Tuambiwe ukweli: Stiglers Gorge inaweza kuwa maafa makubwa kwa taifa badala ya furaha

Tuambiwe ukweli: Stiglers Gorge inaweza kuwa maafa makubwa kwa taifa badala ya furaha

Mbona Ghana, Uganda, Egypt, vipi Caboora Bassa Dam Msumbiji mbona huongelei wana mabwawa makubwa tu
unaongelea matatizo haya ni mabwawa yapo hujazaliwa. Unadhani hapa Bongo watalaam wa mabwawa hawapo wapo mjomba sana wengi tu ila wanashirikiana na wale wa nje nenda pale DDCA na Wizara ya Maji wapo wengi tu ndio maana mabwawa yetu na yale ya wenye madini yanakakuguliwa mara kwa mara na watu wetu sisi wenyewe
yalijengwa kwa 3 years?umesoma thread ukailewewa?Aswan yenyewe ilijengwa for 11 years ,The Grand Ethiopian Renaissance Dam (GERD) tangu 2011 inajengwa.
Nimezungumzia MUDA WA KUJENGA, ENVIROMENTAL ISSUES,ECONOMIC ISSUES.hiyo 3.6 ni gharama halisi kweli siyo 8.5 billion dollars?siyo mtu anaondoka madarakani ndipo tunaanza kusema laiti tungejua na selous ni issue nyeti sana mkuu hilo li selous ni kubwa kama nchi ya uswisi na ni 4/5 ya nchi ya Ireland na eneo kubwa ni maji na viumbe hai unaelewa utofauti na maeneo mengine unayotaja?
 
Majadiliano ndilo suruhisho la mambo mengi sema tu tunajitoa ufahamu. Nakumbuka wakati mwingine aliyetoa mawazo tofauti na 'walioyataka' aliitwa msaliti lakini ukweli kwamba 10% ya leo kwenye project tusipoangalia vizuri inakuja kutugharimu 1,000% na waliokula hii 10% watakuwa hawapo. Then utasikia slogans za 'waafrika tuna akili ndogo'!
 
cha msingi hapo kama kuna hidden cost sawa lakini teknolojia sina shaka na timefre waliyojingangia solution ilikuwepo kipindi cha nyerere sio ya Leo . tupo kwenye zama za digital kwa hiyo sitashangaa project kuisha chini ya muda
 
Ujenzi wa mabwawa makubwa kama hili letu huwa unaambatana na mikopo mikubwa ambayo ishawahi kusababisha uchumi kuanguka katika nchi za Turkey, Brazil, Mexico, na Yugoslavia⁠ ya zamani

kwa mfano bwawa la Tarbela kwenye mto Indus huko Pakistan.Mwaka 1968, kiliwekwa kipengele cha interest ya 7.5 kwa ajili ya ku cover inflation na ucheleweshaji wa mradi. lakini mradi haukukamilika hadi 1984, ulichelewa kwa miaka 8, inflation ikawa imefikia asilimia 380 . Bwawa hilo likagharimu mara nne ya gharama iliyokadiriwa na kuongeza deni la taifa la pakistani kwa mara nne zaidi

Mabwawa huchukua average ya miaka 8.7 kujengwa na mara nyingi matatizo yanapotokea na waanzilishi mradi hawapo madarakani basi waliopo madarakani huangushia lawama wale waliotoka
Mnyika wa chadema siyo mjinga kutaka kuona mkataba wa Stiglers Gorge ,hata catherine Ruge alipodai the real cost ni 21 trliion na siyo 7 trillion she has a point
Kwanza huu mradi tunaambiwa ni fedha za ndani okay tuseme ni hivyo ila kweli ndiyo utachukua miaka mitatu??????,hiyo Gorge yenyewe ina urefu wa kilometa 8 na mita 100 kushuka chini sina hakika mradi uta cover eneo kisasi gani lakini selous ni kubwa zaidi ya nchi ya Uswis na ni 4/5 ya nchi ya Ireland,vilevile katika ujenzi wa mabwawa kuna hatua lazima ujenzi usimame ili kingo zishike vizuri,mistakes zikifanyika tujue ni KLIO KWA UCHUMI kwa miaka mingi ijayo NA MAISHA YA WATU. kwa mfano:

*Bwawa lilokuwa linajengwa huko nchini laos lilipasua kingo na kusababisha mafuriko yaliyoua watu 200 na kuwaacha wengine 6000 wakiishi kwenye mahema

*Mmonyoko wa ardhi ulisababisha uharibifu mkubwa katika bwawa la Ituango linalojengwa huko colombia na kusababisha watu 25,000 kuhamishwa huku mradi huo wa dollar bilion 5 ukiwa matatani
*Miaka mitatu iliyopita bwawa refu huko marekani liitwalo Oroville Dam lililopo kaskazini mwa California, nusu lipasuke na kusababisha kuhamishwa kwa watu 190,000 na matengenezo yaliyogharimu dola bilioni1.1
*⁠.
mwisho kabisa,Ujenzi wa mabwawa kama ya kwetu una historia mbaya duniani kote.HUAMBATANA NA RUSHWA KUANZIA TENDA ZINAVYOTOLEWA,WANASIASA CORRUPT HUJIFAIDISHA,wengi hawaweki wazi mikataba ila mwisho wake gharama mradi unapoisha zinaongezeka siyo zile zilizosemwa mwanzo
Mfano mzuri ni kichekesho huko Congo,wanataka kujenga bwawa katika mto congo kwa gharama za dollar billion 80 na litakuwa bwawa kubwa duniani ila ni Mungu anajua tu what that means kwa nchi kama Congo
-NI JAMBO JEMA KAMA MRADI HUU WETU AMBAO UKIKAMILIKA LITAKUWA BWAWA LA PILI KWA UKUBWA AFRIKA UENDE KI UWELEDI
*mazingira ya Ecology yazingatiwe
*mkataba uwekwe wazi tujue nchi itabebaje mzigo miaka ya mbeleni tusidanganyane eti bwawa la pili kwa ukubwa Africa litakamilika kwa 3.6 bilion dollars
*Hii story ya kwamba litakamilika ndani ya miaka 3 ndiyo inanipa wasiwasi na this whole issue,ni kwamba mnafosi kwa ajili ya masifa au?hizo KINGO ZITAKUJA KUPASUKA na roho zitakazopotea zitakuwa juu yenu,maana siyo chini ya watu laki moja watakufa na vile vinyumba vya udongo yarabi toba
Prophets of doom
 
originally hata arab contractors walisema ujenzi ni 10 years nashangaa kusikia majamaa na kikundi cha matarumbeta cha lumumba wansema itachukua 3 years eti itajengwa usiku na mchana, are these dudes high on Daud kanyau's cocaine or what? kabwawa cha HALE kalichukua 5 years hilo dude lichukue 3 years?
kwa kufichaficha huku hata mikataba nahisi kutakuwa na uharibufu mkubwa wa mazingira vifo vya wanyama na wengine watakimbilia kwenye makazi ya watu na kama waarabu wakifosiwa kulipua kwa miaka 3 basi tutarajie kupasuka kwa kingo then gharika kubwa na kutokea mauaji ya kutisha kwenye historia ya nchi yetu
Yaani inasikitisha, eti watajenga usiku na mchana, kwani si kuna muda zege linatakiwa liachwe likomae lenyewe? Sasa hata nondo zitakapoungwa na kujengewa kabla hawaja jiridhisha ziko sawa si hatari kubwa? Kweli ccm wamezoea mchaka machaka hata kwenye mambo ya msingi Mungu baba tunusuru na janga la huu mradi.
 
Sasa huyu bwana asipomaliza nani atabaki analimalizia bwawa maana kila mtu na kipaombele chake
 
yalijengwa kwa 3 years?umesoma thread ukailewewa?Aswan yenyewe ilijengwa for 11 years ,The Grand Ethiopian Renaissance Dam (GERD) tangu 2011 inajengwa.
Nimezungumzia MUDA WA KUJENGA, ENVIROMENTAL ISSUES,ECONOMIC ISSUES.hiyo 3.6 ni gharama halisi kweli siyo 8.5 billion dollars?siyo mtu anaondoka madarakani ndipo tunaanza kusema laiti tungejua na selous ni issue nyeti sana mkuu hilo li selous ni kubwa kama nchi ya uswisi na ni 4/5 ya nchi ya Ireland na eneo kubwa ni maji na viumbe hai unaelewa utofauti na maeneo mengine unayotaja?

Bro, Cool down man, mambo sio mabaya kama unavtyotaka kutuaminisha, relax

Ingawa hata mimi naona 3 years imebana lakini kwa taarifa yako mambo yote hayo na EIA yalifanyika muda mrefu sana, enzi za Nyerere na mradi mzima ulikuwa kwenye mafail. Sawa kuna impact za muda kwenye climate change n.k lakini hawaanzi from scratch. Mimi niliwai kukusanya data za hydrology eneo hilo, niliona masalia ya aidha Norplan au NorConsult sina uhakika.
 
originally hata arab contractors walisema ujenzi ni 10 years nashangaa kusikia majamaa na kikundi cha matarumbeta cha lumumba wansema itachukua 3 years eti itajengwa usiku na mchana, are these dudes high on Daud kanyau's cocaine or what? kabwawa cha HALE kalichukua 5 years hilo dude lichukue 3 years?
kwa kufichaficha huku hata mikataba nahisi kutakuwa na uharibufu mkubwa wa mazingira vifo vya wanyama na wengine watakimbilia kwenye makazi ya watu na kama waarabu wakifosiwa kulipua kwa miaka 3 basi tutarajie kupasuka kwa kingo then gharika kubwa na kutokea mauaji ya kutisha kwenye historia ya nchi yetu
Mkuu mazingira tayari tushaanza kuyaharibu na hapo linapojengwa ndipo penye misitu mikubwa sana ya asili,na wanyama wanagongwa kila uchao na madereva wa kwenye mradi.
 
originally hata arab contractors walisema ujenzi ni 10 years nashangaa kusikia majamaa na kikundi cha matarumbeta cha lumumba wansema itachukua 3 years eti itajengwa usiku na mchana, are these dudes high on Daud kanyau's cocaine or what? kabwawa cha HALE kalichukua 5 years hilo dude lichukue 3 years?
kwa kufichaficha huku hata mikataba nahisi kutakuwa na uharibufu mkubwa wa mazingira vifo vya wanyama na wengine watakimbilia kwenye makazi ya watu na kama waarabu wakifosiwa kulipua kwa miaka 3 basi tutarajie kupasuka kwa kingo then gharika kubwa na kutokea mauaji ya kutisha kwenye historia ya nchi yetu
yaaps hale ilijengwa karbun 5 yrs na kukamilika 1995 kwa msaada wa sweeden, denmark na ukrain, lina SQM takriban 65 na urefu wa km 1.8 na kwa sasa wanazalisha MW68 na volt 11, ambapo husambazwa, tanga, dodoma, singida, arusha, morogoro, manyara na zenji yote, huku tanga ikipokea moha kwa moja kutoka hale hao wengne wakipokea kupitia gage ya taifa, sasa unaweza uka imagine MW68 tuu zinasambazwa kote huko, vip hizi MW2100 ukubwa wake utakuwaje? Na wao wenyewe wanasema changamoto kubwa ni pressure ya maji, ambayo huongezeka kudr kina kinavyozid, tunajua
P(in liquid)=density*height*gravity, sasa hale ni 1.8km vp hawa wa 8km na ushee? In 3yrs,
too many dramas in this country.
 
Ujenzi wa mabwawa makubwa kama hili letu huwa unaambatana na mikopo mikubwa ambayo ishawahi kusababisha uchumi kuanguka katika nchi za Turkey, Brazil, Mexico, na Yugoslavia⁠ ya zamani

kwa mfano bwawa la Tarbela kwenye mto Indus huko Pakistan.Mwaka 1968, kiliwekwa kipengele cha interest ya 7.5 kwa ajili ya ku cover inflation na ucheleweshaji wa mradi. lakini mradi haukukamilika hadi 1984, ulichelewa kwa miaka 8, inflation ikawa imefikia asilimia 380 . Bwawa hilo likagharimu mara nne ya gharama iliyokadiriwa na kuongeza deni la taifa la pakistani kwa mara nne zaidi

Mabwawa huchukua average ya miaka 8.7 kujengwa na mara nyingi matatizo yanapotokea na waanzilishi mradi hawapo madarakani basi waliopo madarakani huangushia lawama wale waliotoka
Mnyika wa chadema siyo mjinga kutaka kuona mkataba wa Stiglers Gorge ,hata catherine Ruge alipodai the real cost ni 21 trliion na siyo 7 trillion she has a point
Kwanza huu mradi tunaambiwa ni fedha za ndani okay tuseme ni hivyo ila kweli ndiyo utachukua miaka mitatu??????,hiyo Gorge yenyewe ina urefu wa kilometa 8 na mita 100 kushuka chini sina hakika mradi uta cover eneo kisasi gani lakini selous ni kubwa zaidi ya nchi ya Uswis na ni 4/5 ya nchi ya Ireland,vilevile katika ujenzi wa mabwawa kuna hatua lazima ujenzi usimame ili kingo zishike vizuri,mistakes zikifanyika tujue ni KLIO KWA UCHUMI kwa miaka mingi ijayo NA MAISHA YA WATU. kwa mfano:

*Bwawa lilokuwa linajengwa huko nchini laos lilipasua kingo na kusababisha mafuriko yaliyoua watu 200 na kuwaacha wengine 6000 wakiishi kwenye mahema

*Mmonyoko wa ardhi ulisababisha uharibifu mkubwa katika bwawa la Ituango linalojengwa huko colombia na kusababisha watu 25,000 kuhamishwa huku mradi huo wa dollar bilion 5 ukiwa matatani
*Miaka mitatu iliyopita bwawa refu huko marekani liitwalo Oroville Dam lililopo kaskazini mwa California, nusu lipasuke na kusababisha kuhamishwa kwa watu 190,000 na matengenezo yaliyogharimu dola bilioni1.1
*⁠.
mwisho kabisa,Ujenzi wa mabwawa kama ya kwetu una historia mbaya duniani kote.HUAMBATANA NA RUSHWA KUANZIA TENDA ZINAVYOTOLEWA,WANASIASA CORRUPT HUJIFAIDISHA,wengi hawaweki wazi mikataba ila mwisho wake gharama mradi unapoisha zinaongezeka siyo zile zilizosemwa mwanzo
Mfano mzuri ni kichekesho huko Congo,wanataka kujenga bwawa katika mto congo kwa gharama za dollar billion 80 na litakuwa bwawa kubwa duniani ila ni Mungu anajua tu what that means kwa nchi kama Congo
-NI JAMBO JEMA KAMA MRADI HUU WETU AMBAO UKIKAMILIKA LITAKUWA BWAWA LA PILI KWA UKUBWA AFRIKA UENDE KI UWELEDI
*mazingira ya Ecology yazingatiwe
*mkataba uwekwe wazi tujue nchi itabebaje mzigo miaka ya mbeleni tusidanganyane eti bwawa la pili kwa ukubwa Africa litakamilika kwa 3.6 bilion dollars
*Hii story ya kwamba litakamilika ndani ya miaka 3 ndiyo inanipa wasiwasi na this whole issue,ni kwamba mnafosi kwa ajili ya masifa au?hizo KINGO ZITAKUJA KUPASUKA na roho zitakazopotea zitakuwa juu yenu,maana siyo chini ya watu laki moja watakufa na vile vinyumba vya udongo yarabi toba
hata gesi ya Mtwara tuliambiwa ndiyo m40 wa kila kitu, leo hii mwenyekiti wa sasa wa chama chetu anasema eti wizi mtupu.
mwenyekiti mpya atakayembadili huyu wa sasa naye ataipiga chini Stiegler's Gorge kwa kudai ni "mradi wa kikolomije"!

poleni Watanzania.... ndiyo DNA ya chama chetu hiyo!
 
Ujenzi wa mabwawa makubwa kama hili letu huwa unaambatana na mikopo mikubwa ambayo ishawahi kusababisha uchumi kuanguka katika nchi za Turkey, Brazil, Mexico, na Yugoslavia⁠ ya zamani

kwa mfano bwawa la Tarbela kwenye mto Indus huko Pakistan.Mwaka 1968, kiliwekwa kipengele cha interest ya 7.5 kwa ajili ya ku cover inflation na ucheleweshaji wa mradi. lakini mradi haukukamilika hadi 1984, ulichelewa kwa miaka 8, inflation ikawa imefikia asilimia 380 . Bwawa hilo likagharimu mara nne ya gharama iliyokadiriwa na kuongeza deni la taifa la pakistani kwa mara nne zaidi

Mabwawa huchukua average ya miaka 8.7 kujengwa na mara nyingi matatizo yanapotokea na waanzilishi mradi hawapo madarakani basi waliopo madarakani huangushia lawama wale waliotoka
Mnyika wa chadema siyo mjinga kutaka kuona mkataba wa Stiglers Gorge ,hata catherine Ruge alipodai the real cost ni 21 trliion na siyo 7 trillion she has a point
Kwanza huu mradi tunaambiwa ni fedha za ndani okay tuseme ni hivyo ila kweli ndiyo utachukua miaka mitatu??????,hiyo Gorge yenyewe ina urefu wa kilometa 8 na mita 100 kushuka chini sina hakika mradi uta cover eneo kisasi gani lakini selous ni kubwa zaidi ya nchi ya Uswis na ni 4/5 ya nchi ya Ireland,vilevile katika ujenzi wa mabwawa kuna hatua lazima ujenzi usimame ili kingo zishike vizuri,mistakes zikifanyika tujue ni KLIO KWA UCHUMI kwa miaka mingi ijayo NA MAISHA YA WATU. kwa mfano:

*Bwawa lilokuwa linajengwa huko nchini laos lilipasua kingo na kusababisha mafuriko yaliyoua watu 200 na kuwaacha wengine 6000 wakiishi kwenye mahema

*Mmonyoko wa ardhi ulisababisha uharibifu mkubwa katika bwawa la Ituango linalojengwa huko colombia na kusababisha watu 25,000 kuhamishwa huku mradi huo wa dollar bilion 5 ukiwa matatani
*Miaka mitatu iliyopita bwawa refu huko marekani liitwalo Oroville Dam lililopo kaskazini mwa California, nusu lipasuke na kusababisha kuhamishwa kwa watu 190,000 na matengenezo yaliyogharimu dola bilioni1.1
*⁠.
mwisho kabisa,Ujenzi wa mabwawa kama ya kwetu una historia mbaya duniani kote.HUAMBATANA NA RUSHWA KUANZIA TENDA ZINAVYOTOLEWA,WANASIASA CORRUPT HUJIFAIDISHA,wengi hawaweki wazi mikataba ila mwisho wake gharama mradi unapoisha zinaongezeka siyo zile zilizosemwa mwanzo
Mfano mzuri ni kichekesho huko Congo,wanataka kujenga bwawa katika mto congo kwa gharama za dollar billion 80 na litakuwa bwawa kubwa duniani ila ni Mungu anajua tu what that means kwa nchi kama Congo
-NI JAMBO JEMA KAMA MRADI HUU WETU AMBAO UKIKAMILIKA LITAKUWA BWAWA LA PILI KWA UKUBWA AFRIKA UENDE KI UWELEDI
*mazingira ya Ecology yazingatiwe
*mkataba uwekwe wazi tujue nchi itabebaje mzigo miaka ya mbeleni tusidanganyane eti bwawa la pili kwa ukubwa Africa litakamilika kwa 3.6 bilion dollars
*Hii story ya kwamba litakamilika ndani ya miaka 3 ndiyo inanipa wasiwasi na this whole issue,ni kwamba mnafosi kwa ajili ya masifa au?hizo KINGO ZITAKUJA KUPASUKA na roho zitakazopotea zitakuwa juu yenu,maana siyo chini ya watu laki moja watakufa na vile vinyumba vya udongo yarabi toba
Hivi huwa kuna Nzagambajike pia?
 
Ishu ya namna hiyo kwani ni ngeni kabisa nchini Tz?

Kidatu na Mtera mbona hatujasikia zikipasuka na kuzagaza maji kama unavyohofia wewe?

Mikataba ya ujenzi inasemaje kuhusu uzembe utokanao na ujenzi hafifu nk nk?

Suala la ujenzi sijui kwanini shetani huwaga anakasirika sana?

Utakuta hata unapoamua kujenga nyumba binafsi lazima uwe msiri sana, vinginevyo ikifahamika mapema hiyo project yako, itapigwa vita hata na ndugu zako wa damu na mwisho wa siku kushindwa kutekeleza lengo ulilokusudia!

Ujenzi wowote ule, kabla ya kumalizika lazima huambatana na kuharibu mazingira ili kupata sura halisi ya unachokijenga.

Je kwa ushauri wako huu, ujenzi uahirishwe ama plan gani 'b' ifuatwe kuweza kupata umeme mwingi uliokusudiwa kukidhi mahitaji ya nchi?
 
Ni hivi..watu wameshajua jinsi ya kumpiga pesa huyu mkemia anayejifanya kila kitu abajua. Yan wao wanampa support tu ili wapate vitenda, mambo yakiharibika wanakaa kimya ila pesa wameshakula
 
Bro, Cool down man, mambo sio mabaya kama unavtyotaka kutuaminisha, relax

Ingawa hata mimi naona 3 years imebana lakini kwa taarifa yako mambo yote hayo na EIA yalifanyika muda mrefu sana, enzi za Nyerere na mradi mzima ulikuwa kwenye mafail. Sawa kuna impact za muda kwenye climate change n.k lakini hawaanzi from scratch. Mimi niliwai kukusanya data za hydrology eneo hilo, niliona masalia ya aidha Norplan au NorConsult sina uhakika.
Norplan ndio nini?
 
Status ya huu mradi ikoje ukizingatia na aliyeanzisha amelala milele(RIP KPM)
 
Back
Top Bottom