LGE2024 Tuambie kwanini hutopiga kura Uchaguzi wa Serikali za Mitaa?

LGE2024 Tuambie kwanini hutopiga kura Uchaguzi wa Serikali za Mitaa?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Mjumbe ambaye anategemea kuchaguliwa, anaajilaumj why hakuomba zamani maana viwanja vya wazi vyote vimeshauzwa ? Hela ya barua yanutaambulisho ni sekta ya mtendaaji wa ofisi.

Kama lengo ni kuuza viwanja. Unadhani hiz barabara mbovu wanaweza wakajengea hoja,
Unadhani maswala ya ujenzi holela na maswala ha maji na usalama wa mtaa watapigania kwa kiasi gani.
 
Tuambie kwanini hutopiga kura kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa jumatano?
HIli ni jambo binafsi kulingana na maoni,mtazamo wangu ,matarajio na malengo hivyo haifai kuwa ni jambo la kushawishiana ama kupiga au kuto kupiga.Ila kila mtu akili kumkichwa unaweza mwambia hutompigia na utasemezana na ndugu marafiki na jirani kwa kuwa ama unaona hana uwezo,ama hafai ama kwa itikadi kwa mujibu wa imani yako,ama nia njema kwa taifa na watu wake,uka kuta mhuni anakukadiria ununio inakutosha.
 
Kwa sababu CCM wana njia tatu za wizi wa kura kama alivyotuhabarisha bwana Nape. Kwa hiyo kupiga kura ni kupoteza muda
 
Upige kula usipige hakuna atakayekuletea chakula nyumban chamsingi wa2 wapambanie umaskini kwanza kuhusu uongoz ata kama wakimsimamisha mbuzi au ng'ombe kama wanamuamini atuongoze tuu potelea mbali
 
Sasa kama naona mgombea wangu hashindi ya nini kwenda kupoteza muda kupiga kura?
 
Back
Top Bottom