Juhudi mbalimbali zimefanyika juu yao lakini wenyewe hawataki kubadilika.
Kuna kipindi walikuwa wanalalamika wanakosa fursa za elimu nzuri wakaulizwa mbona waafrika wanasoma na wapo kwenye nafasi nzuri humu Amerika?
Ikatolea takwimu waafrika wanasoma vizuri na wamefanikiwa, tena si raia wa nchi yao! Vipi wao mbona hawafikii hatua ya kielimu wanayofikia waafrika?
Wakawa wanalalamika waafrika ni wabaguzi. Hawataki kujumuika na sisi kwenye mambo tofauti kwenye jamii.
Jamii ya waafrika ikajibu kuwa wanatabia mbaya! Hivyo hawataki watoto wao waharibikiwe!
Kwa ufupi hao Black ni matatizo! Na wana nidhamu mbaya sana!