Tuambie kitu cha utundu sana ulichofanya utotoni na hutakisahau maisha yako yote

Siku moja tumeenda kanisani Na ahangazi. Tukawa tumechelewa tukakaa bench la mwisho ukutani Na wamama kadhaa. Wakati wanaaimama kusali baba yetu uliyembinguni nikaingiza mkono ndani ya sketi ya mama Fulani kwa chini huku mm nilikua nimekaaa nikamshika uchi wake aliniangalia akanipotezea. Nadhani alipenda nilichomfanya
 
Ilikua siku ambayo sitaki kuoga naficha sabuni zoote .... Na maza kunkomesha alikua ananunua sabun ya unga na haus gel anansundikiza hiyo sabun machon hata dakka mbili ... Kwa hasra ... Naiba chup za haus gel naenda kumpa ka rafk kangu ka kike anazvaa tunapocheza baba na mama ... Aisee ukichwa mbovu unansumbua mpk leo
 
pl
 
Hahahaaa daaah mbavu zangu hahahaaa
 
ww muohongo
 
Ulikuwa bado ujazaliwa wewe....., ki ukweli tumetoka wengine background zetu ni ****** tumefika hapa kwa neema !
Tukio lako lulikuwa maarufu sana. Sikuwepo lakini nililiskia na lilivuma sana ktk maskani nyingi.
 

Niliwahi Kuchoma NYUMBA ya jirani

ule mchezo wa kuchukua dawa ya MBU alafu unaweka kiberiti kwa mbele alafu unawasha...hehehe Bado kidogo nifungwe

tukio la pili nilikoswa koswa na kuungua maji ya MOTO kichwani kwa sababu ya UBISHI

beki3 aliyaficha juu ya kabati.. nimetoka mpirani nikaona asinitanie.. nikayapandia hukohuko juu kumbe sufuria lilijaa maji.. yakanikosa kichwani yakaangukia tumboni.. *****.. KIDONDA kilitokea mpaka KIKAPONA,,, hakuna aliyejua... mamaeee... mpaka leo sina kovu.. no ASALI.. no medicine.. mwendo wa kavukavu na nilipona fresh
 
Mkuu utimamu wa bamia yako kwa sasa upoje? Madhara hayajawa ya muda mrefu?
 
Duuh huyo jamaa hatarii kwa afya
 
Haaaa mkuu ulijisikiajee??
 
Duuuh pole sanaaaa
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…