rr4
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 3,797
- 5,510
Hivi hatuezi kuacha kurushiana Risasi?
Tukae chini tushikamane tuimbe nyimbo za amani.
Wenye njaa wasaidiwe, wasio na mavazi wavishwe, ambao hawana makazi wapate Makazi?
Kwani ni lazima vita virindime kila siku.?
Wenye madai ya ardhi wapewe nchi zao.
Kama Zanzibar anapiga kelele aachiliwe basi aachwe huru.
Na Kila mtu atawale nchi yake, asiende kuwa kiongozi kwenye nchi ya mwenzake.
Tukae chini tushikamane tuimbe nyimbo za amani.
Wenye njaa wasaidiwe, wasio na mavazi wavishwe, ambao hawana makazi wapate Makazi?
Kwani ni lazima vita virindime kila siku.?
Wenye madai ya ardhi wapewe nchi zao.
Kama Zanzibar anapiga kelele aachiliwe basi aachwe huru.
Na Kila mtu atawale nchi yake, asiende kuwa kiongozi kwenye nchi ya mwenzake.