Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Sasa waarabu weupe wametokea wapi.
 
haya nitaipitia vyema" chief ".... lakini ungeichapisha kwa kiswahili ungekuwa umefanya vyema mnooo"" ...maana ingewasaidia hata wale ambao hawaelewi vyema hii lugha wapate kung'amua mambo /jambo ""..
 
Napinga hoja.
Iwapo mwafrika alikua anajitambua toka mwanzo kwanini akubali adhulumiwe? Kwanini amruhusu adui amtawale? ina maana alikua hawezi kujilinda yeye na himaya yake?

Acheni mawazo mgando bwana siku zote mtu unaejitambua huwezi kubali vitu vya hovyo hovyo tuu ni lazima uwe na misimamo yako imara.
Mimi najua uwezo wa kufikiria mtu mweusi ni mdogo ndio maana wenzetu wametuzidi kete hata kutufanya mazezeta na watumwa wao.

Yote hii ni uduwanzi wa akili.

Afrika tumebarikiwa mazingira salama ya kuishi haina shida ya kuumiza vichwa lakini wapi kwanini tusingekua mbali kimaendeleo kwa kua tayari mazingira yetu yalikua yanaruhusu?

Iweje mzungu na mjapani atoboe wakati mazingira yake yanakumba na majanga kila kukicha (Volkano, tetemeko la ardhi, mafuriko). Huku kwetu daraja likisombwa na maji ni mishe.
Poor African.
 
Huyu kasoma mada kaitafsiri kwa upeo wa udini akati kiukweli mada yahusu mwafrika kujikomboa hapo haijalishi dini yako wala kanda gani unatoka sema mwandishi katumia lugha ya kificho ambapo ukibakia kwenye yale maneno tu bila kufikiri lazima upotee kama ndugu hapo juu
 
Hebu jaribu kuwa na uelewa hata kidogo, usipayuke tupo tunaelimishana.
 
Mbona maneno nimengi, ileteni hiyo pic kutoka kwa huyo nguli mchoraji.
 
walificha picha, hatimaye kuziteketeza, kisa alikuwa mweusi, kisha wakaanza kuyachakachua maandiko yaliyozungumza kuhusu ubini na rangi ya ngozi yake
Fatma, hebu weka ushahidi wa hicho unacho kinena, maan naona unaleta SOGA tu hapa.
 
Picha ya Leonard Davince, Michelegelo. Mbona zilikuepo na wakati uo kulikuwa akuna camera. Samahani majina yao siwezi kuya andika vizuri.
Hahaaahah, jiulize tech ya picha imeanza mwaka gani?
 
Muhammad kama asinge pewa power na Roma empire angekuwa wakawaida sana. Mud kazi yake yote aliyo fanya ilikuwa ni kwa maslayi ya Roma.
Wer ndio umepotea kabisaa, Muhammad(s.a.w) na roman empire nani wa kwanza kuongoza.
 
Mkuu ni movement gani??na ni jumba gani hilo??
 
Yesu tena??ingia deep kidogo mkuu
 
Apa tumeongelewa sisi waafrika mwanzo mwisho daaah
 
Mkuu ni movement gani??na ni jumba gani hilo??
..(1) za kumkomboa MTU mweusi "" toka kwenye utumwa wa fikira "" ...utumwa unaomfanya ajidharau " nakujiona mtu wa mwisho asiye na thamani duniani "... wakati kiuhalisia " yeye ndiye " muaisisi wa ustaarabu duniani "" ...

(2)jumba/hekalu " la ibada " za watu weusi "" ... ibada ambazo zilikuwa zimeasisiwa na mababu/mabibi walioishi kabla hata ya ujio wa " hizi dini 2 ..ukristo na uislam
 
Mkuu umesema imeandikwa ,je imeandikwa na nani wewe ni nani mpka umuhukumu mwenzako na kumuita shetani ,yaani kwa sababu ya mitazamo tofauti tu ,nachelea kusema unaamini usichokijua
-Imeandikwa kwenye kitabu kilichobeba NENO la MUNGU, na aliyeandika alikuwa Nabii wa kweli wa MUNGU.

-Shetani ni mtu yeyeto yule anayekiri kwa kinywa chake kuwa YESU KRSTO siyo MWANA WA MUNGU, yeyote anayesema hivyo ni Shetani na baba yake ni Shetani.

Kuhusu kuhukumu mimi sijahukumu, labda huelewi maana ya neno "hukumu". Mimi ni nani hata nitoe hukumu kwa Shetani? Nilichokifanya mimi ni ku-quote tu maandiko ya kwenye kitabu kitakatifu cha BWANA MUNGU wangu ambacho ni Biblia. Hukumu itatolewa na BWANA YESU KRISTO ile siku atakapokuja tena kwa mara nyingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…