stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 17,216
- 26,225
Mimi nilikuwa tu nazisikia hata kuziona nilikuwa sijawahi kuziona. Nilikuwa naamini zitakuwa zinauzwa gharama kubwa sana kwa hiyo sikuwahi hata kuwa na muda wa kuzifuatilia. Hebu na wewe kuwa muwazi mara yako ya kwanza kutumia sanitizer ilikuwa wapi na lini.