Tuambie sababu iliyokupelekea ukawa unatumia hiyo ID yako hapa JF

Nilijikuta tuu naandika hili jina kutokana na msongo wa mawazo niliokuwa nao nakuwafikiria binadamu walivyo na roho za kisasi(kinyama) halafu wengi wao wao wanajifanya wameishika sana Dini kumbe ni wachawi wakubwa
 
Hahaaa nmekusoma sana!! Esta-Estaa
,John-Johniii
[emoji2][emoji2][emoji2]Kaskazin bhana
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nilijikuta tuu naandika hili jina kutokana na msongo wa mawazo niliokuwa nao nakuwafikiria binadamu walivyo na roho za kisasi(kinyama) halafu wengi wao wao wanajifanya wameishika sana Dini kumbe ni wachawi wakubwa
Huu ni ukweli mchungu
 
At first naingia humu niliingia na jina langu halisi ilikua year 2014.
Sikua wa vile sana jukwani.
Ila kunakitu nilinotice kuwa member wengi walikua na majina ya kubuni.
Sasa nikaona nami ni buni la kwangu, ID haina maana yoyote, zaidi yakuwa tu muda uwo ambao niliamuaa kutengeneza ID nyengine ulikua ni muda wa Dochi Vele sa 7 mchana.
 
Ilalalaaaa Ilalaaaaa La Familiaaaaa Mikono Mfululu yaani papapapapapaaa wamekaaaaaaa!!

Your browser is not able to play this audio.
 
Santos jina langu 06 ni nafasi yangu uwanjani
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji16]
 
Kama vile mimi naitwa Chalii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…