimmee kumuona mtu mweusi mwenye mafanikio kama potential criminal... Na tuhuma zozote unazoskia dhidi yake automatically unakiamini kabla hata ya uthibitisho, ona kama hapa tayari umeshaanini Jay Z ni kweli alifanya kile kitendo wakati ndio kwanza anatuhumiwa tu..

Sasa, Mimi nafikiri kabla hujatuambia eti tuache kuwatetea watu weusi wanapotuhumiwa misala mizito mizito kama hii ya unyanyasaji wa kingono, nafikiri wewe inapaswa kwanza ujielimisha na ujinasue kutoka kwenye hiyo stereotypical mindset ya kuamini watu weusi siku zote ni waovu tu wakishika hela.

Kisha baada ya hapo ufuatilie ni jinsi gani legal system ya marekani ilivyokuwa designed kumkandamiza mwanaume kiasi Cha wanawake kutake advantage pale wanapotaka kuwaangamiza wanaume na mara nyingi wanatumia kesi kama hizi.

Imagine mtu kafanyiwa tukio mwaka 2000 eti anakuja kuishtaki leo miaka yote hiyo alikuwa wapi?..na penyewe anatembelea upepo wa kesi ya Didy.. Marekani Wana legal system ya ovyo sana
Asilimia kubwa watu weusi wa Marekani wapo hivyo!

Wasomi tofauti tofauti wakubwa ambao ni Black wenzao wametoa mpaka na vitabu kuonyesha jamii yao ilivyopotea na kutoa taswira namna gani ya kuweza kujikomoa, ila ajabu Black wanawakataa na kuwaona ni watu wanaojifananisha na wazungu.
 
I got 'em Mofo flyin' across atlantic ,I know Pablo Noriega the Real Noriega.(Unga)

I got a choppa in the car.(Bomba)

Got a b!tch in Miami ho, Ross hooked me up though.(Mademu)

====
Yaani lyrics zao unga,mademu na mabomba then wakishitakiwa wanasema wanaonewa.
Ya kwanza ni hustling

Ya pili ni I'm not a star

Ya tatu ni ngoma ipi?
 
Umeandika meengi! Lakini jua kwamba A BAD LAW IS STILL A LAW UNTIL IT IS REPEALED!

Sasa wewe endelea kulaumu halafu jichanganye!
Hata kusoma huwa hawataki!

Mfano mzuri kwenye movie ya Coach Carter ambayo inaelezea historia ya ukweli ya huyo kocha.

Black wengi wanahudhuria shule kwa kwa sababu ya masuala ya michezo bhasi!

Mwenendo wao wa kitaaluma ni mbovu sana! Mpaka Coach Carter akaamuwa kuwaaambka ukweli, na akawapa condition ya kuwa kama haufanyi vizuri darasani kwenye timu yangu sahau kuwa na namba.
 
Huwa sishangai wala kustushwa kabisa hata chembe ninaposikia msanii mmaekani mweusi kakutwa na kesi fulani.

Maishani unapopanda kitu fulani tegemea kukivuna.

Wamarekani weusi wengi sana wanajiona wajanja kuishi maisha ya kihalifu na yasiyo na maadili kuanzia kusifia umalaya, kuuana na kumiliki bunduki bila vibali, Magenge ya kihalifu, n.k. kwa uchache hivi ndivyo vitu huwapeleka zaidi jele na mmarekani mweusi akipata pesa nyingi ni kama kamwagia petrol kuchochea.

Umalaya nakudharau wanawake - Kwa wamarekani weusi wengi hiki ni kama cheo, mtu anajisifu i got hoes, mtu mzima anajisifu kuwa na wanawake hata sita kawazalisha lakini anakwepa majukumu, percentage wise ndio jamii inayoongoza kwa watu wengi kutokuwa na ndoa lakini mtu anaendekeza starehe. Ni jamii inayoongoza kwa kuwadharau wanawake kwa kuwaona si chochote bali ni vyombo vya starehe, huwapa majina ya hoes na bitches.

Mabinti wamekuwa brain washed kushiriki umalaya, binti wa miaka 15 tayari ana wanaume kadhaa wenye miaka 20 hadi 30, Role models wa mabinti ni hawa kina Cardi B aliekuwa stripper, Kina Nicki minaj wanaoimba umalaya mwanzo mwisho, n.k. Hivyo wala sishituki nikisikia msanii katembea na kibinti cha miaka 15, Wanapenda wanachofanya!

JAY Z - BIG PIMPIN

You know I
Thug em, f_*k em, love em, leave em
Cause I don't f_*kin' need 'em
Take 'em out the hood, keep 'em lookin' good
But I don't f_*kin' feed 'em
First time they fuss, I'm breezin'
Talkin' 'bout, "What's the reasons?"
I'm a pimp in every sense of the word, bitch
Better trust and believe 'im
In the cut where I keep 'em
'Til I need a nut, 'til I need to beat the guts, then it's
"Beep beep," then I'm pickin' them up

Kuuana na kumiliki bunduki kiholela - Nikujuze ya kwamba mauaji yanayoongozea kwa Marekani ni watu weusi dhi ya watu weusi wala sio polisi dhidi ya watu weusi ama wazungu dhidi ya watu weusi kama wengi walicyokariri, wamarekani weusi ni watu wa visasi sana katika mzunguko ambao hauwezi kuisha, wao kusamehe ni ngumu sana, Hii huwalazimi kutembea na PIPE/BOMBA la kununua mtaani kwasababu silaha halali ni ngumu kuitumia kwenye uhalifu, visasi, n.k. Mwaka 2020 Lil Wayne ilitakiwa aende jela kwa kumiliki bunduki isiyo halali, Rais Trump alimpa msamaha.
Dogo nakushauri kabla ya kuwasema vibaya African Americans, jitahidi sana uijue historia yao na what is behind the scene.
 
Asilimia kubwa watu weusi wa Marekani wapo hivyo!

Wasomi tofauti tofauti wakubwa ambao ni Black wenzao wametoa mpaka na vitabu kuonyesha jamii yao ilivyopotea na kutoa taswira namna gani ya kuweza kujikomoa, ila ajabu Black wanawakataa na kuwaona ni watu wanaojifananisha na wazungu.
Ukweli ni kwamba hiyo jamii ili ijinasue kutoka katika majanga yake lazima ijitafakari na ijipambanie bila msaada wa serikali
 
Back
Top Bottom