Tuache utimu: Kuna nyimbo inayofikia hata "Matatizo" tangu Harmonize aanze kujitegemea

Tuache utimu: Kuna nyimbo inayofikia hata "Matatizo" tangu Harmonize aanze kujitegemea

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Binafsi naona kijana nyimbo zake ndio ni nzuri ila tu kwa sasa zimekua na uzuri wa levo za kawaida tu, sio kama za yule harmonize tuliemjua wa kwangaru, firewaist, matatizo, n.k

Kwa sasa kwanza niseme tu kijana kajipa mzigo mkubwa kwa hulka nazoweza kusema za kuonyesha watu kwamba anaweza zaidi ya zamani ila kiukweli ndo anaelekea shimoni.

Naona nyimbo zimejikita zaidi kwa lengo la visasi na ngono kwa asilimia kubwa, ngoma kama hujanikomoa ama bedroom zimeangukia maudhui hayo na ukisikiliza bedroom remix ndio kabisa ni ngono bila mafumbo hata mtoto anaelewa.

Pia kitendo cha kumsaini tu msanii kakifanya katika mda usio sahihi, maana ni vyema unaposaini wasanii basi angalau uwe umeshajijenga mno kama kina Diamond, lady jay dee au Ali kiba na pia uwaachie nafasi hao wasanii unapowatambulisha wao ndo wafyatue ngoma huku wewe umetulia
 
Mwache bhana kijana wa watu afanye kazi yake si lazima kumfurahisha kila mtu
 
kingresa sana! tunataka zakutufanya tuimbe na sisi
 
Dogo anafanya vizuri mbona KONDEBOY##
Kondeboy nae yuko poa tu, katoa video majuzi ni ya tatu kwenye trending

1590689561568.png
 
Binafsi naona kijana nyimbo zake ndio ni nzuri ila tu kwa sasa zimekua na uzuri wa levo za kawaida tu, sio kama za yule harmonize tuliemjua wa kwangaru, firewaist, matatizo, n.k

Kwa sasa kwanza niseme tu kijana kajipa mzigo mkubwa kwa hulka nazoweza kusema za kuonyesha watu kwamba anaweza zaidi ya zamani ila kiukweli ndo anaelekea shimoni.

Naona nyimbo zimejikita zaidi kwa lengo la visasi na ngono kwa asilimia kubwa, ngoma kama hujanikomoa ama bedroom zimeangukia maudhui hayo na ukisikiliza bedroom remix ndio kabisa ni ngono bila mafumbo hata mtoto anaelewa.

Pia kitendo cha kumsaini tu msanii kakifanya katika mda usio sahihi, maana ni vyema unaposaini wasanii basi angalau uwe umeshajijenga mno kama kina Diamond, lady jay dee au Ali kiba na pia uwaachie nafasi hao wasanii unapowatambulisha wao ndo wafyatue ngoma huku wewe umetulia

Una gubu

Nyimbo unazipenda wewe unakuja kulalamika hapa

Mtunzi si yeye??? Kampe twist atunge vizuri

Sasa tufanyeje akufurahishe?

Yaani kama mke mdogo gubu tu, hauna aibu kuanzisha huu uzi?
 
Mutazowea tu sio lazma usikilize ngoma zake waimbaji ni wengi ...
 
Mi kiingereza chake cha kinaija ndo inaniboa,I go die ,go leave me ,you burst ma medula
 
Mi kiingereza chake cha kinaija ndo inaniboa,I go die ,go leave me ,you burst ma medula
I go give you all my money lemme invest,
You de besti of de besti,
Bebe give me beef baga
 
Five steps of delegation..thanks to Dr Cosmas mzee baba nilikuelewa sana....hujui tu.
 
Back
Top Bottom