KennedyMmari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2012
- 979
- 187
Ninawapongeza wakenya..kwa kumchagua rais wanayemtaka...hakika wamevuka kikwazo cha ukabila ambacho kilikuwani wimbo wa taifa...kupata asilimia 50 tu ukizingatia wakikuyu hawazidi 30% ya wakenya ni kiashirio kuwa hata makabila mengine yalimpigia kura...wimbo wa ukabila kenya unakaribia kwisha...hongerenisana