Tuache upotoshaji; Deo Bonge alikuwa anakamatwa sio kutekwa

πŸ™‹β€β™‚οΈβœοΈπŸŽ―πŸ‘ŒπŸ‘πŸ‘πŸ€πŸ‘ŒπŸ’πŸŽ–οΈπŸ›‘οΈ
 
Huyo walitaka kwenda kumtemesha hela tu kuna mtonyo
Hao walipewa kuwa jamaa Ana hela kaingiziwa
Na sahv kuna vikosi uchwara wakiongozwa na plc wanafanya

Ova
πŸ€”πŸ€”πŸ€”
 
Tuache uchunguzi ufanyike lakini tayari una majibu!
 
Angekuwa baba yako mdogo anafanyiwa vile naimani huu uharo ungeutolea chooni na sio kuja kujaza seva za melo bila sababu..............nashauri kabla ya kupost uzi inatakiwa upimwe mkojo.........inawezekana nyie ndio wale ambao mlitakiwa mmbaki kwenye condom sema bahati mbaya ilipasuka kwa utamu wa msuguo
 
Polisi wakamataji wakaacha na pingu hivyo wakakimbia kurudi kituo Cha polisi kutafuta funguo za kuitoa.TRUMP kwa mwafrika yupo sahihi.
 
Hii nchi kama ina watu wenye akili kama yako itatuchukua zaidi ya miaka mia nane kuendelea
 
Hamna njia nyengine ya kutumia kumkamata mtu zaidi ya Ile iliyotumika? Na kama walikuwa wanamkamata kihalali why walimwacha ? Kwa nini wasifunge mageti then na kumkamata kihalali ? Kwa nini wasije na defender ya police badala yake wanakuja na gari la kiraia?

We jamaa naona unataka kuonyesha kwamba police wanahusika kufanya vile? Daaah!!!
 
Wangekuwa wanamkamata mbona hata raia wangesaidia kukamatwa kwake.
 
Uwe na Akili japo kidogo itakusaidia sana ndugu.Deo baada ya tukio lile ameenda polisi na akakabidhi ile pingu mbona hajawekwa kizuizini.Mleta mada ww hauna Akili.
 
Ww ni pumbafool
 
Hicho kibali cha kumkamata ulikitoa wewe?
Ulitumia utaratibu wa kisheria kumkamata?
 
Alikuwa anakamatwa na nani? Tuanzie hapo kwanza, ukamataji unageuka kuwa utekwaji kama hauna vibali vya kukamata.
 
WEWE NI MPUMBAVU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…