Tuambie kiwango chako cha kukopeshwa na huduma ya songesha ni shilingi ngapi?

Tuambie kiwango chako cha kukopeshwa na huduma ya songesha ni shilingi ngapi?

Yaani unakuta mtu anakopa ili aweze kulipa mkopo wa bundle ili aweze kukopa tena.
Ni kamzunguko flani cha umaskini unaweza usikione kwa urahisi (vicious cirlce of poverty)
 
Unakuja kujisifia na ufukara ? Yani mpk ufike kiwango hicho wewe ni mkopaji Pro max! Unakopa mara kwa mara mpaka umefikia hicho kiwango! Deni sio zuri, sio kitu cha kujisifia ni vile tu kuna mda mambo yanakwama !
 
Screenshot_20250204-172344.jpg
 
Yaani unakuta mtu anakopa ili aweze kulipa mkopo wa bundle ili aweze kukopa tena.
Ni kamzunguko flani cha umaskini unaweza usikione kwa urahisi (vicious cirlce of poverty)
Hadi unakopa kwa ajili ya vocha, hapo huitaji terminologies za vicious circle of poverty kujua kuwa upo BROKE.

Na umaskini hauuoni Ila unauhisi maana haina tabia ya kujificha
 
Unakuja kujisifia na ufukara ? Yani mpk ufike kiwango hicho wewe ni mkopaji Pro max! Unakopa mara kwa mara mpaka umefikia hicho kiwango! Deni sio zuri, sio kitu cha kujisifia ni vile tu kuna mda mambo yanakwama !
Kunywa maji mengi sana
 
Back
Top Bottom