Tuacheni wimbo wa kuwa wakenya ni wakabila

Tuacheni wimbo wa kuwa wakenya ni wakabila

kenya-map-tribes.gif
kenya_tribes.jpg

Wakenya tuelezeni kwa ufasaha, je ni kweli kura zimepigwa kwa ukabila?

Ni kweli Kura zimepigwa na ukabila. Uhuru won with support from his tribe and Ruth's tribe. Those 2 tribes registered the greatest number of voters with abnormally high turnout. Uhuru lost everywhere else. Raila won and had the support from 40 of the 42 tribes. That is just the fact. Kenya is more divided now than ever.
 
kenya-map-tribes.gif
kenya_tribes.jpg

Wakenya tuelezeni kwa ufasaha, je ni kweli kura zimepigwa kwa ukabila?

asante mkuu kwa kuleta hii ramani na mgawanyiko wa makabila...hapa kelele zitapungua kwa kweli
andate
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli Kura zimepigwa na ukabila. Uhuru won with support from his tribe and Ruth's tribe.

hivi unajua wakikuyu ni 19% ya wakenya wote??unajua kuwa wakikuyu wenye sifa za kupiga kura chini ya asilimia 50%????ikiwa na tafsiri kuwa ni kura zisizozid milioni moja kati ya milioni 6 alizopta uhuru kenyatta
 
hivi unajua wakikuyu ni 19% ya wakenya wote??unajua kuwa wakikuyu wenye sifa za kupiga kura chini ya asilimia 50%????ikiwa na tafsiri kuwa ni kura zisizozid milioni moja kati ya milioni 6 alizopta uhuru kenyatta

Boss, relax. We are not talking about population but the number or registered voters in the GEM(A) community. They surpuss the 30% mark. Add the Kalenjin community you hit the 45% mark. And a peppering from the 2 tribes' diaspora you are at 50% Uhuru is kikuyu, his running mate is Kalenjin. The kikuyu and Kalenjin together voted in Uhuru.

How many gubernatorial seats did Jubilee win outside central and Rift Valley? What is their spread like.
 
this is funny

It is not funny. Nimeshuhudia kwa macho yangu mtu akihisi katendewa ubaya na mtu wa kabila lingine wakati hamjui. Ilibidi nimhoji msemaji akaniuliza we watokea pande ya wapi na usijue kabila fulani ndo wako hivi. Je mazuri haya ku generalise kabila kwa tabia chafu?
 
Boss, relax. We are not talking about population but the number or registered voters in the GEM(A) community. They surpuss the 30% mark. Add the Kalenjin community you hit the 45% mark. And a peppering from the 2 tribes' diaspora you are at 50% Uhuru is kikuyu, his running mate is Kalenjin. The kikuyu and Kalenjin together voted in Uhuru.

How many gubernatorial seats did Jubilee win outside central and Rift Valley? What is their spread like.

You had to ask that one? why do you have the impression that the gubernatorial seats represent the face of kenya and not the senatorial ones or the members of the national assembly?
 
You had to ask that one? why do you have the impression that the gubernatorial seats represent the face of kenya and not the senatorial ones or the members of the national assembly?

good question
 
I think this one by mekatilili is off the mark and is highly to create confusion about GEMA without substantiation.

...The kikuyu and the kalenjin votes in total could not garner uhuruto the victory. We have what we call swing counties for example in lamu, wajir north, garissa township, mandera east, teso, kisii, nyamira..etc.

when you add the votes tally from such counties where neither of the horses commanded all votes then you will understand why jubilee had to win. If only you could see that.

This is a science and only statisticans can explain this development, others we should plead ingnorance
 
And the guy seems to think that merus and aembus are kikuyus, you could see it in the lists he was providing earlier on.
 
Ni kweli Kura zimepigwa na ukabila. Uhuru won with support from his tribe and Ruth's tribe. Those 2 tribes registered the greatest number of voters with abnormally high turnout. Uhuru lost everywhere else. Raila won and had the support from 40 of the 42 tribes. That is just the fact. Kenya is more divided now than ever.

Nakubaliana na wewe kabisa...Hebu angalieni hesabu hii jinsi ukabila ulivyomsaidia Uhuru kushinda
Hizi data nilipata kwa Mkenya mmoja aishie Nairobi

Kikuyus walijiandkisha 4.3 Million
Kalenjins (kwa Ruto) walijiandikisha 1.7 millions
Merus - Great supporters wa wakikuyu walikuwa 0.9 million
Jumla ni kura takiban 6.0Million

Jaluos walijiandikisha 1.7Million
Kambas (Kwa Kalonzo) 1.6 million
Jumla ni 3.3 million

Luhya kwa Musalia Mudavadi walijiandikisha kama 1.5million hivi

Kwahiyo Uhuru alihitaji kura chache sana kutoka kwa makabila mengine ndivyo ashinde. Na ndicho kilichotokea.

Kama uliangalia vyema, Raila alipata kura nyingi kutoka kwa sehemu nyingine pia. Na makabila karibuni yote yalisapoti muungano wake... Isipokuwa ya wakalenjins na Kikuyus, na Wamerus

Kungekuwa na Run off angeweza kushinda Raila...lakini kwa first run...alikuwa hana ujanja, na ndicho kilichojiri...

Chezea ukabila Kenya weye?
 
Kikuyus walijiandkisha 4.3
Million
Kalenjins (kwa Ruto)
walijiandikisha 1.7 millions
Merus - Great supporters wa
wakikuyu walikuwa 0.9 million
Jumla ni kura takiban
6.0Million


kimahesabu hii pekee ni milioni 7...bado kura nyingine..mbona hajafikisha sasa??tuache uongo
 
Well said mkuu! Gonjwa la ukabila ni kubwa na litachukua muda sana kuisha huko. Mtu anaibiwa ktk daladala halafu anasema lazima atakuwa mtu wa kabila fulani ndo kanitenda. Loh!

Ndio maana nimesema tribalism in Kenya is an Institution. Hapa kwetu upo ukabila mdogo sana lakini at an Individual level
 
Uhuru hajachaguliwa kwa ukabila, ikumbukwe kuwa 2002 alikuwa chaguo la Moi kupitia KANU akagaragazwa vibaya na Kibaki wa NARC, kama ni ukabila ungembeba ukichagizwa na mbereko ya Moi. Dogo kajipanga fresh, amerejea kwa kishindo watu wanalalama 'ukabila, ukabila'. Huyo Odinga alishinda 2007 akamlegezea Babu, sasa amekwisha, akajipange kwa ajili ya 2018.
 
Uhuru hajachaguliwa kwa ukabila, ikumbukwe kuwa 2002 alikuwa chaguo la Moi kupitia KANU akagaragazwa vibaya na Kibaki wa NARC, kama ni ukabila ungembeba ukichagizwa na mbereko ya Moi. Dogo kajipanga fresh, amerejea kwa kishindo watu wanalalama 'ukabila, ukabila'. Huyo Odinga alishinda 2007 akamlegezea Babu, sasa amekwisha, akajipange kwa ajili ya 2018.

mbona odinga alishinda general election??hili swali waulize wote wanaopiga kelele kuwa kenya kuna ukabila....na kelele zao ndo zinaamsha hisia za ukabila kenya
 
Back
Top Bottom