Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitapiga tu kwanini nisipigeTuambie kwanini hutopiga kura kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa jumatano?
Wape kula walajiMimi nitashiriki kikamilifu kuhakikisha CCM inapata ushindi😏
Kupiga kura isiyoheshimiwa ni kupoteza muda.Hata vyama upinzani wangeachana na chaguzi hizi.Uenyekiti wa mtaa ,kijiji na kitongoji unaua MTU! ccm ni mashetani.Sikujiandikisha na Jana nilipumzika nyumbani.Tuambie kwanini hutopiga kura kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa jumatano?