Tuache utani Wanayanga Simba ni team hatari sana, naogopa

Tuache utani Wanayanga Simba ni team hatari sana, naogopa

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
I salute you kinsmen.

Kwa kweli Simba ya sasa ni hatari sana mpaka wanayanga tunaogopa sana hata match yenyewe.

Yaani mimi naona wazi kabisa siku hiyo matokeo hayatakuwa upande wetu kama mzunguko uliopita walipokula 5.

Mzunguko simba wamekuwa hatari sana uwanjani kuliko yanga tujipange sana.

Match itaisha hivi nina uhakika yanga kuaibika .

YANGA-4
SIMBA-0.

HAKIKA YANGA TUTATESEKA SIKU HIYO SIMBA ITAPEWA KOMBE LA SANDA.
 
Game itakuwa ngumu sana.
Naipa Ushindi Simba.

Ukiangalia game ya kwanza Ngao ya Jamii,
Utaona jinsi wale vijana wa Simba pamoja na ugeni wao ila walijituma na kuelewana,
So this time itakuwa mara 2 ya ile.

Pia ukiangalia ile game ya 5-0,
Diarra alimuumiza Kibu makusudi na ndio tatizo lilianzia pale,
Inonga alikuwa amehongwa , pale katkat palikuwa panapitika kirahisi mno,
Chama alikuwa amehongwa na alicheza chin ya kiwango.
Manula hakucheza miez 5 alaf anakuja kudaka Derby.

Mchezaj Pekee ni Kibu D na ndio walimuumiza makusudi.

Wachezaj wa Simba wa sasa wameimarika ,
Ateba, Ahoua , fernandes, Kagoma, Camara, Kibu D.

Yanga, wa kumuogopa na Max Nzegeli na Mudadhir . Wengne bado hawajajipata.

Simba 3-1 Yanga
 
Game itakuwa ngumu sana.
Naipa Ushindi Simba.

Ukiangalia game ya kwanza Ngao ya Jamii,
Utaona jinsi wale vijana wa Simba pamoja na ugeni wao ila walijituma na kuelewana,
So this time itakuwa mara 2 ya ile.

Pia ukiangalia ile game ya 5-0,
Diarra alimuumiza Kibu makusudi na ndio tatizo lilianzia pale,
Inonga alikuwa amehongwa , pale katkat palikuwa panapitika kirahisi mno,
Chama alikuwa amehongwa na alicheza chin ya kiwango.
Manula hakucheza miez 5 alaf anakuja kudaka Derby.

Mchezaj Pekee ni Kibu D na ndio walimuumiza makusudi.

Wachezaj wa Simba wa sasa wameimarika ,
Ateba, Ahoua , fernandes, Kagoma, Camara, Kibu D.

Yanga, wa kumuogopa na Max Nzegeli na Mudadhir . Wengne bado hawajajipata.

Simba 3-1 Yanga
Amka utajinyea wewe kumekucha .
 
Game itakuwa ngumu sana.
Naipa Ushindi Simba.

Ukiangalia game ya kwanza Ngao ya Jamii,
Utaona jinsi wale vijana wa Simba pamoja na ugeni wao ila walijituma na kuelewana,
So this time itakuwa mara 2 ya ile.

Pia ukiangalia ile game ya 5-0,
Diarra alimuumiza Kibu makusudi na ndio tatizo lilianzia pale,
Inonga alikuwa amehongwa , pale katkat palikuwa panapitika kirahisi mno,
Chama alikuwa amehongwa na alicheza chin ya kiwango.
Manula hakucheza miez 5 alaf anakuja kudaka Derby.

Mchezaj Pekee ni Kibu D na ndio walimuumiza makusudi.

Wachezaj wa Simba wa sasa wameimarika ,
Ateba, Ahoua , fernandes, Kagoma, Camara, Kibu D.

Yanga, wa kumuogopa na Max Nzegeli na Mudadhir . Wengne bado hawajajipata.

Simba 3-1 Yanga
Tazama pembeni yako mbona unatupita ukiwa unaongea peke yako?ina mana umechanganyikiwa? kesho wallah utazimia.
 
Back
Top Bottom