MrediiiHapa kwetu kesi moja ya Billionea Msuya Watuhumiwa mmoja wao Jina limenitoka alifanyiwa mateso yalompelekea hadi kumpa mke wake Talaka akiwa wakati wa upelelezi maana asingeweza kuwa mwanaume tena.
Na baadae ushahidi ukaonesha yeye hakuwa na Hatia na kuachiwa.
Yapo mambo Yanafanyiwa umakini hapa kwetu ila Sehemu kubwa Ni kutumia Nguvu si akili
CIA ni ujasusi FBI ni upelelezi ndani ya Marekani. Ni kama Mossad na Shin Bet IsraelHuwa najiulizaga tofauti ya kazi za CIA na FBI ni zipi naomba msaada wana JF
Kuna kipindi nilisoma mtazamo wa mwenajukwaa huku anaitwa Nyani Ngabu kuhusu kesi ya mwanamuziki Robert Kelly ya unyanyasaji wa kingono, jamaa akasema FBI wakikushitaki uwezekano wa wewe kuchomoka ni chini ya 10% sikuamini saana. Akasema uwezekano wa R. Kelly kuchomoka ni mdogo sana sikutilia maanani sana.
Sasa kwa mwezi mzima huu nimekua nikiangalia documentaries za FBI files, kipindi cha matukio ya kihalifu yaliyochunguzwa na FBI na wahalifu kukamatwa, hakika nimeamini wale jamaa wako mbali sana, wako Sayari nyingine kabisa ya uchunguzi.
FBI wanaweza kukuchunguza kwa miaka 17 na mwisho watakukamata tu, ni nafasi ndogo saana watu kunusurika kutiwa nguvuni wakichunguzwa na FBI, wale jamaa wana matukio ya hadi ya miaka ya 30 na jinsi watuhumiwa walivyokamatwa kwa kweli wale jamaa hawafai.
Tanzania hata ukiibadilisha Leo iwe na miaka 300 ya Uhuru bado upuuzi utakuwa huu huu.Tunalinganisha taasisi za mataifa yenye miaka 200 ya uhuru vs miaka 50 ya uhuru
Aisee
1.Commissioner of Police Dr Mussa Ally Mussa.sijawahi kusikia Askari proffessor ama Dr!!?
tz
Ndie huyo pekee1.Commissioner of Police Dr Mussa Ally Mussa.
Ndie huyo pekee1.Commissioner of Police Dr Mussa Ally Mussa.
Mkuu nakubaliana na wewe 100%, FBI hawana mchezo. Jana nilikua naangalia hii ya episode, jamaa pamoja na kua alificha ushahidi karibu 100% ya kuhusika kwenye utekaji na uuaji lakini bado feds walimtia kifungoni.Yup!
Feds conviction rate yake iko kwenye asilimia za juu za 90 huko. 95%-98%.
Huwa hawafungulii mashitaka ili mradi tu.
Wakikufungulia mashitaka basi ujue wana ushahidi ambao hata wewe mwenyewe mtuhumiwa huwezi kuukana.
Na ndo maana kesi zao nyingi huwa hata hazifiki kwenye hatua ya trial.
Bila shaka hakuna aliyejisumbua kulifungua.Mbali kote huko? Failli la matukio ya Pemba mwezi uliopita hulipati.
Askari gani? Magereza, Polisi, au Jw?sijawahi kusikia Askari proffessor ama Dr!!?
tz
Unajidharau sanaTanzania hata ukiibadilisha Leo iwe na miaka 300 ya Uhuru bado upuuzi utakuwa huu huu.
Tibaigana alikuwa na phd nadhani1.Commissioner of Police Dr Mussa Ally Mussa.
Hata masters hanaTibaigana alikuwa na phd nadhani