Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Muhammad hapo kivipi mkuu?
Alikuwa black,
Tunashukuru kwa kutusaidia
 
Imeandikwa na wayahudi, Mungu aliandika lini???? Ulimwona wakati alipoandika?
 
Pamoja mkuu nimekupata,.
 
Biblia kama tuijuavyo leo,sio kitabu kitakatifu cha mungu Bali Cha uwongo wa wayahudi, walioiba maandiko matakatifu ya kweli, na kuyapotosha....Yagashya alisimulia haya katika mfano wa mpanzi
 
Kwa wale wanaotaka kujitambua, cha kwanza fahamu kwamba
Watu wa kale walikuwa wa kitaifa, sio ubaguzi wa rangi. Maana watu walitambua mataifa na nchi zao kulingana na wapi waliotoka lakini si lazima kwa rangi.
Tena hakukuwa na mipaka hi Kama tuijuavyo leo, Africa iliungana na bara Asia, wameitenganisha juzi hapa, baada ya kuchimba mfereji wa Suez canal, watu walikuwa wanaingia Ulaya na Asia kwa miguu tu

Zamani watu Waliona tofauti za rangi lakini hawakuunganisha mawazo ya mmoja kuwa bora zaidi kuliko mwingine kama ilivyofanyika leo. Aina kama ya kuangalia Ford Mustang nyeusi na Mustang nyeupe Ford na kupenda rangi lakini kutambua yote ni magari, kuku ni kuku, jogoo jina

Wagiriki wa kale wanaonekana leo kama waasisi wa mawazo ya Ulaya na Magharibi ya mawazo na falsafa ya mapema. Inategemea michakato ya mantiki na ya ubaguzi kushoto.

Utaratibu wa mawazo ya busara unakataza wazo la intuition kama fomu ya pembejeo ambayo ni haki ya michakato na ubunifu michakato. Hii ni upungufu wa sayansi ya kisasa. Maoni ya kimwili ya sayansi ya kisasa hayana hata kutambua pembejeo ya kimapenzi. Wanaamini ubongo hutoa uzushi wote wa kimwili.
Ubongo ni ule ule mmoja, damu ni ileile moja, zaidi sisi tuna viini vya melanin ambavyo wait hawana
 
Ukombozi wa Mwafrika hauji kwa kuukataa UKRISTO na kusema eti Wazungu wote wakiwamo "Wayahudi" ni maadui zetu. Huyu mwandishi wa huu uzi anataka kuturudisha kule kwenye kuabudu "mapepo" kwa kisingizio cha ukombozi wa Mwafrika. Huo ni upotoshaji na ujinga na ushenzi wa hali ya juu sana. Mimi binafsi siwezi kukubaliana naye hata mara moja sababu KWELI naijua.

Sikatai kwamba wapo wachawi, washirikina na Wapagani wengi tu humu JF ambao watakubaliana na huu "uzi" lakini siyo mimi. Never on earth!

Nimeijua KWELI na hiyo KWELI imeniweka huru kweli kweli.
 
Cha msingi APA ni kujua kwanza kuitumia akili kwanza na haya mengine yatafata kama wachina walivyo base kwenye meditation na Dini zao ndo maana. Wamefika mbali wakati tulikuwa nao sawa
 
Pepo maana yake ni Roho, Yagashya(Yesu) hakuacha ukiristo, mliutengeneza wenyewe, aliacha Imani, na mambo mengi aliyosema hayakuandikwa yote, ukiristo ni politics za utawala, nyinyi mnaabudu, pepo jeupe tengenezo la wanadamu, na Yagashya aliyaona yote haya na kukemea, aliwajua wayahudi ni kizazi Cha ibilisi, kweli tunayo sisi, pole sana ndugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…