playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,648
- 1,566
- Thread starter
-
- #81
Hahahahaaaa duuuh..Bora hata Kiba alivaa kama Herode, ila huyu suruali kama glass ya wine ukiigeuza
Kwa hiyo walokuwepo muktadha wa siku husika wote walivaa vile?..au yy ndo alikuwa kaguswa zaidi na MUKTADHA HUSIKA...usiue hoja kwa kutuambia anatengeneza pesa so hata siku akipiga picha uchi tusiseme coz anatengeneza pesa?..ni ujinga.Huyo ni msanii. Anavaa kulingana na muktadha wa uhusika wake!
Shida ni nyie waswahili waswahili msiojua mazingira na alama za nyakati!
The boy is making money! He is entitled to wear whatever kind of costume much as he is able to catch your attention and appear fashionable or otherwise "abnormal".
Cha kushangaza, Kesho utawaona wanyoa viduku na wao wamevaa hayo manguo wanatikisa makalio barabarani!
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaaaaaaaaaaah Othman eeh niache kidogo hahahahahaaaaaNa jisura lake lilivyo bovu utafikiri yule shetani aliyekuwa akimjaribu yesu kule jangwani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka gani?Hii nguo haina ubaya wowote..
Kuna picha ilisambaaa sana hata humu waliipost ikimuonesha PM wetu ndugu Majaliwa akiwa kapiga suruali ya hivyo hivyo akiwa kichwani ana afro..
Wakifanyaga wengine MJIKAZE BASI...siyo wakifanya wengine midomo juu akifanya domo mnafosi ionekane poa.Huyu ni artist na anachofanya ndio maisha ya kisanii yalivyo... sioni jipya,uzuri wala ubaya wa kuvaa hivyo.... waswahili bhnaa,tuna tabu sana [emoji124][emoji124][emoji124]
Hakuna atayeiga umavi huo.ni mambo ya fashion anajitengenezea legacy yake
Issue siyo kuongelewa bro, unaongelewaje?..ndo suala la msingiNa ilo jambo amefanikiwa ndomaana mpaka uzi umefunguliwa tunamuongelea hapa
Msukulemondi anaishi kimkakati ajili ya branding bt wajinga watadhani pesa imemtoa akili.
Kweli ndo mana alivaa KIKUKU she is very focused.Huyo kijana yuko very focused na anajua kile anafanya! Bado ana wakati wa kutosha kuendelea kusumbua kwenye mziki wa vijana hapa nchini.
That's America.Unamshangaa Mond,sasa ukimuona kanyewest sindo utabaki mdomo wazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata akikohoa mtasema anatangaza dawa ya kikohozi na anatengeza mkwanja...misukule yake yenyewe imegoma kukopy mchezo nnAmbacho hatujui domo kwa kuvaa hivyo anatangaza biashara ya mbunifu mavazi na anakunja pesa ndefu,havai vai tu ilimradi.shtuka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ya KIKUKU usisahau.Na ile aliyovua Nguo kule kenya akashikwashikwa Matako pia mlisifia, endeleeni kumsifia kuna siku atatembea uchi pia mtashangilia.
Siyo kishamba ni KICHOKO..Keshamaliza fasheni zote sasa ni muda wa kuvaa kishamba
Jr[emoji769]
Soon itaitwa suluali ya mondBora hata Kiba alivaa kama Herode, ila huyu suruali kama glass ya wine ukiigeuza