Tuache uchoyo wa mapenzi kunusuru vijana na punyeto

Tuache uchoyo wa mapenzi kunusuru vijana na punyeto

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Unakua mchoyo wa penzi, halafu matokeo yake ukifika nyumbani unaishia kupiga punyeto,huku ukijutia kupoteza fursa uloikataa bila sababu ya msingi, baada ya kuombwa penzi na mtu wa maana sana.

Na mbaya zaidi saa zingine, ukimkuta mtu yule yule uliemkataa anatoka na mtu mwingine na wanapendana kweli kweli na mwenzi wake, unafura, unajuta na unaona wivu tena, dah! 🐒

Binti mzuri kweli lakini anajichua, au kijana mtanashati kabisa lakini kumbe mpiga punyeto tu, dah...

Tuache uchoyo ndugu zango.. ona sasa uchoyo unavyokutafuna mwenyewe ..
 
Unakua mchoyo wa penzi, halafu matokeo yake ukifika nyumbani unaishia kupiga punyeto,huku ukijutia kupoteza fursa uloikataa bila sababu ya msingi, baada ya kuombwa penzi na mtu wa maana sana.

Na mbaya zaidi saa zingine, ukimkuta mtu yule yule uliemkataa anatoka na mtu mwingine na wanapendana kweli kweli na mwenzi wake, unafura, unajuta na unaona wivu tena, dah! 🐒

Binti mzuri kweli lakini anajichua, au kijana mtanashati kabisa lakini kumbe mpiga punyeto tu, dah...

Tuache uchoyo ndugu zango.. ona sasa uchoyo unavyokutafuna mwenyewe ..
Ndio maana matango yananunuliwa sana mitaani

Cc :ephen_
 
Sidhani kama unawaambia wanaume.
Hakuna mwanaume mchoyo wa hivyo aisee .
nadhani utashi wa moderator kurekebisha title ya hoja, ndiko kuliko badilisha kabisa maana na kusudi la bandiko...

hata hivyo nililenga kuwaasa vijana wote bila kujali jinsia, kuepuka uchoyo, kunyimana na kubaniana penzi bila sababu za msingi , ambapo matokeo ya uchoyo huo yanapelekea punyeto, kujitia vidole na kusagana tena kwa majuto sana 🐒
 
natoa penzi na pesa
yeye anapokea pesa na penzi, nani mchoyo hapo ?
sasa hiyo ni biashara ya mapenzi, ntaandika uzi wake hivi karibuni,

kwenye bandiko hili,
namzungumzia mapenzi halisi ya dhati moyoni na mwilini 🐒
 
Back
Top Bottom