Kwasisi wachambuzi Kila tukiitazama hii mechi unaona inabend upande mmoja yaani Ayubu fc watakula nyingi. Possibility ya Simba kushinda ni sawa Taifa stars kuchukua Kombe la AFCON
Al ahly Wana Percy Tau a.k.a goal machine huku Ayubu fc Wana Baleke na Kibu (ambaye kwenye chance 6 anakosa zote imagine Simba Haina Bacca, Mwamnyeto, Job, Max na Yao (Ukuta wa Yericko)
NB: Mnyama Ili kupunguza mvua kubwa ya magoli, inabidi waingie na plan ya kupaki basi coz atake atapigwa heavily asitake atapigwa heavily
Mumetinga robo fainali?Jambo kubwa ni kwamba Simba imetinga Robo Fainali ya michuano ya African Football League. Zaidi ya hapo ni bonus (kwa sauti ya Hersi) [emoji16]
Vigezo gani?Mpira hauko hivyo ndio Maana wakaweka vigezo Fulani Yanga kufungwa na Ihefu ndio dhana yako ktk mizani haiwezekani Ila uhalisi ilitokea
Me nahama inchi, naenda zangu Palestine.Ikitokea akashinda ??
Kwenye ujenzi wa sanamu la rage, najitolea viroba 5 vya cement.Umeisoma hapo Quarter Final? Baadae siku za usoni tusije tukaanza kubishana [emoji16]
View attachment 2781081
Hii ni Al Ahly iliyocheza na Bayern Munich kwenye klabu bingwa ya dunia nusu fainali 08/02/2021. Hii kwangu mimi ndiyo ilikuwa timu bora sana .Kwasisi wachambuzi Kila tukiitazama hii mechi unaona inabend upande mmoja yaani Ayubu fc watakula nyingi
Watapigwa kama ngoma.Kwasisi wachambuzi Kila tukiitazama hii mechi unaona inabend upande mmoja yaani Ayubu fc watakula nyingi. Possibility ya Simba kushinda ni sawa Taifa stars kuchukua Kombe la AFCON
Al ahly Wana Percy Tau a.k.a goal machine huku Ayubu fc Wana Baleke na Kibu (ambaye kwenye chance 6 anakosa zote imagine Simba Haina Bacca, Mwamnyeto, Job, Max na Yao (Ukuta wa Yericko)
NB: Mnyama Ili kupunguza mvua kubwa ya magoli, inabidi waingie na plan ya kupaki basi coz atake atapigwa heavily asitake atapigwa heavily
Hakika unajua mpira mkuu.....Hii ni Al Ahly iliyocheza na Bayern Munich kwenye klabu bingwa ya dunia nusu fainali 08/02/2021. Hii kwangu mimi ndiyo ilikuwa timu bora sana .
Wote tulioangalia mechii hii watakumbuka mpira walioucheza jamaa! Tukasema Simba hachomoki! Wazee wa kamari wanakumbuka odds alizopewa Simba!
Kilichokuja kutokea wote ni mashahidi! Unatakiwa ufahamu kitu kimoja, timu nyingi za Waarabu ugenini hasa wakianzia huwa wanajilinda zaidi! Wydad, Al Ahly n.k mara nyingi ugenini hawashambulii sana! Utawaona siku hiyo!
Kama mchambuzi ungejitahidi uweke akiba ya maneno na usimalize yote, upe mpira heshima yake! Simba ni kubwa hasa inapocheza kwa Mkapa na timu nyingi zinajua jinsi inavyokuwa ngumu kupata matokeo kwa mkapa, siyo kuwa hayapatikani naamanisha ugumu wake!
Al Ahly iliyocheza nusu fainali ya klabu bingwa ya dunia! Halafu ikachezea kipigo kwa mkapa!
Mohamed El-Shenawy
30
Mohamed Hany
13
Badr Benoun
12
Ayman Ashraf
21
Ali Maâloul
8
Hamdi Fathi
17
Amr El Soleya
27
Taher Mohamed
19
Afsha
14
Hussein El Shahat
7
Kahraba
SUBSTITUTES
10
83'
Mohamed Sherif
for Taher Mohamed
15
70'
Aliou Dieng
for Afsha
18
70'
Salah Mohsen
for Hussein El Shahat
26
70'
Walter Bwalya
for Kahraba
Umeandika kwa kutumia akili za kichwani au za MAKALIO??tuanze na hilo kwanzaKwasisi wachambuzi Kila tukiitazama hii mechi unaona inabend upande mmoja yaani Ayubu fc watakula nyingi. Possibility ya Simba kushinda ni sawa Taifa stars kuchukua Kombe la AFCON
Al ahly Wana Percy Tau a.k.a goal machine huku Ayubu fc Wana Baleke na Kibu (ambaye kwenye chance 6 anakosa zote imagine Simba Haina Bacca, Mwamnyeto, Job, Max na Yao (Ukuta wa Yericko)
NB: Mnyama Ili kupunguza mvua kubwa ya magoli, inabidi waingie na plan ya kupaki basi coz atake atapigwa heavily asitake atapigwa heavily
Labda kushinda njaa hiyo Simba wanaweza ila kuifunga Al Ahly tena ni mechi mbili tu za mtoano hilo nasema hapana!Simba wanaahinda hii mechi
Mwamnyeto asicheze kumkaba Modeste maana huwa aruki vichwa na yule jamaa magoli yake mengi ni kichwa tuu...Baka sawa kabisa na Job..Kwa nature ya timu....Yanga hata akifungwa itakuwa Kwa mbinde sana