Rorscharch
JF-Expert Member
- Jul 22, 2013
- 878
- 2,014
Na hata wakiwa na mitaji wanawekeza kwenye masoko ya kiutamaduni; ukurutu wa kampuni zinazofunguliwa na kufa zikihusisha soko la hip hop au basketballHata kusoma huwa hawataki!
Mfano mzuri kwenye movie ya Coach Carter ambayo inaelezea historia ya ukweli ya huyo kocha.
Black wengi wanahudhuria shule kwa kwa sababu ya masuala ya michezo bhasi!
Mwenendo wao wa kitaaluma ni mbovu sana! Mpaka Coach Carter akaamuwa kuwaaambka ukweli, na akawapa condition ya kuwa kama haufanyi vizuri darasani kwenye timu yangu sahau kuwa na namba.
Juhudi mbalimbali zimefanyika juu yao lakini wenyewe hawataki kubadilika.Ukweli ni kwamba hiyo jamii ili ijinasue kutoka katika majanga yake lazima ijitafakari na ijipambanie bila msaada wa serikali
Naona una avatar ya Thomas Sowell!Finally, umesema nilichokuwa nawaza muda wote
Ukimsikiliza Thomas Sowell, Malcolm x na Martin Luther unapata sense where they were supposed to be going as Black AmericansNaona una avatar ya Thomas Sowell!
Kawazungumzia sana hii jamii yake na kawaambia kabisa kuwa tatizo ni kukumbatia tamaduni ambazo si nzuri. Ili waziepuke inabidi kubadilisha mfumo mzima wa tamaduni kwa jamii ya waamerika weusi.
Very problematicJuhudi mbalimbali zimefanyika juu yao lakini wenyewe hawataki kubadilika.
Kuna kipindi walikuwa wanalalamika wanakosa fursa za elimu nzuri wakaulizwa mbona waafrika wanasoma na wapo kwenye nafasi nzuri humu Amerika?
Ikatolea takwimu waafrika wanasoma vizuri na wamefanikiwa, tena si raia wa nchi yao! Vipi wao mbona hawafikii hatua ya kielimu wanayofikia waafrika?
Wakawa wanalalamika waafrika ni wabaguzi. Hawataki kujumuika na sisi kwenye mambo tofauti kwenye jamii.
Jamii ya waafrika ikajibu kuwa wanatabia mbaya! Hivyo hawataki watoto wao waharibikiwe!
Kwa ufupi hao Black ni matatizo! Na wana nidhamu mbaya sana!
Stay scheminYa kwanza ni hustling
Ya pili ni I'm not a star
Ya tatu ni ngoma ipi
Unaunga mkono hoja wewe kama nani?😡😡😡😡Naungo mkono hoja