Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Bi hemedi, hapo mi nakataa, Muhammad hakuwa mweusi
Hatuhitaji kutumia nguvu kusema fulani alikua mweusi sijui weusi ni wana wa Israel hapo bado inaonesha jinsi mawazo yetu yamefungwa na hao hao wazungu... kwann hatusemi Haille selais alikua mtume?... kama kweli tumeamua kujikomboa sisi waafrika kwa kurudisha dini zetu na mifumo yetu basi tufanye pasipo kutaka kupambanisha na hao tunaowaita maadui zetu.

Muhammad alikua mweusi, Yesu alikua mweusi, wana wa israel means waafrika so what? inatuongezea nini au kutupunguzia nini sisi waafrika wa sasa.

AFRICA MUST UNITE na kua ONE BIG COUNTRY, kinyume na hapo tutakua tunapiga porojo tu.
 
Kweli kabisa
 
Wamelipwa pesa mingiiiiiii
Aiseeeeeee " dunia kweli " hadaa" wazubgumzia vipi " kuhusu zile kesi "" zilizokuwa zina mkabili "" za udhalilishaji " wa kijinsia "kwa Watoto"".. ina maana ndugu walikuwa wana msupport MJ fake "" . na vipi " !? wazungu wapoteze muda na Pesa zao kumshtaki " mtu ambaye wanamjua kuwa siye halisi "....
 
Yote hiyo, kukupumbazeni akili, msitulize akili kufikiri na kuhoji....mikanda ya ngono inatumika kwa lengo hilo pia, kupumbaza akili Za watu
 
sawa ...bado " haujajibu hoja " kuhusiana na origin ya muhhamad"" umedai kuwa alikuwa mweusi "" .... wakati historia ya waarabu inasema kwamba alikuwa ni mwarabu "".. hebu tupe faida kidogo"" kupitia hayo madai yako ""..
Sawa, tutawasilisha hiyo mada ya Muhammad
 
Haya maneno ni ya kitabu gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…