nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
Ujenzi wa mabwawa makubwa kama hili letu huwa unaambatana na mikopo mikubwa ambayo ishawahi kusababisha uchumi kuanguka katika nchi za Turkey, Brazil, Mexico, na Yugoslavia ya zamani
kwa mfano bwawa la Tarbela kwenye mto Indus huko Pakistan.Mwaka 1968, kiliwekwa kipengele cha interest ya 7.5 kwa ajili ya ku cover inflation na ucheleweshaji wa mradi. lakini mradi haukukamilika hadi 1984, ulichelewa kwa miaka 8, inflation ikawa imefikia asilimia 380 . Bwawa hilo likagharimu mara nne ya gharama iliyokadiriwa na kuongeza deni la taifa la pakistani kwa mara nne zaidi
Mabwawa huchukua average ya miaka 8.7 kujengwa na mara nyingi matatizo yanapotokea na waanzilishi mradi hawapo madarakani basi waliopo madarakani huangushia lawama wale waliotoka
Mnyika wa chadema siyo mjinga kutaka kuona mkataba wa Stiglers Gorge ,hata catherine Ruge alipodai the real cost ni 21 trliion na siyo 7 trillion she has a point.
Kwanza huu mradi tunaambiwa ni fedha za ndani okay tuseme ni hivyo ila kweli ndiyo utachukua miaka mitatu??????,hiyo Gorge yenyewe ina urefu wa kilometa 8 na mita 100 kushuka chini sina hakika mradi uta cover eneo kisasi gani lakini selous ni kubwa zaidi ya nchi ya Uswis na ni 4/5 ya nchi ya Ireland,vilevile katika ujenzi wa mabwawa kuna hatua lazima ujenzi usimame ili kingo zishike vizuri,mistakes zikifanyika tujue ni KLIO KWA UCHUMI kwa miaka mingi ijayo NA MAISHA YA WATU. kwa mfano:
*Bwawa lilokuwa linajengwa huko nchini laos lilipasua kingo na kusababisha mafuriko yaliyoua watu 200 na kuwaacha wengine 6000 wakiishi kwenye mahema
*Mmonyoko wa ardhi ulisababisha uharibifu mkubwa katika bwawa la Ituango linalojengwa huko colombia na kusababisha watu 25,000 kuhamishwa huku mradi huo wa dollar bilion 5 ukiwa matatani
*Miaka mitatu iliyopita bwawa refu huko marekani liitwalo Oroville Dam lililopo kaskazini mwa California, nusu lipasuke na kusababisha kuhamishwa kwa watu 190,000 na matengenezo yaliyogharimu dola bilioni1.1
*.
mwisho kabisa,Ujenzi wa mabwawa kama ya kwetu una historia mbaya duniani kote.HUAMBATANA NA RUSHWA KUANZIA TENDA ZINAVYOTOLEWA,WANASIASA CORRUPT HUJIFAIDISHA,wengi hawaweki wazi mikataba ila mwisho wake gharama mradi unapoisha zinaongezeka siyo zile zilizosemwa mwanzo
Mfano mzuri ni kichekesho huko Congo,wanataka kujenga bwawa katika mto congo kwa gharama za dollar billion 80 na litakuwa bwawa kubwa duniani ila ni Mungu anajua tu what that means kwa nchi kama Congo
-NI JAMBO JEMA KAMA MRADI HUU WETU AMBAO UKIKAMILIKA LITAKUWA BWAWA LA PILI KWA UKUBWA AFRIKA UENDE KI UWELEDI
*mazingira ya Ecology yazingatiwe
*mkataba uwekwe wazi tujue nchi itabebaje mzigo miaka ya mbeleni tusidanganyane eti bwawa la pili kwa ukubwa Africa litakamilika kwa 3.6 bilion dollars
*Hii story ya kwamba litakamilika ndani ya miaka 3 ndiyo inanipa wasiwasi na this whole issue,ni kwamba mnafosi kwa ajili ya masifa au?hizo KINGO ZITAKUJA KUPASUKA na roho zitakazopotea zitakuwa juu yenu,maana siyo chini ya watu laki moja watakufa na vile vinyumba vya udongo yarabi toba
PIA SOMA
TUHUMA ZA UFISADI NA HUJUMA
HISTORIA
kwa mfano bwawa la Tarbela kwenye mto Indus huko Pakistan.Mwaka 1968, kiliwekwa kipengele cha interest ya 7.5 kwa ajili ya ku cover inflation na ucheleweshaji wa mradi. lakini mradi haukukamilika hadi 1984, ulichelewa kwa miaka 8, inflation ikawa imefikia asilimia 380 . Bwawa hilo likagharimu mara nne ya gharama iliyokadiriwa na kuongeza deni la taifa la pakistani kwa mara nne zaidi
Mabwawa huchukua average ya miaka 8.7 kujengwa na mara nyingi matatizo yanapotokea na waanzilishi mradi hawapo madarakani basi waliopo madarakani huangushia lawama wale waliotoka
Mnyika wa chadema siyo mjinga kutaka kuona mkataba wa Stiglers Gorge ,hata catherine Ruge alipodai the real cost ni 21 trliion na siyo 7 trillion she has a point.
Kwanza huu mradi tunaambiwa ni fedha za ndani okay tuseme ni hivyo ila kweli ndiyo utachukua miaka mitatu??????,hiyo Gorge yenyewe ina urefu wa kilometa 8 na mita 100 kushuka chini sina hakika mradi uta cover eneo kisasi gani lakini selous ni kubwa zaidi ya nchi ya Uswis na ni 4/5 ya nchi ya Ireland,vilevile katika ujenzi wa mabwawa kuna hatua lazima ujenzi usimame ili kingo zishike vizuri,mistakes zikifanyika tujue ni KLIO KWA UCHUMI kwa miaka mingi ijayo NA MAISHA YA WATU. kwa mfano:
*Bwawa lilokuwa linajengwa huko nchini laos lilipasua kingo na kusababisha mafuriko yaliyoua watu 200 na kuwaacha wengine 6000 wakiishi kwenye mahema
*Mmonyoko wa ardhi ulisababisha uharibifu mkubwa katika bwawa la Ituango linalojengwa huko colombia na kusababisha watu 25,000 kuhamishwa huku mradi huo wa dollar bilion 5 ukiwa matatani
*Miaka mitatu iliyopita bwawa refu huko marekani liitwalo Oroville Dam lililopo kaskazini mwa California, nusu lipasuke na kusababisha kuhamishwa kwa watu 190,000 na matengenezo yaliyogharimu dola bilioni1.1
*.
mwisho kabisa,Ujenzi wa mabwawa kama ya kwetu una historia mbaya duniani kote.HUAMBATANA NA RUSHWA KUANZIA TENDA ZINAVYOTOLEWA,WANASIASA CORRUPT HUJIFAIDISHA,wengi hawaweki wazi mikataba ila mwisho wake gharama mradi unapoisha zinaongezeka siyo zile zilizosemwa mwanzo
Mfano mzuri ni kichekesho huko Congo,wanataka kujenga bwawa katika mto congo kwa gharama za dollar billion 80 na litakuwa bwawa kubwa duniani ila ni Mungu anajua tu what that means kwa nchi kama Congo
-NI JAMBO JEMA KAMA MRADI HUU WETU AMBAO UKIKAMILIKA LITAKUWA BWAWA LA PILI KWA UKUBWA AFRIKA UENDE KI UWELEDI
*mazingira ya Ecology yazingatiwe
*mkataba uwekwe wazi tujue nchi itabebaje mzigo miaka ya mbeleni tusidanganyane eti bwawa la pili kwa ukubwa Africa litakamilika kwa 3.6 bilion dollars
*Hii story ya kwamba litakamilika ndani ya miaka 3 ndiyo inanipa wasiwasi na this whole issue,ni kwamba mnafosi kwa ajili ya masifa au?hizo KINGO ZITAKUJA KUPASUKA na roho zitakazopotea zitakuwa juu yenu,maana siyo chini ya watu laki moja watakufa na vile vinyumba vya udongo yarabi toba
PIA SOMA
- Arab Contractors na Elsewedy Electric Kukabidhiwa Rasmi Eneo la Rufiji (PHPP) Kesho
- Arab Contractors wakabidhiwa Billion 688.6 kama malipo ya awali mradi wa umeme wa maporomoko ya mto Rufiji
- Serikali Yakabidhi Eneo La Mradi Wa Umeme Wa Maji Mto Rufiji Kwa Mkandarasi Tayari Kwa Kazi Kuanza
- Rais Magufuli kuzindua mradi wa umeme Mto Rufiji Julai 26, 2019
- SADC yamuunga mkono Rais Dkt Magufuli ujenzi wa mradi mkubwa wa umeme Rufiji
- Uzinduzi Mradi wa Umeme, mto Rufiji: Rais Magufuli aagiza sehemu ya Selous kuwa Hifadhi ya Taifa
- Mbunge Sospiere Mukweli ameniogopesha kwa kauli yake kuhusu ujenzi wa bwawa la Rufiji; je, kuna haja ya wabunge wote kupimwa akili?
- Mradi wa Kufua Umeme Rufiji (MW 2115) uchimbaji kina cha lango la kuingilia maji kwenye mitambo wakamilika
- Kampuni ya ElSewedy Electric Co inayotengeneza bwawa la umeme Rufiji imewekewa vikwazo, haitaweza kukopesheka nje
- Waziri Makamba: Msitegemee wala kutarajia bwawa la mto Rufiji kujazwa maji mwezi Machi
- Waziri Mkuu Kassim Majaliwa asema Serikali itaendelea kutoa fedha kwa ajili ya mradi wa umeme wa mto Rufiji
- Dkt. Mpango: Mkandarasi wa Bwawa la Nyerere Hana Uzoefu, pia mradi upo nyuma ya muda
- Waziri Makamba: Ujenzi wa tuta kwenye bwawa la mwl Nyerere umekamilika
- Maji katika bwawa la Nyerere kuanza kujazwa 15/11/2021 na 13/04/2022 litakuwa limejaa tayari kwa majaribio
- PM Majaliwa: Bwawa la umeme kukamilika Juni 2022
- Tanesco:- Bwawa la Nyerere litakuwa na uwezo wa kuzalisha umeme Megawati 2115 hata kama mvua haijanyesha kwa miaka 2
- Waziri Kalemani: Bwawa la Nyerere kujazwa Maji Novemba 15, 2021. Umeme wa maji ni nafuu kuliko wa vyanzo vingine
- Kutokukamilika kwa Mradi wa Umeme Rufiji mwaka 2022 kama ilivyotakiwa na sasa Kukamilika 2024 ni Kumtukana na Kumdhalilisha Hayati Dkt. Magufuli
- Rais Samia kuzindua zoezi la ujazaji maji katika Bwawa la Julius Nyerere, Disemba 22
- Makamba: Ujenzi wa Bwawa la kufua umeme la Mwalimu Nyerere umefikia asilimia 67
- Makamba: Sisi tumeamua kuwa wakweli, bwawa la Nyerere linaisha Juni 2024. Adai tarehe ya mwanzo isingewezekana kwa namna yoyote
- Makamba: Itachukua misimu miwili ya mvua kujaza Bwawa la Nyerere
- Maji yatakayojazwa Bwawa la Nyerere (JNHPP) yanaweza kuzalisha Umeme kwa mwaka mmoja bila kutegemea mvua
- Rais Samia akishiriki shughuli ya kuanza kujaza maji Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP), 22/12/2022
- TANESCO: Bwawa la Nyerere halitapunguza bei ya umeme
- Serikali: Mashine ya kwanza ya Kufua Umeme Bwawa la Nyerere itawashwa Mwezi Februari 2024
- Rais Samia: Uzalishaji Umeme Bwawa la Nyerere kuanza Januari 2024
- Kamati ya Bunge: Bwawa la Nyerere litakamilika Juni 2024, Tsh. Trilioni 5.85 zimelipwa tayari
- Biteko: Shida ya umeme sasa basi, megawati 235 zimeingia Grid ya Taifa
- Rais Samia: Suluhu ya Umeme itapatikana Aprili 2024 baada ya kuanza uzalishaji wa Megawatt 470-500 katika Bwawa la Mwalimu Nyerere!
- Dotto Biteko: Tumezima mtambo wa bwawa la Mwl Nyerere
- TANESCO: Bwawa la Mwalimu Nyerere (JNHPP) kuhusishwa na athari za mafuriko ya Kibiti na Rufiji ni kupotosha Umma
- Profesa Tibaijuka: Mafuriko ya Rufiji hayajasababishwa na Ujenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere ila limeshindwa kuregulate mafuriko!
- Mtambo wa pili bwawa la Nyerere kuwashwa, kumaliza kabisa mgao wa umeme nchini
TUHUMA ZA UFISADI NA HUJUMA
- Mtaalam: Watanzania mnadanganywa Stiglers Gorge haiwezekani kwani Kina cha Maji Mto Rufiji kinapungua mno
- Hatma ya mradi Stiegler’s Gorge: Hatakama hatukubaliana kiitikadi, tukubaliane katika Ushauri wa kitaalam
- Hotuba ya bajeti Nishati; Miradi ya Rufiji na gesi itaumiza nchi: Mnyika aonya
- Tuambiwe ukweli: Stiglers Gorge inaweza kuwa maafa makubwa kwa taifa badala ya furaha
- Lissu: Serikali na benki hazina uwezo wa kujenga bwawa la Umeme Rufiji
- CAG: Bwawa la Nyerere liliharakiswa
- Polepole: Bwawa la Nyerere ni mradi wa kufa na kupona hatutakubali wahuni wauchezee, Winchi ni kitu kidogo sana!
- Inaumiza sana kuona mradi wa bwawa la Nyerere unahujumiwa wazi wazi
- Unakataje miti milioni 4 ili kujenga la umeme (JNHPP)
- Makamba: Mradi wa JNHPP upo nyuma kwa siku 477 (yaani mwaka na zaidi ya siku 100)
- UFISADI: Mpina aibua tuhuma za upigaji wa Sh. Trilioni 1.5 Bwawa la Nyerere
HISTORIA
- Mradi wa kufua umeme wa maji wa Julius Nyerere katika maporomoko ya mto rufiji unaotekelezwa na Serikali uliasisiwa na Baba wa Taifa mwaka 1975
- CAG: Mradi wa Umeme wa Bwawa la Nyerere unatumia upembuzi wa mwaka 1970
- Mhandisi Mkazi, Upembuzi yakinifu wa 1980 unatumika bwawa la JNHPP
- Mwalimu Nyerere aliomba fedha Mradi wa Bwawa la Umeme Rufiji