Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa Tanzania huwezi kufanya hivyo kuna mikopo mingi hazikopesheki tenaNakubaliana na wewe. Mimi siyo mchumi lakini uzoefu wangu wa Marekani ni kuwa wakopeshaji wanatafuta watu wa kukopesha. Mabenki huwatumia watu barua kuwabembeleza wakope tena kwa riba ya chini kabisa.
Mpaka Leo kuna Bank inakukopesha kwa asilimia chini ya 10%Ndo maana nikakwambia huna uelewa na taasisi za kifedha Tanzania,Unaongelea masuala ya shule na hisia zako binafsi.Be specific kwenye hoja zako pia,manake ukiulizwa huku unarukia kule-consistency ni muhimu sana kwenye arguments.
Ndio maaan watu maskin wanauziwa sana nyumba zaoUpo sahihi riba zipo juu sn
Ndiyo target kubwa ya CCMNdio maaan watu maskin wanauziwa sana nyumba zao
Ni bank gan hiyo mkuu na mimi niendeMpaka Leo kuna Bank inakukopesha kwa asilimia chini ya 10%
Soko ni huria hili
Wakati watu wengi wakienda benk kuomba kukopa wapo wafanyabiashara wanaofuatwa na bank kuwaomba wakakope kwao. Fikiria kuhusu riba za hiyo situation mbiliKwa maana hiyo mtu mwenye biashara ya uhakika Kuna benk inaweza mkopesha kwa riba ya let's say 6%?
Ukikopesha kapuku hela itarudije mkuu?Kama ni hivyo kwa Nini wafanyakazi wawe na riba Sawa na hao unoita kapuku ili hali urejeshaji wao wa mkopo ni wa uhakika pia?