1)Super comeback nyingine kufanyiwa barca.1.Man united kutwaa ubingwa wa europa
2.Ubingwa wa uefa kutwaliwa kwa mara nyingine na timu mojawapo kutoka uingereza.
3.PSG kwa mara nyingine tena kutolewa hatua ya 16 bora kwenye uefa.
Nipe top 4Man City au Tot mmoja anaweza kuchukua moja kati ya EPL, UEFA au FA.
Arsenal anaenda kuwa kibonde wa top 4
Leicester anashika nafasi ya 6
Chelsea na Lampard kuwashangaza wengi
Man Utd kushiriki tena Europa msimu unaokuja baada ya msimu ujao.
Liverpool anachukua any mickey mouse cup.
El clasiko inaweza kunoga tena..Hazard anaenda kuwa mshindani wa Messi.
Luca Jovic atashindanishwa na Suarez kwanye ufungaji.
Borrusia Dortmund itang'ara Bundesliga na UEFA.
Natabiri msimu mbovu kwa PSG, Bayern, Man Utd, ARSENAL, Napoli.
Pia utakua msimu mzuri kwa Sarri na Juve yake pua Zidane na Madrid yake.
Top 4 itakua kama ya msimu uliopita. Yan lazima Man City, Liverpool, Chelsea na Liverpool ziwemo.Nipe top 4
Hizo ulivyoandika ni vitatu?1:Man United kufukuza kocha mzunguko wa 14.
2:Arsenal atapigwa hat trick na mchezaji mmoja kwenye moja ya game za EPL.
3:Liverpool itaandamwa na majeruhi kwenye safu yake ya kiungo na ushambuliaji.
4:Bingwa atakuwa na tofauti ya alama kuanzia 7 dhidi ya timu namba mbili.
5:Mfungaji bora atakuwa na magoli 23.
6:Ushindi mkubwa utakuwa 6-0 na Man City ndiye ataupata dhidi ya timu mojawapo ya EPL.
7:OGS atapitia wakati mgumu akitakiwa na mashabiki aachie ngazi.
8:Wolves wataichakaza Arsenal hamtaamini.
9:Mourinho ataidhihaki United.
10:Chelsea watategemea Giroud kama mkombozi wao ila atakuwa na msimu mbovu na atapata magoli 9 tu.
Tutakuwa kama wa algeria na mahrez mitandaoni1) Samatta kukaa benchi mpaka Watanzania tuanze kuandamana...
2) Man United kushangaza watu na timu yao mbovu...
3) Man City kubeba tena "takataka" zote za Uingereza...
*Utabiri kuhusu Samatta utatimia endapo tu atafanya uamuzi wa kujiunga na Leicester City..!
Achague kuonekana uefa mechi kadhaa ama epl.1) Samatta kukaa benchi mpaka Watanzania tuanze kuandamana...
2) Man United kushangaza watu na timu yao mbovu...
3) Man City kubeba tena "takataka" zote za Uingereza...
*Utabiri kuhusu Samatta utatimia endapo tu atafanya uamuzi wa kujiunga na Leicester City..!
Hii ndio hali halisiAcha vituko