Je malengo ya Hammas kuivamia Israel yametimia?Hayajatimia. Galat waziri wa ulinzi wa israel alikuwa na nia ya kuimaliza kabisa Hamas. Kumbe hamas ipo kwenye miyoyo ya watu.
Hivyo ili malengo yatimie ni lazima kuuwa watu wate wa gaza.. kitu ambacho hakwezekani
Je malengo ya Hammas kuivamia Israel yametimia?Kwa hiyo kushinda vita ni kubomoa majengo na kushindisha watu njaa!?
Vita ni malengo wewe.
Malengo ya Israel yalikua kuitokomeza Hamas na kuokoa mateka.
Je yametimia?
Hamas hawakueleza malengo yao hasa.Je malengo ya Hammas kuivamia Israel yametimia?
Sawa je haya malengo uliyotaja hapa yametimia?Hamas hawakueleza malengo yao hasa.
Japo moja ya malengo yao ni kukomboa wafungwa wa Kipalestina na kuvunja utawala wa Israel Gaza.
Hayajatimia.Sawa je haya malengo uliyotaja hapa yametimia?
Mkiambiwa wavaa makobazi hawanaga akil mwelewee sasa ona hili bwabwa, yaan nchi imeisha imekuwa majivu unasema bado malengo hayajafikia..itawachukua miaka 200 kuijenga Palestina mpyaHayajatimia. Galat waziri wa ulinzi wa israel alikuwa na nia ya kuimaliza kabisa Hamas. Kumbe hamas ipo kwenye miyoyo ya watu.
Hivyo ili malengo yatimie ni lazima kuuwa watu wate wa gaza.. kitu ambacho hakwezekani
Haya basi tukukubalie hamas wameshinda vita kwa kuwaficha mateka hawajapatikana na wanajeshi waisrael wameuawa hadi wameishaKwa hiyo kushinda vita ni kubomoa majengo na kushindisha watu njaa!?
Vita ni malengo wewe.
Malengo ya Israel yalikua kuitokomeza Hamas na kuokoa mateka.
Je yametimia?
Hilo umesema wewe sio mimi.Haya basi tukukubalie hamas wameshinda vita kwa kuwaficha mateka hawajapatikana na wanajeshi waisrael wameuawa hadi wameisha
Hamasi wa buza wanasema Yahudi Anapigwa sana na ameshindwa vitaπππππNimeona na kusikia mpango wa mazungumzo ya kuachiwa kwa mateka wanne wa israel wanaoshikiliwa na Hamas. Nimeshangaa sana.
1. Hamas wanafanya njni na hawa watu ambao hawana maana yoyote kwao? Na kuendelea kuwa shikilia ni kuendelea kujiweka katika mazingira hatarishi ya kushambuliwa na hata kusababisha vifo.
2. Israel imeuwa maelfu ya watu wa palestina wengi wakiwa ni watoto na wamama. Kuna sababu gani ya kuendelea kushikilia watu wa4? wamalize kazi angalao kuongeza hasara kwa israel.
3. Mji wa Gaza kwa sasa umekuwa magofu baada ya israel kubomoa 95% ya majengo yote yaliyopo kule gaza. Hii inanikumbusha mji wa Aleppo uliopo kule syria ulivyoaribiwa na majeshi ya serekali wakati wakipambana na makundi ya kigaidi ya isis.
3. Mji wa Gaza umechakazwa vibaya mno. Itachukuwa muda mrefu sana kuja kuujenga tena.
Sasa kama myahudi amepigwa sana mbona mpalestina analia sana kutafuta dunia imone huruma wanateseka na njaa na mauaji kimbariHamasi wa buza wanasema Yahudi Anapigwa sana na ameshindwa vita[emoji849][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji116][emoji116]
Israel yapigwa vibaya ndani ya Gaza. Wapi Hamas wanapata silaha? Inashangaza
Baada ya Israel kuuzingira mji wa kusini wa Rafah na kuudhibiti ukanda wa Philadephi unaotenganisha na Misri ilitarajiwa kama walivyojitapa Israel ingekuwa ndio mwisho wa nguvu za Hamas. Maelezo yaliyokuwa yakitolea na Israel ni kwamba Hamas wana mahandaki wanayotumia kuingiza silaha Gaza...www.jamiiforums.com
Askari na raia wanafanana mkuu?Sasa kama myahudi amepigwa sana mbona mpalestina analia sana kutafuta dunia imone huruma wanateseka na njaa na mauaji kimbari
Waache si wanajifanya wabishi
Kwani mtoto wa nyoka ni jongoo??Askari na raia wanafanana mkuu?
Mwenzio anakuulia askari wewe unamuulia raia je vinafanana!?
Hiyo situation inahamia Lebanon swala la muda tuNimeona na kusikia mpango wa mazungumzo ya kuachiwa kwa mateka wanne wa israel wanaoshikiliwa na Hamas. Nimeshangaa sana.
1. Hamas wanafanya njni na hawa watu ambao hawana maana yoyote kwao? Na kuendelea kuwa shikilia ni kuendelea kujiweka katika mazingira hatarishi ya kushambuliwa na hata kusababisha vifo.
2. Israel imeuwa maelfu ya watu wa palestina wengi wakiwa ni watoto na wamama. Kuna sababu gani ya kuendelea kushikilia watu wa4? wamalize kazi angalao kuongeza hasara kwa israel.
3. Mji wa Gaza kwa sasa umekuwa magofu baada ya israel kubomoa 95% ya majengo yote yaliyopo kule gaza. Hii inanikumbusha mji wa Aleppo uliopo kule syria ulivyoaribiwa na majeshi ya serekali wakati wakipambana na makundi ya kigaidi ya isis.
3. Mji wa Gaza umechakazwa vibaya mno. Itachukuwa muda mrefu sana kuja kuujenga tena.
Hata mimi nimeliona hilo. Kwa mujibu wa aljazeera jana hizbollah wamerusha zaidi ya makombora na drone 200 wakilenga kambi za jeshi na target nyingine.Hiyo situation inahamia Lebanon swala la muda tu