Tuacheni u team jamani tuseme tu ukweli mavazi ya Diamond

Tuacheni u team jamani tuseme tu ukweli mavazi ya Diamond

Huyo ni msanii. Anavaa kulingana na muktadha wa uhusika wake!

Shida ni nyie waswahili waswahili msiojua mazingira na alama za nyakati!

The boy is making money! He is entitled to wear whatever kind of costume much as he is able to catch your attention and appear fashionable or otherwise "abnormal".

Cha kushangaza, Kesho utawaona wanyoa viduku na wao wamevaa hayo manguo wanatikisa makalio barabarani!



Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo walokuwepo muktadha wa siku husika wote walivaa vile?..au yy ndo alikuwa kaguswa zaidi na MUKTADHA HUSIKA...usiue hoja kwa kutuambia anatengeneza pesa so hata siku akipiga picha uchi tusiseme coz anatengeneza pesa?..ni ujinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu ni artist na anachofanya ndio maisha ya kisanii yalivyo... sioni jipya,uzuri wala ubaya wa kuvaa hivyo.... waswahili bhnaa,tuna tabu sana [emoji124][emoji124][emoji124]
Wakifanyaga wengine MJIKAZE BASI...siyo wakifanya wengine midomo juu akifanya domo mnafosi ionekane poa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom