Tuache upotoshaji; Deo Bonge alikuwa anakamatwa sio kutekwa

mbona jeshi la polisi wanakanusha? ndyo utekaji huo
 
Deo unaujua msala alioufanya mpaka Sasa hajatokea hadharani kusema walikuwa wanashida gani na yeye?
 
big imbecile!!
 
Ukamataji unafanyika vile? Kwa kutumia gari binafsi? Wslimuonesha vitambulisho? Walimuonesha RB ama kumwambia wanamkamatia nini?
Kwanini jeshi la polisi limewakana?
 
Wewe ndiye nani, msemaji wa polisi au?

Siku hizi mnakamata wahalifu kwa kutumia magari binafsi, bila uniform wala kitambulisho, halafu wakigoma mnawaacha na kuwatafuta tena usiku?

Ndivyo PGO inavyoelekeza?
Huyu ni mjinga mmoja tu. Yeye ameshahukumu tayar kwamba yule kada aliyeuwawa iringa ati chama fulani kichunguzwe. Anasahau mauaji ya kina kibao na wenzake
 
Waliokusomesha wamekula hasara. Mbwa wewe ....
 
Umeandika upuuzi mtupu.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…