Nelly
JF-Expert Member
- Jan 25, 2020
- 3,338
- 6,327
Nashukuru mkuu! Una la zaidi?Huyo mtu mpumbavu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru mkuu! Una la zaidi?Huyo mtu mpumbavu sana
Na ww utaoa mbonaMi mwenyewe nishawahi kuwa bodaboda
Niseme tu waangalieni sana wake zenu
Nafuu wapande daladala
We nani kuhukumu? Kaa utulie, mi mwenyewe ukileta ukuda nakutupa mtaroni, siwezi hatarisha maisha yangu kisa mtu mmoja asiyependa kuishiUnahalalisha kuua,ni umeua wewe ni muuaji
Ngoja tuoneNa ww utaoa mbona
Tatzo ni pale unapomkwepa mtu afu wew unaenda kuanguka au kugongwa kwa nyumaMzee Kumbe ulikua na uwezo wakusimama hio roho mbaya na nimauaji Sio Ajali damu yake Bdo itakulilia,
On the other hand mm nshawah mkosa kosa Boda Boda daraja LA mfugale kwa chini nimetoka zangu airport jamaa huyu Hapa na mm nimeruhusiwa na nipo speed ilibidi tu nikanyage brake Mpaka zile pedal nazisikia kabsa zikibana matairi na bahati nzuri yule Boda nae akakamata brake zake zikakubali aisee alinishukuru sana yule jamaa akawa haaminii.
mkuu sio tu kuhatarisha maisha hivi kweli unaweza kutumia nusu saa kumaliza 1km tena kwenye highway huku ukisindikizwa na matusi ya nguoni.Mungu mwenyewe alishasameheTatzo ni pale unapomkwepa mtu afu wew unaenda kuanguka au kugongwa kwa nyuma