Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wakati tulienda project Moja abroad tukakuta kuna ATM za ngono (glory hole) midume inakuwa kwa nyuma ya kitu kama marine board Halafu wamama wenye upwiru wanaingia wanachagua kulingana na size kama kubwa kama punda sawa,iliyo na manyoya kama ya paka kwa mujibu wa mshana Jr sawa,ukitaka size ya kimasai,iliyopinda kwenda kushoto sawa,shida ya mazingira ya sasa hii kitu imekuwa attached na bills za mtu,yaani ukijichanganya tuu kwa mwanamke misiba inaanza,umeme utanunua wewe,friji itakuwa mbovu gafla,tv itapasuka from no where,nywele utasuka kila siku,akipata pesa na mavikoba humo na nyingine wanacheza Dubwi la kichina na mengineyo.Lakini pia huu uchumi wa tozo pia umekuwa hovyo,na biashara nyingi haziendi,fuso inapiga trip kwenda mwanza Hadi Tunduma ukitoa Makato yote unabakiwa na laki na nusu,kwahiyo kwa sasa ni mwendo wa kuviziana in return Kuna watu wananunua madada ya kujiuza fasta deal linaishia hapo.Sasa tuanzie hapo.Unakua mchoyo wa penzi, halafu matokeo yake ukifika nyumbani unaishia kupiga punyeto,huku ukijutia kupoteza fursa uloikataa bila sababu ya msingi, baada ya kuombwa penzi na mtu wa maana sana.
Na mbaya zaidi saa zingine, ukimkuta mtu yule yule uliemkataa anatoka na mtu mwingine na wanapendana kweli kweli na mwenzi wake, unafura, unajuta na unaona wivu tena, dah! 🐒
Binti mzuri kweli lakini anajichua, au kijana mtanashati kabisa lakini kumbe mpiga punyeto tu, dah...
Tuache uchoyo ndugu zango.. ona sasa uchoyo unavyokutafuna mwenyewe ..
Kwamba wanaichafua papuchin