Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Msimu huu tukalime
Mambo ya kukaa mjini tukitegemea wanakijiji waliojichokea ndio watulimie chakula, imepitwa na wakati.
Kila mmoja kama ataamua kulima, vyakula vitashuka bei na maisha yatakuwa marahisi.
Haya mambo yakutafuta hela, na tukitegemea hiyo hela ndio ibadilike iwe chakula; ndicho kinachofanya maisha yanakuwa magumu.
Kwa sababu chakula ni kichache, na wahitaji ni wengi wanaotegemea hela ibadilike ndio iwe chakula.
Tuamke, twendeni tukalime.
Mambo ya kukaa mjini tukitegemea wanakijiji waliojichokea ndio watulimie chakula, imepitwa na wakati.
Kila mmoja kama ataamua kulima, vyakula vitashuka bei na maisha yatakuwa marahisi.
Haya mambo yakutafuta hela, na tukitegemea hiyo hela ndio ibadilike iwe chakula; ndicho kinachofanya maisha yanakuwa magumu.
Kwa sababu chakula ni kichache, na wahitaji ni wengi wanaotegemea hela ibadilike ndio iwe chakula.
Tuamke, twendeni tukalime.