Dar-Kongwa kwa Jobo V8 inakula Lita ngapi?Ni kweli Mkuu, V8 inakula 5km per liter , Hongera kama kweli unamilikia hilo dude big up sana.
Zaidi ya liter 200,Dar-BK inakula Lita ngapi?
Soon Jobo anaenda kuzikosa hizo privileges. Kanyea kambiZaidi ya liter 200,
hamia kwenye gari ya diesel mkuuHii serikali kama petrol leo ni 2660 Tutajikuta tunaenda kazini na bajaji sasa[emoji3][emoji3][emoji3]
land cruiser 100 na 200 zina kipupwe cha kufa stuAC ya V8 Kali sana na nimeweka LOW!
Haishindi mercedes Benz G classKumbe Range rover zinatulia hivi njiani! sijui nilichelewea wapi tu.
piga mara liter 100,pia ulaji wa diesel sio sawa na petrolDiesel Nayo tofauti ni sh 150 na petrol
Pump haichezewi wala huibiwiMsiweke mafuta sheli ya Puma Sinza kijiwen ni wez wanacheza na pump
Mbona pafupi sana pale?Mkuu umeona mkeka wa masaki kule cocobeach ule mkeka umetengenezwa grade A tutamiss sana JPM. Nilijikuta nimefika 120kph afu ngoma naona kama haikimbiii[emoji28][emoji28][emoji28] imetulia road. Ule mkeka kwangu naupa no1
Achana na IST mkuu ama usipakie watuUkipita kwenye tuta kubwa ama kwenye njia yenye makorongo mengi roho huwa inaumaga sana
Bila shaka ni Sao Hill hio mkuu...πππHichi kipande cha kutoka Mafinga to Makambako ni kitamuu balaa 140kph si haba
Dar Uyole, Mbeya ni KM 850 kama masaa ya serikali utatumia masaa 15Wakuu hivi Dar to mbeya ni KM , na nikitoka saa kumi jioni natoboa saa ngapi? Kama nitaendesha mwendo wa serikali
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wakuu hivi Dar to mbeya ni KM , na nikitoka saa kumi jioni natoboa saa ngapi? Kama nitaendesha mwendo wa serikali
Yes Chief hasa kuanzia check point pale ni mafuta tuBila shaka ni Sao Hill hio mkuu...[emoji3][emoji3][emoji3]