Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,375
- 6,958
Au sioMmefungwa nyie dunyaz [emoji23][emoji23][emoji23]
Iache Man city kiboko yenu.
Ndyoooh [emoji23][emoji23][emoji23]Au sio
Kwa lile likikosi la YANGA ubingwa lazima .....vijana wanapiga pasi ...utafikiri wako wenyewe uwanjaniUnless mambo yabadilike i.e majeruhi, kubweteka, ugomvi, upigaji, etc lkn kama mambo yataendelea kua hivi na Prof Nabbi akakamilisha mipango yake [emoji817], inshallah Yanga anakua bingwa wa NBC PREMEAR LEAGUE 2021/2022
Timu ya muhindi inawaaribu kiakili ....vjana mnawaza ngono tuUtopwax,
Utopwinyo
Utovyura
Utoporo
Mbwa
Wamatopeni
Ndegeles
Yeboyebo
Mnajifariji tu hapa.
Ukweli mnaujua.
Panua paja ,mkwaju waja
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Mi naona Simba ni Watford iliyochangamka .......Man City ni level ya WANANCHI. .....pia hata ukiangalia list ya timu zinazoongoza ligue dunianiSimba na Man city zimesindikiza sikukuu ya mwaka mpya vizuriiii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbuka Simba ndio timu imepigwa goli nying kweny klabu bingwaTimu ambayo inaishia hatua ya awali!
Mechi ya kwanza inapigwa home ya pili inapigwa ugenini...inarudi matopeni mnaanza kuifananisha nanini?!
Nchi acheni utani bwanaaa
Na bumbuli kashawaambia saivi hakuna kudharau mechi, watawekewa full mziki. Yaan ni mwendo wa mauaji. Akija Ndanda fc atawekewa full mziki apasuliwe mpaka mahakama itoe order kupiga stop 🛑.Kombe la mapinduzi. .....ni mwanzo tu wa kuchukua vikombe.. tutaenda beyond ya hapo
Hawataamini kitakacho wakutaNa bumbuli kashawaambia saivi hakuna kudharau mechi, watawekewa full mziki. Yaan ni mwendo wa mauaji. Akija Ndanda fc atawekewa full mziki apasuliwe mpaka mahakama itoe order kupiga stop [emoji1630].
Igefu ilkua ni salam tu walivyopelekewa moto mpaka makolo wakapoteana.
Dodoma kaingia kati kapewa kipondo, huyo biashara sijui alipona ponaje, ashkuru tu wakawahi kuoata goli ka sivo walkua wanakufa mkono.
Next round naskia makolo wamewatwisha mzigo Coastal na mapolisi kama kawaida yao. Ngoja tuone itakuaje.