Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee Kumbe ulikua na uwezo wakusimama hio roho mbaya na nimauaji Sio Ajali damu yake Bdo itakulilia,Niliwahi kuondoka na uhai wa mmoja wao.Inaniuma na huwa sipendi kulikumbuka hili tukio kwani alikufa vibaya sana.To cut the story alikuwa analeta mambo ya freestyle barabarani na kama unavyowajua wakiamua lao hakuna wa kuwaambia kitu.Nkahangaika mpaka nkapita kwa mbele sana nkakutana na chalii yao ambae yeye alikuwa anafanya makusudi kabisaa nlichofanya ni kukanyaga accelerator kwa hasira and the rest is a story.
uliua kwa makusudi na bado unajisifia! malipo ni hapahapa mkuuNiliwahi kuondoka na uhai wa mmoja wao.Inaniuma na huwa sipendi kulikumbuka hili tukio kwani alikufa vibaya sana.To cut the story alikuwa analeta mambo ya freestyle barabarani na kama unavyowajua wakiamua lao hakuna wa kuwaambia kitu.Nkahangaika mpaka nkapita kwa mbele sana nkakutana na chalii yao ambae yeye alikuwa anafanya makusudi kabisaa nlichofanya ni kukanyaga accelerator kwa hasira and the rest is a story.
Siwezi kuandika yote ila nayoweza kukwambia ni kwamba nilitumia dk25 kwenye eneo la 1km huku nikiporomoshewa matusi kila nilipowaomba kupita.Nilikuwa na ushahidi wa video na ndo ulifanya nikashinda kesi ile japo kiubinadamu naipiga tafu familia yakeMzee Kumbe ulikua na uwezo wakusimama hio roho mbaya na nimauaji Sio Ajali damu yake Bdo itakulilia,
On the other hand mm nshawah mkosa kosa Boda Boda daraja LA mfugale kwa chini nimetoka zangu airport jamaa huyu Hapa na mm nimeruhusiwa na nipo speed ilibidi tu nikanyage brake Mpaka zile pedal nazisikia kabsa zikibana matairi na bahati nzuri yule Boda nae akakamata brake zake zikakubali aisee alinishukuru sana yule jamaa akawa haaminii.
Askof tzaSiwezi kuandika yote ila nayoweza kukwambia ni kwamba nilitumia dk25 kwenye eneo la 1km huku nikiporomoshewa matusi kila nilipowaomba kupita.Nilikuwa na ushahidi wa video na ndo ulifanya nikashinda kesi ile japo kiubinadamu naipiga tafu familia yake
Ila Bdo haukua na haki yakuuaSiwezi kuandika yote ila nayoweza kukwambia ni kwamba nilitumia dk25 kwenye eneo la 1km huku nikiporomoshewa matusi kila nilipowaomba kupita.Nilikuwa na ushahidi wa video na ndo ulifanya nikashinda kesi ile japo kiubinadamu naipiga tafu familia yake
Natambua,nilishajutia na kuomba toba mkuuIla Bdo haukua na haki yakuua
huo unyonge toba ya nini sasa!![emoji51][emoji51][emoji51]Natambua,nilishajutia na kuomba toba mkuu
UlikoseaNiliwahi kuondoka na uhai wa mmoja wao.Inaniuma na huwa sipendi kulikumbuka hili tukio kwani alikufa vibaya sana.
To cut the story alikuwa analeta mambo ya freestyle barabarani na kama unavyowajua wakiamua lao hakuna wa kuwaambia kitu.
Nkahangaika mpaka nkapita kwa mbele sana nkakutana na chalii yao ambae yeye alikuwa anafanya makusudi kabisaa nlichofanya ni kukanyaga accelerator kwa hasira and the rest is a story.
Hatari Mzee Hawa bodaboda hawaSiwezi kuandika yote ila nayoweza kukwambia ni kwamba nilitumia dk25 kwenye eneo la 1km huku nikiporomoshewa matusi kila nilipowaomba kupita.Nilikuwa na ushahidi wa video na ndo ulifanya nikashinda kesi ile japo kiubinadamu naipiga tafu familia yake
AiseeNiliwahi kuondoka na uhai wa mmoja wao.Inaniuma na huwa sipendi kulikumbuka hili tukio kwani alikufa vibaya sana.
To cut the story alikuwa analeta mambo ya freestyle barabarani na kama unavyowajua wakiamua lao hakuna wa kuwaambia kitu.
Nkahangaika mpaka nkapita kwa mbele sana nkakutana na chalii yao ambae yeye alikuwa anafanya makusudi kabisaa nlichofanya ni kukanyaga accelerator kwa hasira and the rest is a story.
Niliwahi kuondoka na uhai wa mmoja wao.Inaniuma na huwa sipendi kulikumbuka hili tukio kwani alikufa vibaya sana.
To cut the story alikuwa analeta mambo ya freestyle barabarani na kama unavyowajua wakiamua lao hakuna wa kuwaambia kitu.
Nkahangaika mpaka nkapita kwa mbele sana nkakutana na chalii yao ambae yeye alikuwa anafanya makusudi kabisaa nlichofanya ni kukanyaga accelerator kwa hasira and the rest is a story.
Huyo mtu mpumbavu sanaUnahalalisha kuua,ni umeua wewe ni muuaji
Najua mamy but nature ilichukuA nafasi yakeUnahalalisha kuua,ni umeua wewe ni muuaji