Tuache unafiki kwenye soka. Yanga wanacheza mpira wa kiwango cha Barcelona, Man city

Tuache unafiki kwenye soka. Yanga wanacheza mpira wa kiwango cha Barcelona, Man city

Yanga na Dodoma Jiji? Kweli wewe shabiki si mwana michezo.
Mkuu........kuwadharau Dodoma jiji kuwa hawajui mpira ni Kuwadharau SIMBA kwamba wanakikosi dhaifu ......kwasababu .....Hawa Dodoma jiji ndio walio droo na SIMBA........so tuchunge kauli
 
kweli kabisaaa naona leo mmegaragazwa bao 9
.mkuu.....matuta ....hayana fundi
FB_IMG_16418396017867916.jpg
 
Back
Top Bottom