Tuacheni utani, Gaza imechakazwa

Tuacheni utani, Gaza imechakazwa

Hayajatimia. Galat waziri wa ulinzi wa israel alikuwa na nia ya kuimaliza kabisa Hamas. Kumbe hamas ipo kwenye miyoyo ya watu.
Hivyo ili malengo yatimie ni lazima kuuwa watu wate wa gaza.. kitu ambacho hakwezekani
Je malengo ya Hammas kuivamia Israel yametimia?
 
Kwa hiyo kushinda vita ni kubomoa majengo na kushindisha watu njaa!?
Vita ni malengo wewe.
Malengo ya Israel yalikua kuitokomeza Hamas na kuokoa mateka.
Je yametimia?
Je malengo ya Hammas kuivamia Israel yametimia?
 
Je malengo ya Hammas kuivamia Israel yametimia?
Hamas hawakueleza malengo yao hasa.
Japo moja ya malengo yao ni kukomboa wafungwa wa Kipalestina na kuvunja utawala wa Israel Gaza.
 
Hamas hawakueleza malengo yao hasa.
Japo moja ya malengo yao ni kukomboa wafungwa wa Kipalestina na kuvunja utawala wa Israel Gaza.
Sawa je haya malengo uliyotaja hapa yametimia?
 
Hayajatimia. Galat waziri wa ulinzi wa israel alikuwa na nia ya kuimaliza kabisa Hamas. Kumbe hamas ipo kwenye miyoyo ya watu.
Hivyo ili malengo yatimie ni lazima kuuwa watu wate wa gaza.. kitu ambacho hakwezekani
Mkiambiwa wavaa makobazi hawanaga akil mwelewee sasa ona hili bwabwa, yaan nchi imeisha imekuwa majivu unasema bado malengo hayajafikia..itawachukua miaka 200 kuijenga Palestina mpya
 
Kwa hiyo kushinda vita ni kubomoa majengo na kushindisha watu njaa!?
Vita ni malengo wewe.
Malengo ya Israel yalikua kuitokomeza Hamas na kuokoa mateka.
Je yametimia?
Haya basi tukukubalie hamas wameshinda vita kwa kuwaficha mateka hawajapatikana na wanajeshi waisrael wameuawa hadi wameisha
 
Haya basi tukukubalie hamas wameshinda vita kwa kuwaficha mateka hawajapatikana na wanajeshi waisrael wameuawa hadi wameisha
Hilo umesema wewe sio mimi.
Kiuhalisia sio Hamas wala Israel waliofikia lengo.
 
Nimeona na kusikia mpango wa mazungumzo ya kuachiwa kwa mateka wanne wa israel wanaoshikiliwa na Hamas. Nimeshangaa sana.

1. Hamas wanafanya njni na hawa watu ambao hawana maana yoyote kwao? Na kuendelea kuwa shikilia ni kuendelea kujiweka katika mazingira hatarishi ya kushambuliwa na hata kusababisha vifo.

2. Israel imeuwa maelfu ya watu wa palestina wengi wakiwa ni watoto na wamama. Kuna sababu gani ya kuendelea kushikilia watu wa4? wamalize kazi angalao kuongeza hasara kwa israel.

3. Mji wa Gaza kwa sasa umekuwa magofu baada ya israel kubomoa 95% ya majengo yote yaliyopo kule gaza. Hii inanikumbusha mji wa Aleppo uliopo kule syria ulivyoaribiwa na majeshi ya serekali wakati wakipambana na makundi ya kigaidi ya isis.

3. Mji wa Gaza umechakazwa vibaya mno. Itachukuwa muda mrefu sana kuja kuujenga tena.
Hamasi wa buza wanasema Yahudi Anapigwa sana na ameshindwa vita🙄😆😆😆😆
👇👇
 
Hamasi wa buza wanasema Yahudi Anapigwa sana na ameshindwa vita[emoji849][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji116][emoji116]
Sasa kama myahudi amepigwa sana mbona mpalestina analia sana kutafuta dunia imone huruma wanateseka na njaa na mauaji kimbari
 
Waache si wanajifanya wabishi
b984622235cc47cb86f061bcea479279.jpeg
 
Nimeona na kusikia mpango wa mazungumzo ya kuachiwa kwa mateka wanne wa israel wanaoshikiliwa na Hamas. Nimeshangaa sana.

1. Hamas wanafanya njni na hawa watu ambao hawana maana yoyote kwao? Na kuendelea kuwa shikilia ni kuendelea kujiweka katika mazingira hatarishi ya kushambuliwa na hata kusababisha vifo.

2. Israel imeuwa maelfu ya watu wa palestina wengi wakiwa ni watoto na wamama. Kuna sababu gani ya kuendelea kushikilia watu wa4? wamalize kazi angalao kuongeza hasara kwa israel.

3. Mji wa Gaza kwa sasa umekuwa magofu baada ya israel kubomoa 95% ya majengo yote yaliyopo kule gaza. Hii inanikumbusha mji wa Aleppo uliopo kule syria ulivyoaribiwa na majeshi ya serekali wakati wakipambana na makundi ya kigaidi ya isis.

3. Mji wa Gaza umechakazwa vibaya mno. Itachukuwa muda mrefu sana kuja kuujenga tena.
Hiyo situation inahamia Lebanon swala la muda tu
 
Hiyo situation inahamia Lebanon swala la muda tu
Hata mimi nimeliona hilo. Kwa mujibu wa aljazeera jana hizbollah wamerusha zaidi ya makombora na drone 200 wakilenga kambi za jeshi na target nyingine.
Natamani watu wa lebanon ambao wapo karibu na mipaka na israel waanze kuondoka.
Mji utakao adhirika zaidi utakuwa ni Qana. Nilimsikia mama m1 akisema hawawezi kuondoka kwenye huo mji na wapo tayati kufia hapo.

Tuombe hili lisitokeee.....
 
Back
Top Bottom