Tuacheni utani, Gaza imechakazwa

Tuacheni utani, Gaza imechakazwa

Ningetamani israel nao waonje hata ¼ ya machungu waliyopitia wapalestina. Sema ndio hivyo, hamna namna.
Israel nao kuna madhara wamepata kama yafuatayo;
1)Vifo vya askari wengi ambao vimefichwa ikipelekea Israel kuwa na uhaba wa askari jeshi kiasi kulazimisha raia kujiunga jeshi.
2)Jeshi kupata takriban askari jeshi 12000 walemavu wa kudumu ambapo 7000 ndani ya Gaza na 5000 kaskazini mwa Israel mipaka na Lebanon.
3)Wakimbizi wa ndani na nje ya nchi ya Israel.
4)Kusimama kwa shughuli nyingi za kiuchumi ndani ya Israel.
5)Mvurugano wa serikali ya Israel na maandamano kila kukicha.
6)Anguko la Israel kidiplomasia duniani.
 
Hamas oktaba 7 mafanikio yao ilikuwa uharibifu na ndio maana kulikuwa na ringtone kibao za allah akbar na Israel nae kajibu kwa uharibifu ambao kimzani kafanikiwa kuliko kobazi,au nyie ni kama mjusi kwamba akikatwa mkia safari inaendelea?!!
Unaropoka sana,ndio umeongea nini hapo!?
 
Tuambie inafaidika kivipi?
Watoto hawakui wanakufa mapema, wanawake hawazi kizazi kijacho.

So wanaobaki wanakimbia nje ya nchi kutafuta Asylum.

Hadi sasa waliondoka Gaza ni Watu zaidi laki.

Do you know why Jordan and Egpty hawataki wakimbizi wa Gaza?, they want to have Palestinian heritage pale for as long as it takes.

Do you know why Israel ina ishi vizuri na Wapalestina wa Judea and Sumeria? Because they can assimilate into Israel community Hadi wapo wanaobadili Uraia na kuwa Waisrael ( Mfano Dada wa Ismail Haniya, kiongozi wa Hamas yeye ni Mwarabu wa Israeli na ana(alikuwa)ishi Nazareth).

Kabla ya vita kulikuwa na Wapalestina karibu million 2 wanaishi Gaza now kati yao karibu 1.7M wanaishi kwenye Mahema... This is very bad to Hamas politically sababu hakuna mtu ambaye anapenda kuishi Maisha ya mateso kama ya Watu wa Gaza huku viongozi wakiwa nje ya nchi na kwenye mashimo kama panya.

Iran ananguvu kuliko Hamas na ndiye anayewapa Silaha Hamas, Hezbollah and others but why can not blindly start a war with Israel?, because it will be a risk move kwake and a reason for Israel to get more territories in Syria and Lebanon.

Hamas wanawaonea Watu wa Gaza, they should have lived like Dubai
 
Watoto hawakui wanakufa mapema, wanawake hawazi kizazi kijacho.

So wanaobaki wanakimbia nje ya nchi kutafuta Asylum.

Hadi sasa waliondoka Gaza ni Watu zaidi laki.

Do you know why Jordan and Egpty hawataki wakimbizi wa Gaza?, they want to have Palestinian heritage pale for as long as it takes.

Do you know why Israel ina ishi vizuri na Wapalestina wa Judea and Sumeria? Because they can assimilate into Israel community Hadi wapo wanaobadili Uraia na kuwa Waisrael ( Mfano Dada wa Ismail Haniya, kiongozi wa Hamas yeye ni Mwarabu wa Israeli na ana(alikuwa)ishi Nazareth).

Kabla ya vita kulikuwa na Wapalestina karibu million 2 wanaishi Gaza now kati yao karibu 1.7M wanaishi kwenye Mahema... This is very bad to Hamas politically sababu hakuna mtu ambaye anapenda kuishi Maisha ya mateso kama ya Watu wa Gaza huku viongozi wakiwa nje ya nchi na kwenye mashimo kama panya.

Iran ananguvu kuliko Hamas na ndiye anayewapa Silaha Hamas, Hezbollah and others but why can not blindly start a war with Israel?, because it will be a risk move kwake and a reason for Israel to get more territories in Syria and Lebanon.

Hamas wanawaonea Watu wa Gaza, they should have lived like Dubai
Ona huyu anaongea nini!?
Hakuna kunufaika lolote,waliouawa na waliobaki bado wengi sana.
Hivi unajua kuna WaGaza ambao wako nje kikazi na hawajarudi Gaza!?
Hivi unajua watarudi ili kuijenga Gaza na kuendeleza Gaza!?
Katika hao milioni 1.7 hivi unajua kuna vijana wakike na wakiume ambao watakua na kuongeza uzao hapo Gaza!?
Hivi unajua kuna wanaGaza Occupied West bank ambao wanasubiri hali Gaza iwe shwari warudi!?

Nani kakwambia Iran anaogopa kuanzisha vita na Israel!?
Nani kakwambia Israel ikianzishiwa vita na Iran itakua msala wa Lebanon na Syria kwasababu maeneo yao yatachukuliwa!?
Kwa jeshi lipi la Israel linaweza kufanya hivyo!?
Jeshi ambalo limepungukiwa nguvu kazi kiasi wanalazimisha raia kuingia vitani?
Jeshi ambalo lina askari 12000 walemavu wa kudumu,ambao wamepatikana katika vita dhaifu ya Israel vs Hamas!?

Lebanon kuna Hizbollah,kundi ambalo liliipiga Israel na kuipokonya BINT JUBEIR kusini mwa Lebanon.
Kundi ambalo liliweka mgomo wa mipaka ya bahari iliyodaiwa kuwa ya Israel kutokutumiwa mpaka mwaka huu wakakubaliana kugawana hiyo mipaka.
Kundi ambalo limeharibu makazi ya raia zaidi ya laki mbili kaskazini kwa Israel na kuua zaidi ya IDF 500 kwa border fire exchange.
Huko Syria jiulize kwanini Israel haendi hovyo!?
Huko kuna jeshi la IRGC limeweka kambi,akithubutu kwenda atakutana na jeshi la IRAN kama IRAN sio proxy wake.Na hachomoki jino moja.
Israel hana ubavu wa kupigana na jeshi la IRAN akachomoka,jeshi ambalo limepigana vita ya miaka 8 non stop ikichangiwa na mataifa matatu na ikashinda,tena mataifa kamili Iraq,France,USA.

Hakuna faida Israel inapata kwa kuua raia Gaza,na hii haikua mara kwanza,2021 imefanyika na Gaza ilijengwa watu wakazaliana.
Nadharia mfu hizi ulizonazo.
 
Ona huyu anaongea nini!?
Hakuna kunufaika lolote,waliouawa na waliobaki bado wengi sana.
Hivi unajua kuna WaGaza ambao wako nje kikazi na hawajarudi Gaza!?
Hivi unajua watarudi ili kuijenga Gaza na kuendeleza Gaza!?
Katika hao milioni 1.7 hivi unajua kuna vijana wakike na wakiume ambao watakua na kuongeza uzao hapo Gaza!?
Hivi unajua kuna wanaGaza Occupied West bank ambao wanasubiri hali Gaza iwe shwari warudi!?

Nani kakwambia Iran anaogopa kuanzisha vita na Israel!?
Nani kakwambia Israel ikianzishiwa vita na Iran itakua msala wa Lebanon na Syria kwasababu maeneo yao yatachukuliwa!?
Kwa jeshi lipi la Israel linaweza kufanya hivyo!?
Jeshi ambalo limepungukiwa nguvu kazi kiasi wanalazimisha raia kuingia vitani?
Jeshi ambalo lina askari 12000 walemavu wa kudumu,ambao wamepatikana katika vita dhaifu ya Israel vs Hamas!?

Lebanon kuna Hizbollah,kundi ambalo liliipiga Israel na kuipokonya BINT JUBEIR kusini mwa Lebanon.
Kundi ambalo liliweka mgomo wa mipaka ya bahari iliyodaiwa kuwa ya Israel kutokutumiwa mpaka mwaka huu wakakubaliana kugawana hiyo mipaka.
Kundi ambalo limeharibu makazi ya raia zaidi ya laki mbili kaskazini kwa Israel na kuua zaidi ya IDF 500 kwa border fire exchange.
Huko Syria jiulize kwanini Israel haendi hovyo!?
Huko kuna jeshi la IRGC limeweka kambi,akithubutu kwenda atakutana na jeshi la IRAN kama IRAN sio proxy wake.Na hachomoki jino moja.
Israel hana ubavu wa kupigana na jeshi la IRAN akachomoka,jeshi ambalo limepigana vita ya miaka 8 non stop ikichangiwa na mataifa matatu na ikashinda,tena mataifa kamili Iraq,France,USA.

Hakuna faida Israel inapata kwa kuua raia Gaza,na hii haikua mara kwanza,2021 imefanyika na Gaza ilijengwa watu wakazaliana.
Nadharia mfu hizi ulizonazo.
Una shida ya kufikiri
 
Nimeona na kusikia mpango wa mazungumzo ya kuachiwa kwa mateka wanne wa israel wanaoshikiliwa na Hamas. Nimeshangaa sana.

1. Hamas wanafanya njni na hawa watu ambao hawana maana yoyote kwao? Na kuendelea kuwa shikilia ni kuendelea kujiweka katika mazingira hatarishi ya kushambuliwa na hata kusababisha vifo.

2. Israel imeuwa maelfu ya watu wa palestina wengi wakiwa ni watoto na wamama. Kuna sababu gani ya kuendelea kushikilia watu wa4? wamalize kazi angalao kuongeza hasara kwa israel.

3. Mji wa Gaza kwa sasa umekuwa magofu baada ya israel kubomoa 95% ya majengo yote yaliyopo kule gaza. Hii inanikumbusha mji wa Aleppo uliopo kule syria ulivyoaribiwa na majeshi ya serekali wakati wakipambana na makundi ya kigaidi ya isis.

3. Mji wa Gaza umechakazwa vibaya mno. Itachukuwa muda mrefu sana kuja kuujenga tena.
Hii vita huwa nikiifikiria sana nashindwa elewa nini hasa ndio chanzo cha haya yanayoendelea leo huku mashariki ya kati. Kweli Hamasi waliwavamia Wayahudi na kufanya kama yaliyoshuhudiwa siku hiyo Octoba 7, watu wakatekwa na wengine kuuwawa, Myahudi akaanzisha kitu ambacho aliapa kuwa kitu anachofanya kitakumbukwa miaka 50 ijayo na kweli kimeonekana kuwa miaka 50 ijayo kitakumbukwa.
Hoja Zangu hapa ni kwa nini hawa Hamasi wanaendelea kuwashikilia mateka ambao ndio chanzo kikubwa cha maafa huko Gaza??, nini wanachonufaika nacho kutokana na haya mauaji ambayo kuna wengine wanakumbwa hawana hatia kabisa??
Nchi ambazo zinasimamia kama suruhisho la hii vita kwa nini wasiwashawishi Hamasi kuachia mateka na kuacha maisha yaendelee kama hapo awali??
Nawaza sana mpaka nashindwa pata majibu sahihi ya hii kitu
 
Miez zaidi ya 9 sasa israel ametumia zaid ya mabilion ya dollar lakn hakuna alichofanikiwa zaid ya kuua watoto, hadi sasa kwaio zaid ya mateka 100 ndo wamefanikiwa kuwaokoa wanne
Kwenye mzozo huo, kati ya Israeli na Gaza, nani alikuwa na malengo mhimu kwa mwenzake?
 
Miez zaidi ya 9 sasa israel ametumia zaid ya mabilion ya dollar lakn hakuna alichofanikiwa zaid ya kuua watoto, hadi sasa kwaio zaid ya mateka 100 ndo wamefanikiwa kuwaokoa wanne
Hii ni akili ya madrasa. Yaani watu hawana chakula, maji wala makazi unasema Israel hawajafanikiwa? Ndio maana mnakufa mnapoenda makka mnakufa kama kuku wa kideli kwa joto kali ambalo ingekuwa kweli mnaabudu mungu angekuwa anawaletea wingu ili kupunguza joto.
 
Malengo yao ilikua kuifuta Hamas na kurudisha mateka.
Kipi kimetimia?
Kwani vita imeisha? Vita inaendelea na imepangwa kufanyika muda mrefu. Sasa subiri tuone hiyo palestina imara yenye kizazi
 
Hii ni akili ya madrasa. Yaani watu hawana chakula, maji wala makazi unasema Israel hawajafanikiwa? Ndio maana mnakufa mnapoenda makka mnakufa kama kuku wa kideli kwa joto kali ambalo ingekuwa kweli mnaabudu mungu angekuwa anawaletea wingu ili kupunguza joto.
Kwa hiyo kushinda vita ni kubomoa majengo na kushindisha watu njaa!?
Vita ni malengo wewe.
Malengo ya Israel yalikua kuitokomeza Hamas na kuokoa mateka.
Je yametimia?
 
Kwani vita imeisha? Vita inaendelea na imepangwa kufanyika muda mrefu. Sasa subiri tuone hiyo palestina imara yenye kizazi
Unajua Israel kuwa ina uhaba wa wanajeshi sasa hivi!?
Unajua kama raia wa kawaida wanalazimishwa kujiunga jeshini sasa hivi!?
Unajua kama Israel imepata wanajeshi walemavu wa kudumu takriban elfu 12!?
Unajua kama Serikali ya Israel ina mgawanyiko kwa kinachoendelea Gaza!?
Unajua kama raia wanaandamana dhidi ya serikali yao ya Israel!?
 
Back
Top Bottom