OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kila mmoja anaisifia Mamelod kuwa ni timu tishio msimu huu lakini hawasemi Mamelod amefikaje hapo
Kabla ya kufuzu Nusu fainali msimu huu Mamelod amecheza Robo Fainali 4 mfululizo na kutolewa zote
Raja Casablanca ndani ya misimu mitatu mfululizo wanatolewa hatua ya robo fainali
Mpaka sasa Simba tumecheza Robo Fainali 3 za ligi ya mabingwa halafu anatokea mtu anakuambia Simba haistahili sifa maana Robo Fainali wameshacheza sana
Hatuvimbi kichwa kuishia Robo Fainali lakini tunajipongeza kwa kuwa na uthabiti (Consistency) hatujapiga hatua kubwa kwenda mbele lakin hatujarudi nyuma hata hatua moja
Tangu mwaka 2018 ni timu tano tuu zimekua na uhakika kucheza Robo Fainali mfululizo ikiwemo Simba nyingine zimeingia na kutoka
Tunapokea ukosoaji kuwa sasa tunatakiwa kutoka hapa na kusonga mbele zaidi Lakini tunasubiri kupiga hatua mbele ni lazima tujivunie hiki tulichopata
𝐌𝐩𝐢𝐫𝐚 𝐧𝐢 𝐦𝐜𝐡𝐚𝐤𝐚𝐭𝐨 𝐧𝐚 𝐥𝐚𝐳𝐢𝐦𝐚 𝐭𝐮𝐡𝐞𝐬𝐡𝐢𝐦𝐮 𝐦𝐜𝐡𝐚𝐤𝐚𝐭𝐨
My Take
Katika Ligi ya Mabingwa, timu yangu ilitolewa hatua ya robo fainali yaani 8 bora. Tuambie timu lako ilitolewa hatua gani katika Ligi ya Mabingwa
Kabla ya kufuzu Nusu fainali msimu huu Mamelod amecheza Robo Fainali 4 mfululizo na kutolewa zote
Raja Casablanca ndani ya misimu mitatu mfululizo wanatolewa hatua ya robo fainali
Mpaka sasa Simba tumecheza Robo Fainali 3 za ligi ya mabingwa halafu anatokea mtu anakuambia Simba haistahili sifa maana Robo Fainali wameshacheza sana
Hatuvimbi kichwa kuishia Robo Fainali lakini tunajipongeza kwa kuwa na uthabiti (Consistency) hatujapiga hatua kubwa kwenda mbele lakin hatujarudi nyuma hata hatua moja
Tangu mwaka 2018 ni timu tano tuu zimekua na uhakika kucheza Robo Fainali mfululizo ikiwemo Simba nyingine zimeingia na kutoka
Tunapokea ukosoaji kuwa sasa tunatakiwa kutoka hapa na kusonga mbele zaidi Lakini tunasubiri kupiga hatua mbele ni lazima tujivunie hiki tulichopata
𝐌𝐩𝐢𝐫𝐚 𝐧𝐢 𝐦𝐜𝐡𝐚𝐤𝐚𝐭𝐨 𝐧𝐚 𝐥𝐚𝐳𝐢𝐦𝐚 𝐭𝐮𝐡𝐞𝐬𝐡𝐢𝐦𝐮 𝐦𝐜𝐡𝐚𝐤𝐚𝐭𝐨
My Take
Katika Ligi ya Mabingwa, timu yangu ilitolewa hatua ya robo fainali yaani 8 bora. Tuambie timu lako ilitolewa hatua gani katika Ligi ya Mabingwa