Tuambiane sifa kubwa za Wanawake wa Kinyarwanda. Nataka kuvuka border!

Ungeanza na alichokuuliza mkuu hizo fulsa utatafta mwenyewe.
Mimi nikisafiri nje huwa siangalii makalio ya mwanaume au mwanamke Sina Cha kumjibu kwa Hilo yeye kajitia alisafiri kwenda Kigali kikazi ndio maana nikamjibu kikazi zaidi.Kuwa mwajiri wake kupoteza pesa bure
 
Wana akili nyingi, wengi ni wakimya kwa sura, hutokuwa pekeyako yaan kuna binam zake utakuwa unachangia nao, utatangulia kufa wewe hilo ndo la umuhimu zaid, jiandae kujipikia msosi.
 

Kamuulize Muhutu AY aliejitoa ufahamu kaenda kuoa Mtutsi!

Sijui kwanini mnaacha a woman who looks like you and shares DNA with your ancestors unaenda kuoa mwanamke who got nothing in common with you?

Usiniambie sijui mapenzi and blah blah,yote umepanga kwa makusudi na ukaenda kuwatongoza kwa makusudi,hakuna mungu hapo wala eti ni mipango ya Mungu!

Ni pure deliberate conscious move to choose them,there is no some self driven love towards other kind!Its an illusion!
 
Kama ulifikia kigali sii ungewachunguza kipindi upo huko...

Unawaulizia humu hutopata jibu, kila mtu atasema yake...

Kukusaidia tu, wana roho za kisomali, muda wowote kukupiga ambush ni kitu cha kawaida sana kwao...



Cc: mahondaw
 
kwa hyo hiyo sio n fursa.au umesomea shule za vipaj maalum
 

Kuna mgahawa nilienda akaja mhudumu mmoja hivi binti mkali balaa. Sidhani kama nimewahi kukutana na mtoto bomba vile aisee, tena alikuwa mchangamfu. Yaani mtoto unamuangalia hata hauamini unachokiona mbele yako.

Kama wewe ni mwanaume halafu usivutiwe na kitu kama kile una matatizo makubwa.
 
Kumbe hawa mabinti wa kinyarwanda ni majanga tupu😀😦 Kwa dating je mnashauri vipi, naweza kuepuka hizo changamoto au na kwenyewe huko ni hatari faya?
 
wanaweza kukuuza kwa vipande 30 vya fedha
 

seconded
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…