Tuambie kitu cha utundu sana ulichofanya utotoni na hutakisahau maisha yako yote

Tuambie kitu cha utundu sana ulichofanya utotoni na hutakisahau maisha yako yote

Nilishawahi kutosa madaftari ya shule kwenye mtaro wa maji halafu nikapaka shati pamoja na mwili matope nikarudi nyumbani nikadanganya nimeteleza kwenye mtaro ili nisiende shule yote hayo kwa ajili ya kuwahi fainali kombe la Big G
Haaaaaa daah jamaa we mbunifu
 
Mimi tumefanya mengi ila hili ni kiboko

Tulikuwa tunashusha kaptula kama kata ke alafu tunakaa kwenye madirisha ya nyumba ambazo haizijaisha mtu akipita anajua tunapiga story kumbe huku nyuma tuna kata gogo bila hofu kabisa
Haaaaaaaaa mkuu kwelii mlikuwa mnajisafisha??
 
Nilichukua bati nikamtahiri binamu yangu alikuwa (wakiume) mdogo kwangu. Nilichungulia wale wakunga wa jadi wanavyofanya nikajisemea kumbe kazi ndogo hivyo. Ilibidi mkunga wa jadi atafutwe haraka maana nilianza nikashindwa kumalizia
Duuuh, hatariiii sanaa ulitakiwa usomee udaktarii
 
Nilipanda kwenye nguzo ya simu Nikaunganisha waya tukawa tunapigisha simu ulaya, matokeo yake siku moja likpita gari ya polisi ikakuta watu wamepanga foleni wakisubiria kupiga simu baadhi walidandiwa wakapelekwa jela akiwemo mjomba wangu aliyekuwa akikusanya hela bimkubwa akaamua kunihamisha shule niende boarding kukimbia kesi maana kuna watu walinitaja kuwa ndio ninaeunganisha waya!
Duuh, uliunganishaje mkuu? Afu simu zipi hzo
 
Niliwahi kukuta jamaa kaopoa demu wake mahali wamejibanza gizani.
Kwa akili zangu za utoto nikawafuata nikawastua kwa sauti ya kustukiza ya ghafla.

Jamaa akadhani amebwambwa akatimua mbio na demu wake naye mbio.

Baada kama ya dakika mbili jamaa akatulia akaangalia akakuta ni dogo ndio nimemzingua, hakukuwa na hatari yoyote.

Jamaa akanifukuzia kwa machungu akakinikamata, alinipiga mtama enzi hizo tunaita ngwala, nikabinuka juu chini, nilivyotua hewani nikapoteza network kama dakika tano.

Yaani network zilikata nikashindwa kujua ni wapi nilikuwa nimetokea na ninaelekea wapi.
Jamaa kuona vile hofu ikamshika maana anilijua ni dogo wa kitaa, alikuwa ananifahamu, akataka kusepa kwa uoga kuwa huwenda ameniumiza .

Baada kama ya dakika tano hivi network zikarudi.
Nikaamka nikaelekea nyumbani.

Tangu siko hiyo adabu ilinishika, sijawahi mpaka leo kumzingua mtu nikimkuta yuko kichochoroni na mchepuko wake aiseee

Duuuh network ikashuka ghafla kutoka 4g mpk E
 
Duuuuh weee kweli chizi

Kwetu kulikuwa na mfanyakazi na udogo ule nilikuwa namtia vidole kisha nanusa alafu naenda kunawa kisha namtia kidole kisha nanusa kisha naenda kunawa
Haaaaaa afu yeye alikuwa anafanyaje
 
Mtaani kwetu sijui ilikuaga vip tulianzisha kuiba maua ya kwenye makopo yaani tulikua tunaenda mtaa wa mbali jioni kundi zima la watoto wa mtaa wetu tunaenda kuiba maua mtaa wa mbali kidogo na kwetu , basi mtaa wetu ulijaa maua mpaka wazazi wakashangaa inakuaje kila nyumba ya mtaa huu imejaa maua yaani kulipendeza sana , sasa madogo wa mtaa huo wakagundua nao wakawa wanakuja kuiba mida ya usiku , wanabeba maua yote wanaamisha kwao kesho yake na sisi tunafanya hivyo hivyo , ikabidi tuunde kamati ya ulinzi ya watoto wa pale mtaani , kuna maua yalikua adimu kupatikana ikifika usiku tulikua tunaamishia ndani kwa siri wazazi wasione iliyasiibiwe , basi ikawa trend karibia mitaa yote watoto wakaanza kuiba maua na kuzungushia kamba wazaz walikua wanashangaa hiki ni kitu gani yaani ilikua baraa sana
 
Back
Top Bottom