Tuache utani Kinondoni Dar es Salaam kuna wanawake wazuri

Tuache utani Kinondoni Dar es Salaam kuna wanawake wazuri

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,017
Reaction score
19,506
Wakuu habari ya wikendi,

Tuache utani kwa mkoa wa Dar es Salaam wilaya ya Kinondoni inaongoza kuwa na wanawake wazuri na classic kuliko wilaya ya ilala na Temeke.

Kwa bahati nzuri nimebahatika kukaa wilaya zote hizo tatu na kutembelea maeneo yao ya starehe, hata ukienda bar za Kino utakutana na wanawake wazuri sana kuliko wilaya nyingine.

Pia viwanja vingi vizuri vya starehe na baa nzuri nzuri utazikuta Kinondoni.

Tahadhari: Wanawake wengi (sio wote) wa Kinondoni wako kibiashara kama eneo lenyewe la Kinondoni lilivyo la kibiashara.
 
Kumbe huko kwa wafanyabiashara na wapita vichochoro wawahi kufika.
 
Unakujua sinza kweli wewe..[emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Human beings are perhaps never more frightening than when they are convinced beyond doubt that they are right.
 
Tuwekee japo tupicha tuwili tutatu tujionee wenyewe
 
Dah Wanaume wa Dsm
1463939152373.jpg
 
Back
Top Bottom