Yanga na Dodoma Jiji? Kweli wewe shabiki si mwana michezo.
Hajasema ya Pep mkuu hata ndondo cup majina hayo yapoBwana ata mpige pass 2000 huwezi compare yanga na man city ya pep. Ule mziki mwengine kabisa.
Mkuu........kuwadharau Dodoma jiji kuwa hawajui mpira ni Kuwadharau SIMBA kwamba wanakikosi dhaifu ......kwasababu .....Hawa Dodoma jiji ndio walio droo na SIMBA........so tuchunge kauliYanga na Dodoma Jiji? Kweli wewe shabiki si mwana michezo.
Hiyi yule kipa anayedaka Mishale anaitwa nani ?